Kuolewa na Mzungu Tanzania, ni Ticket ya U-celebrity au Njaa?

jiandae kutoa matundu yote,unafikiri rahisi kuolewa na mzungu

asilimia 80 ya wazungu wanafanya ngono kinyume na maumbile...na hawatakubali waende hivihivi bila hiyo kwa wadada zetu hapa bongo....ndio maana wao hata ukiwaambia mambo ya ushoga, hawaoni ni tatizo, kwasababu ni kitu cha kawaida kwao, walishafanyaga hio sodoma na gomora muda mwingi na vischana vyao....kuna study kabisa imefanywa, wazungu wasichana wanaanza kufanya uchafu huo kuanzia miaka 18...tayari ameshachafuliwa sehemu zote, na hii inasababishwa na picha za ngono...kuanzia miaka 18 picha za ngono anaweza kuangalia apendavyo, na siko kila sehemu...mwaka juzi nilipokuwa Italy, DVD za ngono wanauza wazi kabisa na wanaruhusiwa, internet teens wanaweza kuangalia wapendavyo...nilienda kununua ticket ya public transport, kuangalia pembeni kuna dvd kibao zinauzwa, magazeti na uchafu wote na watu wanaona kawaida tu. akiangalia kwenye mkanda, anataka boyfriend wake amjaribishe, akishafanya hivyo tu shetani anaweka alama yake na pepo lake ndo hataacha kabisa...motoni moja kwa moja...

ni ajabu kuona kuwa ulaya watoto (ambao uku kwetu bado wako secondary ktk 18 yrs) wanaruhusiwa kuwa na boyfriend na wazazi wao wanajua, na kwasababu hii wako huru kupindukia....ndio maana wanajaribisha kila kitu...sasa wanaume nao wakishazoea uchafu huo, wakija bongo hawaridhiki bila kuwafanya wadada zetu kutoa pande zote mbili...ndo mtakoma kuolewa na wazungu..however, ni asilimia chache sana, labda waliookoka, kama hajaokoka,nakwambia lazima akutoboe pande zote mbili,,,na si muda atakuacha na utabaki umeshaharibiwa.
 
Originally Posted by kukuna
jiandae kutoa matundu yote,unafikiri rahisi kuolewa na mzungu

Kweli kabisa. Mzungu yeye anataka FULL ACCESS ya matundu yote matatu kitandani 24/7, wakati demu la Kibantu linataka kutanua tuu huku liktimiziwa mahitaji yooote kuanzia Prado mpya, nyumba Masaki/O'bay/Msasani/Mikocheni, pochi ya kula lunch sehemu kama Kempinski, Sea Cliff, Coral Beach au Movenpick, shopping trips za Ulaya/Marekani, mtoto chotara, uraia wa Ulaya/Marekani, na kuendelea. Miss Tanzania karibia wote wana mabwana wa Kizungu isipokuwa 2-3 tu.
 
Acheni hizo...Wenzetu wako wazi na ndio maana Aids iko chini na kuna idadi ndogo ya wasichana wanaopata mimba chini ya umri. Hebu hapa kwetu angalia hatuwafundishi mabinti na vijana wetu kuhusu ngono, sasa unategemea nini inajulikana wazi kuwa mtu akipata balee au kuvunja ungo basi mwili wake ubadilika na huanza kupata nyege. Sasa zamani huku kwetu kulikuwa na unyago na jando ambako vijana walifundishwa haya mambo ya ngono na jinsi ya kukabiliana nayo. Siku hizi hamna ndo maana asilimia kubwa tu ya mabinti zetu wanapata mimba wakiwa bado shule za msingi.

Angalia wenzetu ulaya wanajua hilo wanaruhu mabinti au vijana wao kuwa na wapenzi maana ni asili ya binadamu. Ukiwatolea nje ndo kama hapa unaishia kupewa mimba na kina fataki na upuuzi wa wazee na serikali kufukuza mabinti shule wapatapo mimba bila kuangalia mzizi wa tatizo na kutoa elimu nasaha kuhusu ngono.

Ni lazima tuamke na kukubali kuwa hili ni tatizo na kuwa wakweli kwamba vijana wetu wanafanya ngono na jinsi ya kutatua tatizo badala ya kufungia macho.
 
YAH WALIOOLEWA AU KUTOKA NA WAZUNGU WOTE NI MALAYA WA KUFA MTU:angry:

Kiber, umenena mkuu. Wengi wao, nathubutu kusema 99.9% ni CD na wamekua pale Slip Ways, Seal Cliff na hotels kubwa hasa za ufukweni kusaka wazungu. Wewe jaribu siku moja nenda tu slip way uone mwenyewe. Hawa mabinti wanaenda pale kwa lengo moja kumpata mzungu kimapenzi (commercial sex) na kama mzungu akiridhika naye basi huwa wanakuwa na some sort of commitments na baadaye wanawaendea kwa waganga wa kienyeji ili kuwapumbaza. Ukisikiliza strory za mabinti siku hizi ndipo utaogopa hata kumsogelea umtongoze! Wanatumia mbinu nyingi chafu. Kuna siku nilipata kisa cha binti alipata mchumba na wakawa wanasimuliana na mwenzaka wakishauriana kuwa inabidi aende kwa kalimanzila kumtengeneza! Nilichoka kabisa, hoi. Hata hivyo wapo wachache ambao wanakutana kimapenzi halali kabisa si katika mawindo, nasema wachache.
 
