Kujenga uwanja wa siti 32,000 Dodoma, Ni kukosa Maono

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,206
18,548
Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.

Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.

Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.

Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
 
Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.

Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.

Ilikuwaje mkapa miaka 40 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa watu 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.

Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilidika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
Duh!!! Halafu mji unakua kwa kasi sana sasa hivi why are they doing this???!!!!
 
Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.

Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.

Ilikuwaje mkapa miaka 40 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa watu 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.

Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilidika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
walitakiwa wajenge uwanja wa 40 seats. na wakazi
 
Yale Yale ya Amani stadium Zanzibar, wametumia mabilion kuujenga wamekuja FIFA na CAF wakasema haukidhi viwango vya kimataifa sasa hivi wanaujenga upya.

Viongozi wa CCM ukifikiria sana utendaji wao unaweza pata stroke.
Huko juu wanajiona wao ndio wenye akili, wakati mtanzania mwenye exposure ya nje anaona kabisa hamna kitu, hawapendi kukosolewa. Halaf wakibanwa wanatoa mlio
 
Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.

Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.

Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.

Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
Ni madhara ya kuwa na viongozi waliodumaa kiakili.Wanawaza mwisho wa urefu wa pua zao.
 
Uwanja wa 30K ni sahihi kabisa kwa sehemu kama Dodoma hata kwa miaka 20 ijayo. Kuna watu mnataka Dodoma iende kuwa kama Dar es Salaam, mtazamo ambao ni kosa.
 
Yale Yale ya Amani stadium Zanzibar, wametumia mabilion kuujenga wamekuja FIFA na CAF wakasema haukidhi viwango vya kimataifa sasa hivi wanaujenga upya.

Viongozi wa CCM ukifikiria sana utendaji wao unaweza pata stroke.
Amani ina capacity ya 15,000 baada ya kuujenga upya kwa bilions of money,
 
Ramani yenyewe ni mbaya sana.Haina mvuto kabisa.Hawa ccm sijui Huwa wanaokota wapi ramani zao za hovyo namna hiyo.
 
Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.

Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.

Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.

Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
Gharama za huo uwanja ndiyo kituko.
 
kwanini unaenda kwenye conclusion haraka una mwanasheria..?
Mimi Babu yake ni Bush Lawyer! Nitamtetea kwenye mahakama yoyote ile hapa duniani. Maana alichokisema Mjukuu wangu kina ukweli kwa 💯%
 
Back
Top Bottom