Gaganda
Member
- Feb 9, 2017
- 36
- 31
Kama ndo hivyo basi inabidi tuanze kuweka vibandiko humu.Usimkatishe mwenzio tamaa kwani hao wanawake mnaowatongoza mitaani,makazini,nk.ndo hawahawa waliokua humu na wana mahitaji ya kuolewa vilevile.Wenza humu wanapatikana sana tu tena bila hata kuweka mabandiko nyota zenu zikiendana mnakutana pm mchezo umeisha