Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,735
- 140,739
Aiiiiiii weeeeehhh umesema uko wapi jamani.....🥰Juzi nilimpatia over 200k ya matumizi na leo tena nimtumie zingine? Never
Aiiiiiii weeeeehhh umesema uko wapi jamani.....🥰Juzi nilimpatia over 200k ya matumizi na leo tena nimtumie zingine? Never
Kwa huu mwandiko wako huuMkuu suala la mwandiko kwa wabongo ni kizungumkuti, kesho ntamtimbia kwake nimsikilize anajishaua vipi. Kwa leo am done
Sio wa kutuma 200k kwa mtoto wa miaka 20 kwaajil ya matumizi. Labda kama unamaanisha 20k au 2kJuzi nilimpatia over 200k ya matumizi na leo tena nimtumie zingine? Never
Fundi mwenyeweMtumie hela ukae kimya.....akiendelea kukaza basi yupo serious na mpenzi wake we muache.
Umesema uko wapi sahivi?
Kakonko ndanindani ukuAiiiiiii weeeeehhh umesema uko wapi jamani.....🥰
SawasawaKwa huu mwandiko wako huu
Sio wa kutuma 200k kwa mtoto wa miaka 20 kwaajil ya matumizi. Labda kama unamaanisha 20k au 2k
Kakonko si hii njia ya Kahama au nakosea? Au ntakupigia kwanza unielekeze vizuri......Kakonko ndanindani uku
Bro nisaidie namba yake nimpe ushauri wa kina.Imagine mwanaume unapishana na mpenzi wako kwa zaidi ya miaka mitano af eti ukae kumwomba msamaha zaidi ya lisaa lakini haelewi 😀 aisee
Huyu nishambembeleza mpaka nmechoka kisa nilimwambia leo tutameet ila sijatokea ndo kamind siku nzima wakati kazaliwa 2004.!! think i should just swallow my pride..
View attachment 3138570
Wengine mnawezaje? Especially nyie masponsa