Kulipuka kwa Pagers/RadioCalls Lebanon ni pigo kubwa kwa sekta ya uchukuzi na usafirishaji duniani

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
7,915
19,177
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.

Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.

Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.

Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.

Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.

Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/

ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?

Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.

Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.

Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.

Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.

Ni hayo tu.
 
Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.
-Kifo Cha Rais wa Iran na waziri wa mambo ya nje
-Kifo Cha Haniyeh ndani ya nchi ya Iran
-Shambulio la kulipuka kwa vilipuzi ,
Haya matukio yote ni matokeo ya operation za kijasusi za Israel na kamwe huwezi sikia wanaongelea.
 
-Kifo Cha Rais wa Iran na waziri wa mambo ya nje
-Kifo Cha Haniyeh ndani ya nchi ya Iran
-Shambulio la kulipuka kwa vilipuzi ,
Haya matukio yote ni matokeo ya operation za kijasusi za Israel na kamwe huwezi sikia wanaongelea.
Wakati wao waarabu na waajemi wakitaka kujibu wataitisha press conference, wataitaarifu US, yaani wanamuandaa muhusika. Kama hawana uwezo wanatakiwa kukubali tu kuwaacha Israel itambe hapo Middle east.. kushindwa kiungwana ni kushinda.
 
Kuna Gaidi mmoja alijiwekea Mlipuko wa Plastiki katika njia yake ya haja kubwa ili awalipue viongozi wake, kwasababu wanashirikiana na "Makafiri", ule mlipuko ukalipuka kabla ya muda wake kwasababu ya Joto la njia ya haja kubwa huko Saudi Arabia.

Huyo Gaidi aliteketea kabisa na kubaki minofu na mingine ikakutwa juu ya miti.
 
Kwa upande wa tech.. inawezekana kucode multiple tasks ambazo zitapelekea simu au kifaa chochote kipoteze uwezo wake wa kawaida hasa wa kufunga programs na kulimit HEAT...

Sasa multiple programs zikifunguliwa kwa wakati mmoja kuna mawili yanatokea.

1- KUISHIWA CHARGE haraka na overheating
2- OVERHEATING na kulipuka.

Ndio maana simu za mchina hasa za zamani ukizitumia sana zinachemka (zikapewa jina la pasi)

Mdukuzi anaweza zimisha heating sensors na kuipachikia backdoor ambayo itarun multiple task, chombo kupata moto na kushindwa kujicontrol then kulipuka na ikifeli basi itadrain battery yotee..

Kwa uwezo wangu mdogo nafkir Shambulio lilijengwa ndani ya mizania hiyo..
 
Kama solar panel nazo zimelipuka Leo kwenye baadhi ya majengo hapo Lebanon itakuaje Kuanzia kesho kwenye vyombo vya usafiri...
Nimeona waziri wa mambo ya ndani ameomba UN kuingilia Kati hapa kuna Hali mbaya sanaa.
Kuanzia kesho wananchi hawatatumia device zao maana Hadi microwave zime-jam yaani kwakifupi kuna taharuki kubwa
 
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.

Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.

Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.

Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.

Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.

Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/

ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?

Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.

Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.

Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.

Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.

Ni hayo tu.
Wacha kujinyongeza kwa kusema wenye uwezo.Uwezo wa kweli ni wa Allah.
Hivyo tukio hili lina athari mbaya zaidi kuliko kupigana na Hizbullah.
 
Huwa naamini smarphone ni kama bomu tu, hao wazungu wanaweza kutrigger hiyo lithium battery na kukulipua muda wowote kama wanashida na wewe. Hata Hesbullah walijua hilo wakabuni kutumia simu za kizamani Pagers. Ingawa ni za kizamani lakini marekani kuna watu zaidi ya Millioni 2 wanazitumia. Hasa sekta ya afya.

Nimesoma mahala huko lebanoni, Iphone machomatatu moja imelikupa, Radio Calls za kampuni ya kijapan (Icom) zimelipuka na kuua. Pagers hizo kutoka Hungary ndio habari inayosambaa duniani.

Kwa taarifa zisizo rasmi wanadai inawezekana zilibadilishwa kinamna na majasusi wa Israel na kupandikiziwa vilipuzi. Hii ni kawaida miaka ya 70 hadi sabuni za hotelini ulaya ziliwekewa vilipuzi na majasusi wakiwawinda wabaya wao.

