Kumlaumu John Noble ni siasa za Simba na Yanga tu

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
14,074
14,606
Tibu zote kwenye ligi zimefungwa na Yanga; ukiwa na akili mbovu utafirikiria Fountain Gates inaweza kuifunga Yanga. Inafahamika kuwa Simba waliweka matumaini yake kwa Foutain Gate kuisimamisha Yanga kwenye mbio zake za ushindi. John Noble alifungwa na timu bora kama vile wanavyofungwa magolikipa wote wa timu zote za ligi. Wamefungwa Simba, Azam na Singida wenye wachezaji ghali na fedha nyingi sana sebuse Foutain gates? Kama shida ilikuwa ni golikipa Noble kwanini wafungaji hawakufunga hata goli moja?

Hakuna golikipa ambae hawaogopi washambuliaji wa Yanga. Hofu ilisababisha Noble kufanya makosa kama yale. Wapeni Yanga sifa wanazostahili kupewa. Wachezaji hawahawa walioko Yanga wamecheza finali ya CAF Confederation, wametoka sare na Mamelods, wameshinda ngao ya jamii, ni watetezi wa kombe la ligi kwa mara ya 4 mfululizo, wameifunga Simba mara 4 mfululizo, wanaongoza ligi na wameingia nusu fainali ya CRDB cup. Ni punguani tu atafikiria Noble kapewa pesa ili afungwe kipumbavu kama vile. Kuna njia nyingi za kipa kufungwa kimazabe lakini huwezi kufanya kwa njia ile ya wazi kabisa; alizidiwa tu.
 
Kucheza fainali shirikisho, sijui kudraw na Mamelod hakuhalalishi kushinda kila mechi. Mbona huzungumzii ya CAF msimu huu kwa kushindwa kufuzu kundi bovu kama lile.Ni punguani tu atawewekea dhamana uto kuwa hawawezi kuhonga ili washinde wakati mara kwa mara wanapigwa faini kwa kupita mlango usio rasmi na hawaachi.
 
Kucheza fainali shirikisho, sijui kudraw na Mamelod hakuhalalishi kushinda kila mechi. Mbona huzungumzii ya CAF msimu huu kwa kushindwa kufuzu kundi bovu kama lile.Ni punguani tu atawewekea dhamana uto kuwa hawawezi kuhonga ili washinde wakati mara kwa mara wanapigwa faini kwa kupita mlango usio rasmi na hawaachi.


Ingekuwa hivyo msingeingia mitini!

Na naomba Viongozi wa Yanga wawaombe TFF wapange tarehe ya mechi upya ili tuwakate vilimilimi !


Yaaani tunataka tuwashushie mvua ya magoli kenge nyie ili mtimuane vizuri!
 
Ingekuwa hivyo msingeingia mitini!

Na naomba Viongozi wa Yanga wawaombe TFF wapange tarehe ya mechi upya ili tuwakate vilimilimi !


Yaaani tunataka tuwashushie mvua ya magoli kenge nyie ili mtimuane vizuri!
Jidanganye na timu lako bovu lililoishia makundi kwenye kundi bovu.We kweli uto eti mvua ya magoli ingekuwa rahisi hivyo mngeifunga MC Alger ,mlijiaminisha hivyo hivyo, yaani akili zenu mnafikiri mpira mnacheza dhidi ya mabibi zenu.
 
Duuh kwani hujasikia kwamba jamaa amekutwa na meseji kwenye simu yake za kupewa rushwa, watu wanamlaumu huko kwamba naye ni mzembe kwanini anakaa na meseji kama hizo muda wote huo, anyway mimi natamani yanga waendelee kufanya match fixing hivi hivi ili wakifika kimataifa waendelee kuishia hatua za awali tu
 
Kucheza fainali shirikisho, sijui kudraw na Mamelod hakuhalalishi kushinda kila mechi. Mbona huzungumzii ya CAF msimu huu kwa kushindwa kufuzu kundi bovu kama lile.Ni punguani tu atawewekea dhamana uto kuwa hawawezi kuhonga ili washinde wakati mara kwa mara wanapigwa faini kwa kupita mlango usio rasmi na hawaachi.
Hata Yanga ilifungwa na Tabora goli 3 kijinga kwa makosa ya Khomeni, lakini hakuna mwanaYanga alisema Khomeni amehongwa na Tabora. Kila timu ambayo imepewa adhabu kwa kosa la kupiga mlango mwingine ni kwasababu ya kukwepa uchawi wa Simba.
 
Hata Yanga ilifungwa na Tabora goli 3 kijinga kwa makosa ya Khomeni, lakini hakuna mwanaYanga alisema Khomeni amehongwa na Tabora. Kila timu ambayo imepewa adhabu kwa kosa la kupiga mlango mwingine ni kwasababu ya kukwepa uchawi wa Simba.
Duuh we jamaa ile mechi uliangalia au ulisimuliwa, kwamba hujui mechi na tabora alidaka diarra, au unamaanisha ile na mashujaa mliyotoka tatu mbili
 
Ni punguani tu atafikiria Noble kapewa pesa ili afungwe kipumbavu kama vile. Kuna njia nyingi za kipa kufungwa kimazabe lakini huwezi kufanya kwa njia ile ya wazi kabisa; alizidiwa tu.
Simba isiingizwe hapo. Fountain Gate wenyewe ndio wameituhumu Yanga kutoa rushwa kwa golikipa wao, na wakamsimamisha. Nadhani kama kuna nia ya kukabiliana na tuhuma hizo, basi njia nzuri ni kuwakabili walioitaja Yanga kutoa rushwa, na si kujificha kwenye kichaka cha siasa za Simba na Yanga
 
Jidanganye na timu lako bovu lililoishia makundi kwenye kundi bovu.We kweli uto eti mvua ya magoli ingekuwa rahisi hivyo mngeifunga MC Alger ,mlijiaminisha hivyo hivyo, yaani akili zenu mnafikiri mpira mnacheza dhidi ya mabibi zenu.


