figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,772
- 56,225
Profesa na Dr Anna Tibaijuka Mwanamke wa kwanza kuliongoza shirika la Umoja wa Mataifa la makazi UN-HABITAT.
Achana na kuwa Mbunge wa Muleba Mkoani Kagera sijui kuwa Waziri. Huyu alikuwa mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi duniani UN habitat.
Anakuambia si rahisi kupata katiba mpya katika Mazingira ya Amani.
WEWE UNAYEPINGA KATIBA MPYA WEKA WASIFU WAKO HAPA
Achana na kuwa Mbunge wa Muleba Mkoani Kagera sijui kuwa Waziri. Huyu alikuwa mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi duniani UN habitat.
Anakuambia si rahisi kupata katiba mpya katika Mazingira ya Amani.
WEWE UNAYEPINGA KATIBA MPYA WEKA WASIFU WAKO HAPA