Kumwamini Mungu bila kumwamini Yesu Kristo/Yeshua Hamashiach, ni kupoteza muda,moto unakusubiri

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
22,171
34,409
Salaam, Shalom!

Unatenda mema, unajitunza, unahurumia maskini, na kutenda mazuri duniani na unamwamini Mungu, Kisha unamkataa Yesu, huko ni kupoteza muda,

Hizi ni sababu kwanini kumwamini Mungu na kutoamini kuwa Yesu ndiye Mungu mmoja aliyekuja katika mwili wa Mwanadamu ni kupoteza muda;


1. Tuzichunguze Roho. (1 Yoh 4:1-3).

Verse 1: Wapenzi, msiiamini kila Roho,Bali zijaribuni hizo Roho, kwamba zimetokana na Mungu; Kwa sababu manabii wengi wa uongo wengi wametokea duniani.

2. Wamkirio Yesu, wanatokana na Mungu.(1Yoh 4:2).

Verse 2: Katika hili mwajua Roho wa Mungu; Kila ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja Katika mwili yatokana na Mungu.

3. Wasiomkiri Yesu wanaongozwa na Roho ya mpinga Kristo.(1 John 4:3).

Verse 3. Na Kila Roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu.
Na hii ndiyo Roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja;na sasa imekwisha kuwako duniani.

4. Wasiomkiri Yesu ,masikio yao yamezibwa wasiijue kweli.(1 John 4:6).

Verse 6: Sisi twatokana na Mungu, Yeye amjuaye Mungu atusikia; Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na Roho ya upotevu.

(John 14:6)
Jesus: I'm the only way, thrth and life

Mwisho wa kunukuu,

Sasa unapoteza muda kufunga, huli chakula, hunywi pombe ukiamini unampendeza Mungu ilhali unamkataa Yesu aliye Mungu,njia pekee,kweli na uzima, hii ni hatari.


Hii ni sawa na kumtafuta mfalme usiyemjua jina,


Sasa Mungu ni Mfallme, nawe umefichwa, humjui jina lake ilhali Yesu ambaye ndiye huyo mfalme, unamtukana na kumkana Kila siku, unapoteza muda.

Ikiwa unapenda kuokoa muda, fuatisha sala hii;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE,NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
 
Salaam, Shalom!

Unatenda mema, unajitunza, unahurumia maskini, na kutenda mema duniani na unamwamini Mungu, Kisha unamkataa Yesu, unapoteza muda,

Hizi ni sababu kwanini kumwamini Mungu na kutoamini kuwa Yesu ndiye Mungu mmoja aliyekuja katika mwili wa Mwanadamu ni kupoteza muda;


1. Tuzichunguze Roho. (1 Yoh 4:1-3).

Verse 1: Wapenzi, msiiamini kila Roho,Bali zijaribuni hizo Roho, kwamba zimetokana na Mungu; Kwa sababu manabii wengi wa uongo wengi wametokea duniani.

2. Wamkirio Yesu, wanatokana na Mungu.(1Yoh 4:2).

Verse 2: Katika hili mwajua Roho wa Mungu; Kila ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja Katika mwili yatokana na Mungu.

3. Wasiomkiri Yesu wanaongozwa na Roho ya mpinga Kristo.(1 John 4:3).

Verse 3. Na Kila Roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu.
Na hii ndiyo Roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja;na sasa imekwisha kuwako duniani.

4. Wasiomkiri Yesu ,maaikio yao yamezibwa wasiijue kweli.(1 John 4:6).

Verse 6: Sisi twatokana na Mungu, Yeye amjuaye Mungu atusikia; Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na Roho ya upotevu.

Mwisho wa kunukuu,

Sasa unapoteza muda kufunga, hili chakula, hunywi pombe ukiamini unampendeza Mungu ilhali unamkataa Yesu aliye Mungu, hii ni hatari.


Hii ni sawa na kumtafuta mfalme usiyemjua jina,


Sasa Mungu ni Mfallme, nawe umefichwa, humjui jina lake ilhali Yesu ambaye ndiye huyo mfalme, unamtukana na kumkana Kila siku, unapoteza muda.