Acheni hizo...Wenzetu wako wazi na ndio maana Aids iko chini na kuna idadi ndogo ya wasichana wanaopata mimba chini ya umri. Hebu hapa kwetu angalia hatuwafundishi mabinti na vijana wetu kuhusu ngono, sasa unategemea nini inajulikana wazi kuwa mtu akipata balee au kuvunja ungo basi mwili wake ubadilika na huanza kupata nyege. Sasa zamani huku kwetu kulikuwa na unyago na jando ambako vijana walifundishwa haya mambo ya ngono na jinsi ya kukabiliana nayo. Siku hizi hamna ndo maana asilimia kubwa tu ya mabinti zetu wanapata mimba wakiwa bado shule za msingi.

Angalia wenzetu ulaya wanajua hilo wanaruhu mabinti au vijana wao kuwa na wapenzi maana ni asili ya binadamu. Ukiwatolea nje ndo kama hapa unaishia kupewa mimba na kina fataki na upuuzi wa wazee na serikali kufukuza mabinti shule wapatapo mimba bila kuangalia mzizi wa tatizo na kutoa elimu nasaha kuhusu ngono.

Ni lazima tuamke na kukubali kuwa hili ni tatizo na kuwa wakweli kwamba vijana wetu wanafanya ngono na jinsi ya kutatua tatizo badala ya kufungia macho.

naona huyu ameguswa na hii mada, au ndo walewale...kuna faida gani kuruhusu uhuru wa watoto kupindukia, hadi kutoa matundu yao mnayosema? au wewe nawe unatoa hadi unashabikia uasherati wa wazungu ulaya kuruhusu watoto wao kufanya mapenzi kabla ya ndoa...
 
Wazungu tu ndiyo wenye uwezo na jeuri ya kuwadunga Miss Tanzania karibia wote sindano kubwa makalioni.
 
jamani mbona mnakuwa wakali kihivyo!

Sio kila anaeolewa na mzungu awe branded muhuni! kila mtu ana khiari ya kupenda anapotaka wala mapenzi hayachagui

tukemee watu kuolewa kwa kufata mali hata kama ni kwa mtu mweusi.
 
ushamba tu wa dada zetu hawa,mtu yuko tayari atembee na mzungu hata kama ni chizi ili awakoge wenzie tu.tunajidharaulisha sana tu

Na kweli, hii limeluwa tatizo tayari, na hasa ukiwakuta wenyewe wanasifiana juu ya wazungu wao, wallahi utapendaaa! sasa nahisi imekuwa fashion maana kila dada hapa mjini mwenye kujihisi anaumaarufu basi ni sababu ana bwana mzungu! ila jibu linaweza kuwa yote sawa tu, kuolewa na Mzungu = Ucelebrity + njaa!!!!!
 
mi sijui idadi kamili lakini hii yote ni njaa...dada zetu hawajali kama ni mzungu au ni vigogo Dodoma au BOT mradi pesa...sasa unategemea nini wakati kuna njaa. Kuhusu umalaya huo upo kila nchi ambayo ina uhuru wa aina fulani aukwepeki. Kama mtu unafanya umalaya ni budi kutafuta mwenye bei ya juu na ni wazi kuwa hawa maexpert, wabunge , vigogo ndo pesa ipo na hawajali kuhonga hela ambazo katika hali ya kawaida mtu hapati mwezi mzima hivo hiyo ni biashara wanamuuzia highest bidder, full stop! si rangi bali pesa...

Kuhusu waganga tusilaumu tu dada zetu waTZ according to BBC survey, Tz tunaongoza kwa kuendekeza uchawi Afrika, angalia mauji ya kinyama kwa albino na nyanja zote za maisha. Hivo basi si kinadada tu wanaondekeza waganga ni jamii nzima ya Tz. Hilo ni tatizo sisi kama jamii tuangalie namna gani ya kukwepa hilo.
 
watanzania wanaharibiwa na mange kimambi, ku posti picha za wazungu wazee na vitoto vya kike
 
Mimi ki ukweli kabisa, nadhani kuna tatizo. Akina dada wengi (sio wote), na baadhi pia ya kina kaka siku hizi hua wanapenda kujilengesha kwa wazungu, au kujirahisisha ili tu wawe na wazungu kwasababu ya NJAA na ulimbukeni wa kutaka kuonekana wako na wazungu, na mentality kwamba ukiwa na mzungu basi umepata tiketi ya kwenda ulaya! Mfano ukitembelea mikoa ya Kilimanjaro, Arusha n.k ambako watalii ni wengi, utakuta vijana wengi wa kike na kiume wanawapapatikia sana wazungu! Of course kuna baadhi wanafanikiwa, ila wengi wanaishia kujichoresha tu na kwakweli wanatia huruma.
Ila siwalaumu sana.. kwa ugumu huu wa maisha ukipata pa kuegemea unaweka ustaarabu pembeni.
 