Wengine wanasema Israel imehack hivyo vifaa na kuvilipua kwa msaada wa materials yaliyotumika kutengenezea vifaa hivyo.

Pamoja na Yote, Israel kama kawaida yqke haijasema chochote na sitegemei iseme chochote. Matukio haya yatabaki kama hitilafu za kiufundi kwa vifaa vya hesbullah na ndugu zao.

Soma Pia: https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-linalosadikiwa-kufanywa-na-israel-dhidi-ya-magaidi-wa-hezbullah-kwa-kupitia-pagers-lathibitisha-akili-kubwa-ya-myahudi.2257919/

ISHU YANGU
Kama makontena ya Redio/Simu/Pagers yamesafiri kwa ndege kutoka Korea Au Hungary au Japan hadi kufika huko. Kote ndge zilikopita watu wa CIVIL AVIATION huwa wanamitambo mikubwa ya kisasa kugundua milipuko lakini haikujulikana. Je hatuoni kwamba sasa hii elimu iliyotumika ikitua mikononi mwa watu wenye nia ovu dunia haitakuwa salama.?

Mtu anaweza kuwa anapokea simu kumbe sio simu aliuziwa bomu.

Wale mnaopenda vitonga, kumbe pagers na simu za hesbullah zimeibiwa kimagendo na kuuzwa mitaani kwa kudanganywa ni used za dubai, zinakulipua na kupasua nusu fuvu.

Wale wa makampuni ya ulinzi wanaotumia radio calls kama hizo ICoM au Motorola, kama hazijatoka sehemu salama zinaweza kugeuka mabomu.

Kimsingi nimejifunza. Duniani tujifunze kunyooka. Hakuna aliye salama, chagua kuwa mwema tu. Leo Hesbullah wote wakiitana kwenye radio wanazikimbia. Simu zikiita wanazitupa. Hakuna aliye salama duniani. Kuwa mwema fanya yanayokuhusu kwa nia njema hata yakikupata isiwe kwa sababu ya kujiingiza kwenye migogoro hasi na wenye uwezo.

Ni hayo tu.
Kobazi mkiambiwa acheni uchokozi dhidi ya myahudi hamumuwezi mnasema oooh!! Atatusaidia siku moja ona myahudi anaweza kukulipua kupitia smart phone yako, kupitia gari lako, kanzu yako mwenyewe
 
Israel na US na Europe ni magaidi tu wameona Israel kashindwa vita na Hezbullah wakadhani kufanya hivyo watawatisha Hezbullah. Kesho kiongozi wa Hezbullah ataeleza kichapo watakacho mchapa Israel.
 
Kwa upande wa tech.. inawezekana kucode multiple tasks ambazo zitapelekea simu au kifaa chochote kipoteze uwezo wake wa kawaida hasa wa kufunga programs na kulimit HEAT...

Sasa multiple programs zikifunguliwa kwa wakati mmoja kuna mawili yanatokea.

1- KUISHIWA CHARGE haraka na overheating
2- OVERHEATING na kulipuka.

Ndio maana simu za mchina hasa za zamani ukizitumia sana zinachemka (zikapewa jina la pasi)

Mdukuzi anaweza zimisha heating sensors na kuipachikia backdoor ambayo itarun multiple task, chombo kupata moto na kushindwa kujicontrol then kulipuka na ikifeli basi itadrain battery yotee..

Kwa uwezo wangu mdogo nafkir Shambulio lilijengwa ndani ya mizania hiyo..
Umeandika kitaalam.
Ila ile pager ni ndogo sana kulinganisha na battery za simu kubwa tunazotumia.
Mtu mmoja kalipukiwa tumbo nusu limekatika, mwingine uso wote umefumuka. Wengine wanasema pamoja na ile battery zile pagers ziliwekewa vilipuzi saidizi kwenye baadhi ya zile IC zake. Ila zote ni conspiracy tu za wachambuzi. Hii naamini itakuwa inewarudisha nyuma sana
HESBULLAH Ila sio kuwakatisha tamaa maana wale wajomba wana resilience na uvulilivu wa juu sana kwenye mambo waliyoamua. Ila yote yanawezekana. Inawezekana walikuwa wanaandaa jambo baya zaidi wamewahiwa.
 
Back
Top Bottom