Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 299,554
- 751,993
Ndizi hailiwi na gandaha ha ha!
kwanini..?
Ndizi hailiwi na gandaha ha ha!
kwanini..?
Unapewa ice cream tamu iliyofungwa kwenye kimfuko cha nylon halafu unaambiwa uilambe bila kufungua....mambo mengine yanatia hasira sanaha ha ha!!
kweli kbs lkn tutafanyaje wkt tupo kwenye fumbo..?
Imani ni fumbo mkuu.dogma
Kristu alifufuka. Imani inakuja baada ya kuacha kufikiria/kutumia akili. Ole wako utumie akili yako . Kitu kama kristu alifufuka, kristu alitembea juu ya maji yote hayo ni mafumbo.Hili ni fumbo au ukweli!?