Kuibuka sasa kwa kashfa ya LUGUMI ni mpango wa Mungu Watanzania wamjue waliomuamini na kumsifia

Utapita upepo, litakuja tukio lingine. Jua kwamba ukimpinga Magufuli huku uraiani ni sawa na uhaini kwa raia, wanaweza wakakupiga mawe.
Endelea kukaza buti ukisubiri matukio.
Hii ishu ya LUGUMI umeiweka ukiongozwa na chuki dhidi ya JPM.
JPM ni chaguo la Mungu na pia Mungu kaamua kutuletea Sokoine ndani ya Magu.
Mnakuwa na akili fupi kama nukta, juzi ya Kilango mmepiga kelele hajatendewa haki ilhali 'Sokoine 2' alisema alituma timu yake ya uchunguzi na kuridhika, sasa hii mmaanza kukurupuka tena, unajua kinachoendelea nyuma ya pazia au bado una hasira za bosi wako kukosa kiti cha ikulu?
Dude, kubali matokeo, chuki yako itakumaliza. Una miaka kumi ya kuandika utumbo hapa JF kila siku na miaka kumi ya chuki yako kukumaliza zaidi.
 
Teh Teh kuna siku ulisema una subiri amtumbue aliye mteua na hili likipita utasema tena...
BAWACHA mmeshakuwa kama watoto Yatima ni kulialia tuu.
Hapo kwenye bold sijapapenda, kumbuka hilo halina mwenyewe cause hata wewe watoto wako wanaweza kujikuta wamekua YATIMA mwamuzi akiamua so watch out your words, mungu sio Athumani hata hao watoto uliowatolea mfano hawakuomba, iliwatokea tu.
 
Hivi vetting ya Wamawaziri alifanya yeye mwenyewe au aliletewa list?. Ni muda sasa kelele za kila siku kuwa Mali za watumishi fulani fulani e.g Mbunge,Waziri,Katibu kuu,Rc,DC,Wakuu wa Majeshi etc ziwe public!
Jingine uteuzi wa Mawaziri kwanini tusiweke wazi nako katika hatua za awali. Kwamba Raisi baada ya kupata majina ya wateule wake anayaweka wazi kabla ya kudhitisha na kuapishwa na kuna kuwa na public vetting isiyo rasmi huku Wanausalama wakiwa macho muda wote huo kutafuta Info dhidi ya wateule hao.

Tutaweza kuondokana na aibu hizo!
 
Hivi wakisimamishwa bila uchunguzi wewe si utakuja hapa kuanza kusema kuwa wanaonewa? Hivi mmejisahau huwa mnasema serikali ina kurupuka? Leo hii mnataka watu wasimanishwe kazi hata niki kuuliza nani asimamishwe na kwasababu gani hujui!

Kwanini mnakuwa na vichwa vya panzi? Hivi ulimsikia mwenye kiti wa PAC jana?
ngoja wachunguzwe kwanza, utasikia IGP wa TZ kasweka rumande hapo
 
Unaweza tueleza hapa huo mkataba ulisainiwa lini? je unfahamu uchunguzi unaoendelea umefikia wapi?

Unalinganisha la mama Kilango unasahau mama Kilango JPM kabla ya kuchukua hatua alituma vijana wake kuthibitisha juu ya ukweli wa kutokuwepo kwa watumishi hewa? au unajifanya hufuatilii kwa kina maeneo yote aliyochukua hatua alifanya hivyo baada ya kujiridhisha na taarifa za kiuchunguzi?

Kama unabisha kwanini husemi kuhusu Dr DAU pamoja na tuhuma zote kwanini hajafikishwa mahakamani?

Jiongeze sana kabla ya kuleta hoja. TATIZO NI CHUKI ZAKO DHIDI YA JPM hilo liko wazi tu wala haishangazwi

Ndio nyie mnaoponda hatua zinazochukiwa za kuwawajibisha watendaji wa serikali wanaotumia vibaya ofisi zao

Lakini haishangazi kwani AGENDA zenu zishajulikana vizuri

Jipangeni upya
Magufuli majipu mabaya katikati ya makalio hayawezi anaweza vijipu uchungu vya usoni habari za Dau siwalikuwa wanafanya wote Magufuli akiwa ujenzi nani alisaini mikataba ya miradi kama ya Daraja la Kigamboni kwa niaba ya serikali si ni Magufuli yeye hawezi kujitumbuwa uchunguzi gani wakati wengine anawaweka ndani huku uchunguzi ukiendelea
Kama angekosa msiri wake Kitwanga kuwa wizara ya mambo ya ndani sasa hivi angeitisha vyombo vyote mpaka vya nje wamuone anavyotoa utani wa kutumbuwa waziri IGP na huyo jamaa wa nyumba 40
 
