MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,195
Namwambia tulia bi mkubwa hivi ukijitamba kwa shoga zako kuwa mwanao nasoma Japani bado haitoshi tu, jina la chuo la nini sasa?Hivi Kama Bi. Mkubwa wako ndo anaishi Kijijini Na anakuuliza mwanangu hivi unasoma Chuo gani huko Japan, unamjibuje!?