Ikiwa unapenda kuokoa muda, fuatisha sala hii;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU ISINISHINDE,NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Hiyo aya Uliyotaja Hakuna Mahali imesema Kumkiri Yesu Kama Mungu..
Ila Imesema kuwa Kumkiri Yesu kama Alikuja physically yaani Mwili na Sio Roho na Pia Ni Masihi yaani Kristo..

Sasa kama Ulikuwa unawasema Waislamu Moja ya Nguzo yao ya Imani Ni kukiri Yesu ni Masihi na Mtume kwahyo Kwenye Fungu hilo hawahusiki..

Karibu Tudooee Iddi Ndugu yangu
 
Hiyo aya Uliyotaja Hakuna Mahali imesema Kumkiri Yesu Kama Mungu..
Ila Imesema kuwa Kumkiri Yesu kama Alikuja physically yaani Mwili na Sio Roho na Pia Ni Masihi yaani Kristo..

Sasa kama Ulikuwa unawasema Waislamu Moja ya Nguzo yao ya Imani Ni kukiri Yesu ni Masihi na Mtume kwahyo Kwenye Fungu hilo hawahusiki..

Karibu Tudooee Iddi Ndugu yangu
Huku nako ni kupoteza muda,

Wangemjua miungu, wasingepoteza muda kuabudu mwezi na jua kama Mungu yao.

Mungu ni mmoja tu,

Jina lake aitwa YESU KRISTO/Yeshua Hamashiach.
 
(John 14:6)
Jesus: I'm the way, and the truth and Life, no one comes to the father except through me.
 
Salaam, Shalom!

Unatenda mema, unajitunza, unahurumia maskini, na kutenda mema duniani na unamwamini Mungu, Kisha unamkataa Yesu, unapoteza muda,

Hizi ni sababu kwanini kumwamini Mungu na kutoamini kuwa Yesu ndiye Mungu mmoja aliyekuja katika mwili wa Mwanadamu ni kupoteza muda;


1. Tuzichunguze Roho. (1 Yoh 4:1-3).

Verse 1: Wapenzi, msiiamini kila Roho,Bali zijaribuni hizo Roho, kwamba zimetokana na Mungu; Kwa sababu manabii wengi wa uongo wengi wametokea duniani.

2. Wamkirio Yesu, wanatokana na Mungu.(1Yoh 4:2).

Verse 2: Katika hili mwajua Roho wa Mungu; Kila ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja Katika mwili yatokana na Mungu.

3. Wasiomkiri Yesu wanaongozwa na Roho ya mpinga Kristo.(1 John 4:3).

Verse 3. Na Kila Roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu.
Na hii ndiyo Roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja;na sasa imekwisha kuwako duniani.

4. Wasiomkiri Yesu ,maaikio yao yamezibwa wasiijue kweli.(1 John 4:6).

Verse 6: Sisi twatokana na Mungu, Yeye amjuaye Mungu atusikia; Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na Roho ya upotevu.

Mwisho wa kunukuu,

Sasa unapoteza muda kufunga, hili chakula, hunywi pombe ukiamini unampendeza Mungu ilhali unamkataa Yesu aliye Mungu, hii ni hatari.


Hii ni sawa na kumtafuta mfalme usiyemjua jina,


Sasa Mungu ni Mfallme, nawe umefichwa, humjui jina lake ilhali Yesu ambaye ndiye huyo mfalme, unamtukana na kumkana Kila siku, unapoteza muda.

Ikiwa unapenda kuokoa muda, fuatisha sala hii;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU ISINISHINDE,NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Amen 🙏
 
Yohana 1:1-10
Isaya 9:6-10
KIla Siku nawaambia Hizo aya Mnazoleta muwe Mnazihakiki kwanza!

Tuanze na Hiyo ya Isaya..Maana nitarudi Nyuma Kabisa Tuangalie Hilo fungu linamaanisha Nini Kwa Lugha asilia Ambayo ilikuwa Ni Kiebrania cha herufi za Kimasora (Masoretic Hebrew Text)..

