Kupatwa kwa Mwezi tarehe 26/05/2022

KUTATABHETAKULE

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
5,228
5,165
Wataalamu wa nyota wanaelezea kuwa kutakuwepo na kupatwa kwa Mwezi kesho katika sehemu kadhaa za Dunia. Kwa upande wa Tanzania tukio hilo litaanza mwendo wa saa 10 alfajiri hadi milango ya saa 12 asubuhi. Naambatisha tukio hilo kwa Dar es Salaam toka maelezo ya hao Wataalam.

 
Kupatwa kwa jua huwa naona ndio tukio zuri kushuhudia kuliko hii ya kupatwa kwa mwezi...
 
Enzi ya awamu ya Awafu mwenye Nguvu, tukio kama hili watu walikuwa wanaipingeza Serikali
 
The prophet Muhammad is quoted as saying, “The sun and the moon are two signs of Allah; they are not eclipsed on account of anyone's death or on account of anyone's birth. So when you see them, glorify and supplicate Allah, observe the Prayer, give alms
 
Mkuu badili tu heading iwe 16 MAY 2022 wengi tungedhani no 26/5/2022
 
Nimetoka nje kucheki hali nilichoona tofauti ni kuna mwanga kama mchana au taa imewashwa kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…