Kundi la Wawekezaji wakiongozwa na Elon Musk wametoa ofa dola bilioni 97 kununua OpenAi

USA Kunazidi kuchangamka kila uchao. Wacha tukae kwenye kigoda tone mchezo unavyo kwenda.
 
Elon si ana Xai yake, anataka chat GPT ya nini?

Naona Xai yake iko vizuri aendelee kuiboresha aache chat GPT iwe kivyake.

Najua Sam hatakubali Elon anunue Open AI.

Elon ni mbinafsi, yeye alipinga Mark Zuckerberg kuanzisha Thread kwamba Dunia itakua imehodhiwa na Mark, halafu yeye anataka amiliki AI zote? Haiwezekani.
Mwenye pesa pekee ndie atakaewini
 
Elon Musk pamoja na wawekezaji wengine wametoa ofa ya kununua OpenAi kwa dola bilioni 97 na ushee.

OpenAi ilianzishwa mwaka 2015 kama nonprofit na Sam Altman, Elon Musk na wengine. Lakini Elon Musk alijiondoa baadae na kuwa adui wa Altman.

Altman ndio CEO wa OpenAi kwa sasa.
============
CEO Elon Musk is making an offer to acquire the nonprofit piece of OpenAI for $97.4 billion, according to a report from The Wall Street Journal. Musk’s attorney was reported to have delivered the offer to OpenAI’s board of directors on Monday.

Soma zaidi hapa: Elon Musk-led investor group makes $97.4 billion offer to buy OpenAI’s nonprofit arm
Kama kunakamtu kajanja janja na kana tamaa ni elon musk.
Kwanza ana hasira sana na altman na open AI maana anaona imekuqa kotu kikubwa na yeye alijitoa hivyo hatofaidika nayo ndiyo maana hata kawafungulia kesi eti walipaswa kubaki non profit.
Akiinunua sina mashaka kwamba naye ataigeuza kuwa for profit tu.
Jamaa kama hafaidiki na jambo na anaona kuna ela roho inamuuma kinoma.
 
OpenAI mbeleni itakuwa kampuni kubwa sana na Hicho ndicho kinamfikirisha Elon Musk na kumletea msongo wa mawazo...
Screenshot_20250211_083130.JPG
 
97b ni zaidi hata ya GDP ya Tanzania, duh hizi teknolojia tujifunze na sisi tupate ofa kama hiyo.
Tungewekeza hata kwenye soka basi. Timu yetu ishinde kombe la dunia na kupewa dola milioni 45 wachezaji wapewe dola milioni 5 na kucover gharama za maandalizi, na arobaini zikajenge barabara
 
Back
Top Bottom