Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,548
Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.
Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.
Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.
Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.
Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.
Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?