Isaiah 9:6-10

כִּי־יֶלֶד יֻלַּד־לָנוּ בֵּן נִתַּן־לָנוּ וַתְּהִי הַמִּשְׂרָה עַל־שִׁכְמוֹ וַיִּקְרָא שְׁמוֹ פֶּלֶא יוֹעֵץ אֵל גִּבּוֹר אֲבִי־עַד שַׂר־שָׁלוֹם׃

לְמַרְבֵּה הַמִּשְׂרָה וּלְשָׁלוֹם אֵין־קֵץ עַל־כִּסֵּא דָוִד וְעַל־מַמְלַכְתּוֹ לְהָכִין אֹתָהּ וּלְסַעֲ בְּמִשְׁפָּט וּבִצְדָקָה מֵעַתָּה וְעַד־עוֹלָם קִנְאַת יְהוָה צְבָאוֹת תַּעֲשֶׂה־זֹּאת׃

דָּבָר שָׁלַח אֲדֹנָי בְּיַעֲקֹב וְנָפַל בְּיִשְׂרָאֵל׃

וְיָדְעוּ הָעָם כֻּלּוֹ אֶפְרַיִם וְיוֹשֵׁב שֹׁמְרוֹן בְּגַאֲוָה וּבְגֹדֶל לֵבָב לֵאמֹר׃

לְבֵנִים נָפָלוּ וְגָזִית נִבְנֶה שִׁקְמִים גֻּדָּעוּ וַאֲרָזִים נַחֲלִיף׃


Huwa Inatamkwa Hivi Mdogo wangu


Ki-yeled yullad-lanu, ben nittan-lanu; vattehi hammisrah al-shikhmo, vayyiqra shemo Pele-Yo'etz, El-Gibbor, Avi-'Ad, Sar-Shalom.Lemarbeh hammisrah uleshalom eyn qetz, al-kisse David ve'al-mamlakhto, lehakhin otah ul'sa'adah, bemishpat ubitzdakah me'attah ve'ad-olam; qin'at YHWH Tzeva'ot ta'aseh-zot.Davar shalach Adonai b'Ya'akov, venafal b'Yisra'el.
Veyade'u ha'am kulo, Efrayim veyoshev Shomron, b'ga'avah uv'gedel levav, lemor.Levenim nafalu, v'gazit nivneh; shikmim guda'u, va'arazim nachalif.



Neno la Kwanza Tu lilipaswa kukupa Jibu kamili kwamba Hapo hazungumziwi Yesu!

Kitabu cha Isaya (Yesha‘yahu - יְשַׁעְיָהוּ) kiliandikwa kati ya karne ya 8 KK hadi 7 KK (karibu 740–686 KK).

Ambayo ni Miaka zaidi ya 700 kuzaliwa kwa kwa Yesu..

Neno "Ki-yeled yullad-lanu, ben nittan-lanu"
Kama Unajua Linguistic na Lugha Ilipaswa Wewe kukufanya Ujue Kuwa Hiyo sio Sentensi ya Future ni sentensi timilifu neno "Yullad" linamaanisha Kitendo Tayari kimetokea yaani Hali ya Kutendwa..


Kwahyo "for a Child has Born to us, a son has born to us"


Sasa alikuwa na Maana Gani kusema "vattehi hammisrah al-shikhmo"
Yaani...A Government (Serkali) Will be on his Shoulder (Itakuwa Begani kwake)..

Sasa Naomba Nikupe Historia Kwanza Ili Ujue Halafu nikueleze Kwanini Yeshayahu au Isaya alipewa Ufunuo Huo..

Katika Utawala Uliokuwa Unaisha Kipindi Hicho Utawala wa Ahazi (735-715 KK)..Utawala wa Ahazi (Ahaz) ulikuwa mgumu na wenye changamoto nyingi kwa taifa la Yuda. Ahazi alikuwa mfalme wa Yuda, na alitawala kuanzia 738 KK hadi 715 KK. Alikuwa mfalme wa tano wa familia ya kifalme ya Yuda baada ya baba yake, Mfalme Yothamu.

Ahazi alikuwa mfalme katili sana na asiye na imani. Alikuwa anachukua maamuzi ya kidini yasiyofaa kwa ajili ya taifa la Yuda, na Mengine yalikuwa yanaathiri Israel kwa Ujumla..

Alikuwa anachukua mifumo ya dini ya kipagani na Kuingiza Kwenye Taifa la Yuda na alikuwa akifanya ibada kwa miungu ya Mataifa ya Jirani kama vile miungu ya Ashuri Etc

Alijenga madhabahu za kipagani katika hekalu la Yerusalemu, jambo lililoleta hasira ya Mungu (KAMA unajua Kuhusu historia Hii Utakuwa unafahamu Napoelekea)..

