imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,726
- 87,809
Mbona Allah hakuzuia milipuko ya hizo Devices.Uwezo wa kweli ni wa Allah.
Mbona Allah hakuzuia milipuko ya hizo Devices.Uwezo wa kweli ni wa Allah.
Nipo huku katavi natafuta asali fresh, sio wewe upo kununusa nusa wayahudi 😄Unateseka ukiwa wapi shehe.🤣🤣🤣
Hahaha,Kama solar panel nazo zimelipuka Leo kwenye baadhi ya majengo hapo Lebanon itakuaje Kuanzia kesho kwenye vyombo vya usafiri...
Nimeona waziri wa mambo ya ndani ameomba UN kuingilia Kati hapa kuna Hali mbaya sanaa.
Kuanzia kesho wananchi hawatatumia device zao maana Hadi microwave zime-jam yaani kwakifupi kuna taharuki kubwa
Betrii za Lithium mlipuko wake unajulikana ni mdogo.Babu zinalipuka vizuri tu,hao wataalam washalipwa na kampuni za tech Ili watu wasione simu ni bomu
Kushindwa kiungwana ni kushinda.Wakati wao waarabu na waajemi wakitaka kujibu wataitisha press conference, wataitaarifu US, yaani wanamuandaa muhusika. Kama hawana uwezo wanatakiwa kukubali tu kuwaacha Israel itambe hapo Middle east.. kushindwa kiungwana ni kushinda.
Muislam akiuliwa na kafiri au akimuua yeye wakati anapigania ardhi na haki yake huyo huwa minalfaidhiina. Yaani anakuwa amefaulu. Tofauti na kafiri kama wewe
Kabla ya kufanyiwa manuvaBetrii za Lithium mlipuko wake unajulikana ni mdogo.
-Kifo Cha Rais wa Iran na waziri wa mambo ya nje
-Kifo Cha Haniyeh ndani ya nchi ya Iran
-Shambulio la kulipuka kwa vilipuzi ,
Haya matukio yote ni matokeo ya operation za kijasusi za Israel na kamwe huwezi sikia wanaongelea.
Manuva gani?!Kabla ya kufanyiwa manuva
Dogo, wacha porojo, jikite kwenye madaMuislam akiuliwa na kafiri au akimuua yeye wakati anapigania ardhi na haki yake huyo huwa minalfaidhiina. Yaani anakuwa amefaulu. Tofauti na kafiri kama wewe
Ni miongoni mwa mada. Hujaipenda tuDogo, wacha porojo, jikite kwenye mada
Betrii za Lithium mlipuko wake unajulikana ni mdogo.
Manuva gani?!