Kuishi na Wapalestina ni Jaribu kubwa sana, Syria yaanza Kuwatimua baadhi yao

stormryder

JF-Expert Member
Mar 23, 2013
3,902
5,999
Serikali mpya ya Syria imeamua kuwatumia PIJ kikundi cha Kigaidi kilichokuwa kinafanya Shughuli zake nchini humo sasa, waende Iraq na Iran na huko walete laana


View: https://x.com/xumas_iq/status/1914553355235471450

Chanzo chake ni hivi

Wakati mapinduzi ya Syria yaanaza, Hamas na Wapalestina wengi walishirikiana na Waasi kumpindua Assad, Assad akaamua kuwatimua.

Hawa PIJ wakaamua kuwa Upande wa Assada, na kuua sana waarabu wengine, sasa wanalipa walichopanda.

Hawa watu wana laana sana
 
Serikali mpya ya Syria imeamua kuwatumia PIJ kikundi cha Kigaidi kilichokuwa kinafanya Shughuli zake nchini humo sasa, waende Iraq na Iran na huko walete laana


View: https://x.com/xumas_iq/status/1914553355235471450

Chanzo chake ni hivi

Wakati mapinduzi ya Syria yaanaza, Hamas na Wapalestina wengi walishirikiana na Waasi kumpindua Assad, Assad akaamua kuwatimua.

Hawa PIJ wakaamua kuwa Upande wa Assada, na kuua sana waarabu wengine, sasa wanalipa walichopanda.

Hawa watu wana laana sana

Mshaambiwa watu Wana Laana zao hawo popote fujo wanawaza Kuchinja Kuchinja na kujitoa mhanga achana nawo
 
Wengi hawana hata haki ya kupiga kura kwenye bunge la Israel , pia wengine wamewekewa masharti makali ya kuwa raia wa Israel
Una uhakika mzee umefika ukaona au unasikilizq umbea wa madrasa. Mi hilo eneo nalizunguka kila baada ya miez miwili cjawah kuona shule au masoko au tofauti yeyote ya kati ya mwarabu au druze, au myahud, au msamaritan au mabedui. Kuna wabunge katika hizo jamii zote, wapo police wapo wanajeshi, wapo kila race. Cjui huu uongo mnaongea kwa faida ya nani. Au unafikir wakati hilo eneo linatawaliwa lilikuwa na waarabu peke yake?
 
Una uhakika mzee umefika ukaona au unasikilizq umbea wa madrasa. Mi hilo eneo nalizunguka kila baada ya miez miwili cjawah kuona shule au masoko au tofauti yeyote ya kati ya mwarabu au druze, au myahud, au msamaritan au mabedui. Kuna wabunge katika hizo jamii zote, wapo police wapo wanajeshi, wapo kila race. Cjui huu uongo mnaongea kwa faida ya nani. Au unafikir wakati hilo eneo linatawaliwa lilikuwa na waarabu peke yake?
Ulivyoenda huko haukugundua kuwa wapo wakazi wa kipalestina wana ukazi wa kudumu tu na sio raia waisraeli?
 
Kwa hiyo wapalestina hawana tatizo lolote jerusalem?
Kuna tofauti ya wapalestina wa west bank na wapalestina walioamua kuwa waisrael. Hao unaosema wanabaguliwa kwasababu ya kiusalama na kuna gate za upekuz kila mahal wakitaka kuingia Israel. Ila huo ubaguz ulisababishwa na wao kuingia na kulipua mabomu. Lakin kabla hawajamaa wengi tu wanafanyakaz Israel na na kurud kwenye eneo lao la utawala wa ndan. Ni kama wapalestina wa Gaza wengi tu walikuwa wanafanyakaz Israel ila Oct 7 wote kaz.imeisha na utaanza kuona wanawekewa utaratibu mgumu wa kuingia wa kiusalama. Ambao wewe utase.a ni ubaguz.
 
Kuna tofauti ya wapalestina wa west bank na wapalestina walioamua kuwa waisrael. Hao unaosema wanabaguliwa kwasababu ya kiusalama na kuna gate za upekuz kila mahal wakitaka kuingia Israel. Ila huo ubaguz ulisababishwa na wao kuingia na kulipua mabomu. Lakin kabla hawajamaa wengi tu wanafanyakaz Israel na na kurud kwenye eneo lao la utawala wa ndan. Ni kama wapalestina wa Gaza wengi tu walikuwa wanafanyakaz Israel ila Oct 7 wote kaz.imeisha na utaanza kuona wanawekewa utaratibu mgumu wa kuingia wa kiusalama. Ambao wewe utase.a ni ubaguz.
Je huo utaratibu kwa nini wewe kama mgeni uniwekee mimi kwenye nchi yangu? Hauoni kuwa kuna namna wapalestina wanakosa haki zao za msingi ndani ya taifa Lao wenyewe?
 
Je huo utaratibu kwa nini wewe kama mgeni uniwekee mimi kwenye nchi yangu? Hauoni kuwa kuna namna wapalestina wanakosa haki zao za msingi ndani ya taifa Lao wenyewe?
Nani mgeni chief. We unafikir kabla hilo eneo walikuwepo waarabu tu sio. Wakat wa utawala wa ottoman hujui walikuwepo wayahud, druze, wasamaria, mabedui, na waarabu? Kila mtu ni nchi yake so kuja wayahud wa ulaya uarabun qu afrika haimaanish hawakuwepo wayahud wakiishi vizur pamoja. Na waarabu waliokubali kuendelea kukaa pamoja na wenzao ndio walioamua kujiita waisrael ila hawa waliojiita wapalestina ndio wakaanzisha mapambano ndio wanakalia moto. Haki tako inapoishia ndipo ya mwenzio inaanzia
 
Back
Top Bottom