Kumbukizi: Tupac na Yaki Kadafi enzi za utoto wao

Kwanini late 60 to 90 kulikua na wimbi kubwa la Black people kubadiri kua waislam??
Movement za national of islam toka miaka ya 1930 ulianzishwa na wallace baadae miaka ya 1950s chini ya kina Malcom x na Elijah ndio ikashika kasi, blacks wengi wakawa wafuasi akiwemo Mohammed Ali na hii ndiyo ilipelekea mpaka malcom x kupigwa risasi.
National of islam ilikuwa religious and political movement kwa waafrika tofauti na uislam wa siku zote na ulikuwa haufungamani na uislam moja kwa moja wa waarabu ulikuwa unamafundisho tofauti ulibase kwa watu weusi.
Ukimsoma malcom x utajua mengi kuhusu national of islam na nguvu yake kwa blacks
 
Kila tarehe 9 october ni siku ya kuzaliwa ya Rapper Yafeu Akiyele Fula A.K.A Yaki Kadafi. Mama yake Diamond huwa anasema kwamba kipindi Rommy Jones akiwa mdogo ilifikia hatua hata kumpa nyonyo japo hakua mwanae ila alikuwa na urafiki na mama yake Rommy.

Hivyo hivyo kwa huyu bwana mdogo Yaki Kadafi, familia yake na ya Tupac walikua marafiki na wote walikuwa wanachama cha Black Panther Party. kwaiyo muda mwingi aliutumia akiwa na kaka yake wa kufikia Tupac, Tupac alimizdi miaka 5/6.

Kwaiyo walikua pamoja kama kaka na mdogo kama vile Rommy Jones na Diamond wamekuwa. Umeona anajiita Yaki Kadafi and it sound like Gadaffi. Yes it is.

Kundi la Outlawz lililoundwa na Tupac, walikua wanatumia A.K.A za Madikteta mbalimbali;
  • Hussein Fatal - Jina la Sadam Hussein
  • E.D.I Mean - Jina la Idd Amin dada
  • Kastro - Fidel Castro
  • Mussolini - Benitto mussolini
  • Napoleon - Napoleon Bonaparte
Except 2Pac pekee ndio alijipa jina la mwanafalsafa kutoka Italia, Nicolo Machiaveli and 2Pac Remains as Phylosophical rapper ever lived.

Bahati mbaya wote wawili waliuawa kwa risasi ndani ya mwaka mmoja.
View attachment 2386245
TUPAC IS TRUTH
 
Hili liko wazi
Can't reach the children 'cause they're illin'
Addicted to killin' and the appeal from the cap peelin'
Without feelin', but will they last or be blasted?
Hard headed bastard
Maybe he'll listen in his casket; the aftermath
More bodies being buried, I'm losin' my homies in a hurry
They're relocatin' to the cemetery
Got me runnin', stressin', my vision's blurry
The question is will I live? No one in the world loves me
I'm headed for danger, don't trust strangers
Put one in the chamber whenever I'm feeling this anger
Don't wanna make excuses, cause this is how it is
What's the use? Unless we're shootin' no one notices the youth
 
Can't reach the children 'cause they're illin'
Addicted to killin' and the appeal from the cap peelin'
Without feelin', but will they last or be blasted?
Hard headed bastard
Maybe he'll listen in his casket; the aftermath
More bodies being buried, I'm losin' my homies in a hurry
They're relocatin' to the cemetery
Got me runnin', stressin', my vision's blurry
The question is will I live? No one in the world loves me
I'm headed for danger, don't trust strangers
Put one in the chamber whenever I'm feeling this anger
Don't wanna make excuses, cause this is how it is
What's the use? Unless we're shootin' no one notices the youth
It's just me against the world, baby..
 
Pana utata kifo Cha pac,dzain Kuna mkono wa serikali,polisi wakizuwia juhudi za Askari mmoja kufuatilia
Kifo cha Pac hakina utata, chanzo chake na aliyemuua vinajulikana, hakuna cha mkono wa Serikali. Tatizo ni kwamba upelelezi ulikuwa mgumu kutokana na walioshuhudia kufuata street code na kukataa kutoa ushirikiano kwa polisi (ku-snitch). Hata Suge pamoja na kumjua aliyemuua Pac alikataa kutoa maelezo ambayo yangesaidia upelelezi.

By the way, faili la kesi ya Pac halijawahi kufungwa na juzi juzi kuna taarifa kwamba Las Vegas Police Department wamepata ushahidi wa kuwawezesha kuendelea na upelelezi.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Uzi umenitoa machozi huu. 2Pac, Lucky Dube na Whitney Houston ndio wasanii ninaowapenda zaidi katika ulimwengu wa muziki. Wapumzike kwa Amani.
 
"Screaming, "Thug 'til I die" before I passed out
But now that you're gone, I'm in the zone
Thinking I don't wanna die all alone, but now ya gone
And all I got left are stinkin' memories
I love them n—s to death, I'm drinkin' Hennessy
While trying to make it last
I drank a fifth for that when you passed
'Cause life goes on"
View attachment 2386418

I drank a fifth for that 'ASS' when you passed
'Cause life goes on"
 
Can't reach the children 'cause they're illin'
Addicted to killin' and the appeal from the cap peelin'
Without feelin', but will they last or be blasted?
Hard headed bastard
Maybe he'll listen in his casket; the aftermath
More bodies being buried, I'm losin' my homies in a hurry
They're relocatin' to the cemetery
Got me runnin', stressin', my vision's blurry
The question is will I live? No one in the world loves me
I'm headed for danger, don't trust strangers
Put one in the chamber whenever I'm feeling this anger
Don't wanna make excuses, cause this is how it is
What's the use? Unless we're shootin' no one notices the youth
Me against the world
 
Movement za national of islam toka miaka ya 1930 ulianzishwa na wallace baadae miaka ya 1950s chini ya kina Malcom x na Elijah ndio ikashika kasi, blacks wengi wakawa wafuasi akiwemo Mohammed Ali na hii ndiyo ilipelekea mpaka malcom x kupigwa risasi.
National of islam ilikuwa religious and political movement kwa waafrika tofauti na uislam wa siku zote na ulikuwa haufungamani na uislam moja kwa moja wa waarabu ulikuwa unamafundisho tofauti ulibase kwa watu weusi.
Ukimsoma malcom x utajua mengi kuhusu national of islam na nguvu yake kwa blacks
National of Islam Nation of Islam (NOI)
 
Uzi umenitoa machozi huu. 2Pac, Lucky Dube na Whitney Houston ndio wasanii ninaowapenda zaidi katika ulimwengu wa muziki. Wapumzike kwa Amani.
Five shot didn't stop me, I took and smiling.
Mwaka 1994 Tupac akiwa katoka hospital baada ya kupigwa risasi
FB_IMG_16699219050141233.jpg
FB_IMG_16699219757249983.jpg
 
Back
Top Bottom