Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Al muhimu amewakilishwa bac hapa kazi tu
Aidha:Nimeshangazwa kidogo kwa kitendo cha Rais Dkt Magufuli kuwaandalia karamu ya kuukaribisha mwaka mpya, mabalozi na Maafisa wa kimataifa waliopo nchini na kisha yeye mwenyewe kumtuma waziri wake wa mambo ya nje kumwakilisha.
Kwa maoni yangu naamini hili ni kosa la kiufundi hasa ikizingatiwa kuwa Magufuli ndio ameanza tenure yake kama Raisi na hivyo angepaswa kutumia fursa hiyo kikamilifu ili kujenga taswira yake vema kimataifa kupitia kile anachokiamini na kusimamia.
Taarifa iliyorushwa na vyombo vya habari haikusema ni dharura gani aliyokuwa Mhe Rais ilihali yupo nchini.
Aidha:
aliogopa kususiwa mambo ya znz
au anahitaji kwenda chuo cha kidiplomasia kidogo
sugu alimwambia take a flight man ! woga fulani hivi
Nchi itatengwa siku si nyingi
Huyu jamaa hajaacha hii tabia ya tu kukimbia kimbia kila kitu. Namkumbuka shuleni alikuwa anakimbia midahalo hata ile ya Development Studies! Ndio maana hadi leo anajua yeye anajuaga ya kwamba Sadam ni Rais wa kuwait!
Development studies ndio inafundisha Sadam ni Rais wa wapi? Nonsense
Alaaah!!!ulipiga naye kitabu nn Mkuu??Huyu jamaa hajaacha hii tabia ya tu kukimbia kimbia kila kitu. Namkumbuka shuleni alikuwa anakimbia midahalo hata ile ya Development Studies! Ndio maana hadi leo anajua yeye anajuaga ya kwamba Sadam ni Rais wa kuwait!
Sasa mkuu wewe unadhani kwa yeye kukaa pembeni kukwepa maswali au mihemuko itasaidia kumaliza haya matatizo au jipu ndo litazidi kuwa kubwa?Mambo yanavyoenda huko Zanzibar na katazo walilopigwa mabalozi hata kutembelea shule na zahanati sio sifa njema,kuepuka maswali na mihemuko ni bora kukaa pembeni!!!
Haya mambo ya UKAWA hapa yaninguaje? Huyu sio raisi wa CCM ni Rsisi wa Tanzania, kichwa maji we!!Mtalalama sana, hata Samatta kutoitwa ikulu Ukawa mlipiga kelele!
Mkuu hiyo sentensi yako ya mwisho unauliza swali au unatoa maelezoSijui atakimbia hivi hadi lini? Ni bora akafungua darasa la kiingereza pale Magogoni. Mbona walimu wazuri wa kiingereza hata humu JF wamo?
Ukizingatia kwamba lugha ya malkia ni kitendawili kigumu sana pale!!Ha ha ha! Zanzibar ni kaa la moto. Angeulizwa, unategemea angejibu nini?!
nani aliyekuambia ni ukweli ulio wazihio nonsense kwako wewe ndio common sense !
you utter nonsensehio nonsense kwako wewe ndio common sense !
Alikimbia kila kitu ndiyo maana akafika ikulu. Wewe uliyewahi kila kitu, bado tunaburazana humu.Huyu jamaa hajaacha hii tabia ya tu kukimbia kimbia kila kitu. Namkumbuka shuleni alikuwa anakimbia midahalo hata ile ya Development Studies! Ndio maana hadi leo anajua yeye anajuaga ya kwamba Sadam ni Rais wa kuwait!