Kwahiyo wewe Kolo hapo mmefika baada ya kukutana na timu mbovu zinazobutua Mpira unajidanganya una timu?

Siku hiyo mtalia kilio na kusaga meno,subiri tarehe ipangwe
 
Simba isiingizwe hapo. Fountain Gate wenyewe ndio wameituhumu Yanga kutoa rushwa kwa golikipa wao, na wakamsimamisha. Nadhani kama kuna nia ya kukabiliana na tuhuma hizo, basi njia nzuri ni kuwakabili walioitaja Yanga kutoa rushwa, na si kujificha kwenye kichaka cha siasa za Simba na Yanga
Simba waliicheza ile mechi; akina Mtenje Albano walikuwa wanajua kile walichokuwa wanakisema. Pesa nyingi ilimiminwa pale ili waizuie Yanga. Akina Kihimbwa walicheza kama vile wametiwa ndimu.
 
Siku hiyo mtalia kilio na kusaga meno,subiri tarehe ipangwe
Ahaa, kumbe misimamo inatofautiana? Si tumeshachapishiwa na jezi na tunauziwa na gcm?

1745322536497.png


1745322658301.png
 
Simba waliicheza ile mechi; akina Mtenje Albano walikuwa wanajua kile walichokuwa wanakisema. Pesa nyingi ilimiminwa pale ili waizuie Yanga. Akina Kihimbwa walicheza kama vile wametiwa ndimu.
Kwenye football, kutoa ahadi mchezaji acheze kwa bidii sio kosa, na ndio maana huwa ahadi nyingine zinatolewa hadharani. Lakini kutoa ahadi ili mchezaji aigharimu timu yake, hilo ni kosa la rushwa, na ndio maana hufanyika kwa siri na kulazimisha vyombo vya soka na dola kufanya uchunguzi. Ulishawahi kusikia FIFA au TAKUKURU inafanya uchunguzi kwa mtu aliyeiahidi timu zawadi iwapo itapata ushindi? Goli la Mama nalo huwa ni la kificho?
 
Jidanganye na timu lako bovu lililoishia makundi kwenye kundi bovu.We kweli uto eti mvua ya magoli ingekuwa rahisi hivyo mngeifunga MC Alger ,mlijiaminisha hivyo hivyo, yaani akili zenu mnafikiri mpira mnacheza dhidi ya mabibi zenu.
sawa yanga kashindwa kutoboa makundi klabu bingwa ila kamwe hakuna kiazi chochote NBC anayeweza kumzuia yanga hiyo kila mtu anajua,wewe tu ndo unajitoa akili
 
Mngekuwa na timu bora msingekandamizwa kwa mkapa na timu average Kama Al hilal.Timu lenu ni average ila mashabiki maandazi mnaamini mna timu bora.


Kwani mpaka Al hilal anatufunga hukujua tulikuwa kwenye Hali gani?

Sisi tunakutaka wewe Ili tukushone mdomo
 
Kucheza fainali shirikisho, sijui kudraw na Mamelod hakuhalalishi kushinda kila mechi. Mbona huzungumzii ya CAF msimu huu kwa kushindwa kufuzu kundi bovu kama lile.Ni punguani tu atawewekea dhamana uto kuwa hawawezi kuhonga ili washinde wakati mara kwa mara wanapigwa faini kwa kupita mlango usio rasmi na hawaachi.
Kwenye lile kundi la yanga, Simba anaweza kuifunga timu gani?
 
Jidanganye na timu lako bovu lililoishia makundi kwenye kundi bovu.We kweli uto eti mvua ya magoli ingekuwa rahisi hivyo mngeifunga MC Alger ,mlijiaminisha hivyo hivyo, yaani akili zenu mnafikiri mpira mnacheza dhidi ya mabibi zenu.
Kumbuka mwamedi alihiujumu Utopolo kupitia kwa yule kocha aliyetimuliwa ambapo kwa makusudi akaona njia rahisi ni wacgezaji wawe huru kwenda popote ikiwemo Casino.

Sasa hivi Mwamed amekuwa kama mkimbizi!
 
sawa yanga kashindwa kutoboa makundi klabu bingwa ila kamwe hakuna kiazi chochote NBC anayeweza kumzuia yanga hiyo kila mtu anajua,wewe tu ndo unajitoa akili
Mbona mlitobolewa na Tabora utd hivyo ni ukilaza kusema hamzuiliki na ilikuwa mwisho tu kwa Tabora utd kuwatoboa.Hakuna mtu yeyote ukiwemo wewe anaweza kuweka mali yake kama nyumba kwamba ana uhakika wa uto kuifunga simba,hayupo. Hapa unajifariji tu na mihemko ya kishabiki maandazi.
 
Kwani mpaka Al hilal anatufunga hukujua tulikuwa kwenye Hali gani?

Sisi tunakutaka wewe Ili tukushone mdomo
Kwa hiyo simba imebaki vile vile tangu mlipoifunga ila nyinyi tu ndio mmeboreka? sasa wewe kariri kwamba kijili atajifunga tena.
 
Back
Top Bottom