Utawala wake ulikuwa na changamoto vita za mara kwa mara na Marjiran zake vya, hata hivyo Yuda ilikumbwa na mashambulizi ya nchi za Israeli na Aram (Siria ya Kale).

Ahazi alilazimika kukubali ushawishi wa Mfalme Tiglath-Pileser III kutoka Ashuru, ambaye alimpatia msaada wa kijeshi ili shindana na mfalme wa Israeli na mfalme wa Aram, lakini kwa sharti kwamba Yuda ingekubali kulipa kodi kwa Ashuri.(Sijui kama Unanielewa)

Alienda mbali mpaka kuuza vitu vya hekaluni ili kulipa deni Ashuri na alibadilisha madhabahu ya Yerusalemu kwa madhabahu ya kipagani.

Sasa Watu wa Yuda walipata Masikitiko kwa Kuwa Imani yao imepotea Machafuko Yamezidi katika nchi ya Yuda..Ndipo Mungu akawafuta Machozi watu wa Yuda kwa Kuwapelekea Mfalme Mpya..

na Kipindi hicho Isaya Alipeleka Ujumbe kwa Wanachi wote kuwa Mtoto amezaliwa..

kwahyo Ulisikia Fungu lote Linasifia kwakuwa Ufalme wa Ahazi Uliisha Baada ya Mtoto yule (Mtoto Hezekia mwana wa ahazi) kukua na Kuchukua Ufalme Begani kwake, Na Mfalme wa Amani ndiyo baada ya Hapo Kulikuwa na Amani yuda Na Mungu alionekana..


Nachotamani Mngekuwa Mnasoma maandiko Pamoja na Historia Yake Ili Mpate Ukweli zaidi na Ndo maana Maandiko Yanapaswa Kuzungumziwa na Wanatheolojia maana Wengi mnapotosha Ukweli..


Kuhusu fungu lako la Neno Halionyeshi Kuwa Yesu ni Mungu hata Kidogo..
 
Salaam, Shalom!

Unatenda mema, unajitunza, unahurumia maskini, na kutenda mema duniani na unamwamini Mungu, Kisha unamkataa Yesu, unapoteza muda,

Hizi ni sababu kwanini kumwamini Mungu na kutoamini kuwa Yesu ndiye Mungu mmoja aliyekuja katika mwili wa Mwanadamu ni kupoteza muda;


1. Tuzichunguze Roho. (1 Yoh 4:1-3).

Verse 1: Wapenzi, msiiamini kila Roho,Bali zijaribuni hizo Roho, kwamba zimetokana na Mungu; Kwa sababu manabii wengi wa uongo wengi wametokea duniani.

2. Wamkirio Yesu, wanatokana na Mungu.(1Yoh 4:2).

Verse 2: Katika hili mwajua Roho wa Mungu; Kila ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja Katika mwili yatokana na Mungu.

3. Wasiomkiri Yesu wanaongozwa na Roho ya mpinga Kristo.(1 John 4:3).

Verse 3. Na Kila Roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu.
Na hii ndiyo Roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja;na sasa imekwisha kuwako duniani.

4. Wasiomkiri Yesu ,maaikio yao yamezibwa wasiijue kweli.(1 John 4:6).

Verse 6: Sisi twatokana na Mungu, Yeye amjuaye Mungu atusikia; Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na Roho ya upotevu.

Mwisho wa kunukuu,

Sasa unapoteza muda kufunga, hili chakula, hunywi pombe ukiamini unampendeza Mungu ilhali unamkataa Yesu aliye Mungu, hii ni hatari.


Hii ni sawa na kumtafuta mfalme usiyemjua jina,


Sasa Mungu ni Mfallme, nawe umefichwa, humjui jina lake ilhali Yesu ambaye ndiye huyo mfalme, unamtukana na kumkana Kila siku, unapoteza muda.

Ikiwa unapenda kuokoa muda, fuatisha sala hii;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU ISINISHINDE,NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
GENGE LA MAKOBAZI WAUONE UZI HUU NA WAUZINGATIE.
 
Back
Top Bottom