Mambo yetu yote kibongo bongo tu. Celebrity - kibongo, reb carpet - kibongo ilimradi tu basi nasisi tujiskie tuna u-celebrity flani hivi!
 

Attachments

  • 1 - Copy.JPG
    1 - Copy.JPG
    12 KB · Views: 101
jamani mbona mnakuwa wakali kihivyo!

Sio kila anaeolewa na mzungu awe branded muhuni! kila mtu ana khiari ya kupenda anapotaka wala mapenzi hayachagui

tukemee watu kuolewa kwa kufata mali hata kama ni kwa mtu mweusi.

gaijin umeongea, mada imekaa kishutuma zaidi.
Mapenzi hayaangalia utaifa, dini rangi wala kabila.
Kama mtu amempenda huyo mdhungu kwahiyo asiolewe nae kisa ataonekana muhuni?
Kikubwa hapa ni kulaumu kwanini wajilengeshe kwa hivyo vibabu na vibibi!
Kwanini wawe kipesa zaidi na sio mapenzi ya dhati!
 
Sijamuona Mzungu mwenye hadhi ya Uzungu aliyemuoa mweusi. Na hata kama wamewaoa, mara nyingi wanakuwa wa ku passtime hadi warudi makwao. Ndo chache baina ya wazungu na weusi ni za kweli,

...and here comes my favourite movie celebrity, Robert De Niro...Ingawa ametengana na Grace Hightower (ninavyofahamu hawajaachana rasmi), lakini De Niro kabla tayari alichaachana na wengine si chini ya wanne, wote WAZUNGU....
 

Attachments

  • 2 - Copy.JPG
    2 - Copy.JPG
    41.1 KB · Views: 108
Balack Obama Rais wa Marekani amemuoa mwamamke mweusi na wengine ni
The Prince of Liechtenstein dumped his white fiancee' and married a black american woman. now They have son.

* Billionaire George Lucas, The creator of 'Star Wars' left his wife of 15 years for a black woman.

*Billionaire Marc Ecko, founder of Ecko Unlimited married a black woman, they have 2 sons.

* Vladamir Doronin, The Russian Billionaire who left his wife and kids for Naomi Campbell.

* Billionaire Peter Norton, The creator of 'Norton Anti-Virus' left his college sweetheart for his black wife. They have 5 mixed kids.

* The Royal Prince Albert ll got a black woman pregnant in 2005.

* Matt Stone, The creator of 'South Park' and married a black woman now they are expecting baby.

* Top International Fashion designer Riccardo Sala married model Alek Wek. they have a kid.

*Bill de Blasio New York City Council also has a black wife and kids.

* Justin Chambers Co-Producer of Gray's Anatomy has 5 kids with his black wife.


wengine mastaa ni
Lately there seem to be more and more white male celebrities married to Black women, here are just a few…

George Lucas and Mellody Hobson
Robert De Niro and Diahnne Abbott
Robert De Niro and Grace Hightower
David Bowie and Iman
Brian Gibson and Lynn Whitfield
Alvin Martin and Whoopi Goldberg
Richard Holland and Chaka Khan
Roger Larocque and Nell Carter
Ivan Sergei and Tanya Sergei
Boris Becker and non famous black woman
Ron Breyer and Tonya Pinkins and
Justin Chambers and Keisha
Wolfgang Puck got and Gelila Assefa
Roderick Spencer and Alfre Woodard
Paula Patton with Robin Thicke
Garcelle Beauvais-Nilon and Mike Nilon
Chris Noth and Beverly Johnson
Luke Goss and Shirley Lewis
 
yaani hapa naona jf utaleta ugomvi na bidadas wa u-turn lakini ukweli haufichiki katika hali ya kawaida tu katika jamii yetu hata kama imetokea kupendana kikweli kweli na mzungu lazima utaonekana ulikuwa CD kabisa kwa sababu wazungu hawa hawana kawaida kuingia mitaani na kufall in love na wadada zetu bali katika mahoteli makubwaa au madisco ambao bidadas huwafatilia huko,fanya utafiti utakuta 99.9% ya wanawake walioolewa na wazungu walikuwa CDs kwa hivyo inaonekana hata kama mmpendana kiukweli utaonekana walewale....kuhusu kutumia matundu yoote ===yaani hilo jibu pigia mstari tu.
 
Back
Top Bottom