JAMANI KWA MAMA KILANGO MMELALAMIKA KUWA HAJATENDA HAKI KWANI HAKUPEWA NAFASI YA KUSIKILIZA.SASA AMETULIA AONE WIZARA NA BUNGE WATAFIKA WAPI ILI ASILALAMIKIWE KUWA HAKUTOA MUDA WA KUTOSHA BADO MNALALAMIKA. HUU UJINGA SASA
Kwani suala la mama kilango na lugumi limeanza lipi ?
 
Magufuli majipu mabaya katikati ya makalio hayawezi anaweza vijipu uchungu vya usoni habari za Dau siwalikuwa wanafanya wote Magufuli akiwa ujenzi nani alisaini mikataba ya miradi kama ya Daraja la Kigamboni kwa niaba ya serikali si ni Magufuli yeye hawezi kujitumbuwa uchunguzi gani wakati wengine anawaweka ndani huku uchunguzi ukiendelea
Kama angekosa msiri wake Kitwanga kuwa wizara ya mambo ya ndani sasa hivi angeitisha vyombo vyote mpaka vya nje wamuone anavyotoa utani wa kutumbuwa waziri IGP na huyo jamaa wa nyumba 40
Ubarikiwe sana mkuu.
 
Utapita upepo, litakuja tukio lingine. Jua kwamba ukimpinga Magufuli huku uraiani ni sawa na uhaini kwa raia, wanaweza wakakupiga mawe.
Endelea kukaza buti ukisubiri matukio.
Hii ishu ya LUGUMI umeiweka ukiongozwa na chuki dhidi ya JPM.
JPM ni chaguo la Mungu na pia Mungu kaamua kutuletea Sokoine ndani ya Magu.
Mnakuwa na akili fupi kama nukta, juzi ya Kilango mmepiga kelele hajatendewa haki ilhali 'Sokoine 2' alisema alituma timu yake ya uchunguzi na kuridhika, sasa hii mmaanza kukurupuka tena, unajua kinachoendelea nyuma ya pazia au bado una hasira za bosi wako kukosa kiti cha ikulu?
Dude, kubali matokeo, chuki yako itakumaliza. Una miaka kumi ya kuandika utumbo hapa JF kila siku na miaka kumi ya chuki yako kukumaliza zaidi.
sijaona hata raia unaosema wanamkubali magufli namba zake za kukubalika zimeshuka sana baada ya kuchagua mabishoo wapiga dili kama akina Muhongo Mwigulu January Makamba Nape, Jenestina Mhagama and so fourth kwa kweli hana nyimbo wamebaki wapiga mapambio tu
 
Watu wengine wanakesha kumuombea JPM mabaya...... Yeye pia ni binadamu ana mapungufu yake.... lakini suala la kutumbua majipu acha aendelee tuuu. Maana nchi ilifikia pabaya ilikuwa zaidi ya shamba la bibi.

Kuhusu naye kuwa na kashfa.... mimi kwangu sishangai.... kwa maana kwa awamu iliyopita ilikuwa imechafuka hivi kwamba kwa yeyote aliyekuwa anahudumu hata kama ni msafi namna gani hataweza nusurika, japo harufu ya uchafu utaipata.

Mimi nimekulia kijijini, mara nyingi tulikuwa tunapakia mbolea ya samadi kwenye trekta toka nyumbani kwenda shambani umbali wa kati ya kilometa 4 mpaka 8, siku zote trekta hilo lilikuwa chafu sana, hivi kwamba mtu yeyote atakayepanda trekta hilo lazima achafuke tu, hata akiwa amevaa suti au suruali ya Michael Jackson au Zico (Vikali vya miaka hiyo kwa wale waliokuwa wakijitambua miaka ya themanini na mwanzoni mwa tisini) lazima uchafuke tu.

Ndivyo ilivyokuwa serikali iliyopita, hata kama hupendi kuchafuka, utachafuka tu. Kuna watu wengi ambao hawakuwa wakipenda ufisadi na rushwa bali walipenda unyoofu lakini walilazimishwa moja kwa moja au na mazingira kuiba mali ya umma.

Hivyo maoni yangu mimi binafsi awe JPM alishiriki au hakushiriki kuiba mali ya umma, mimi binafsi namsamehe. Na sababu kubwa ya kumsamehe ni kwamba ameirudishia nchi heshima kwa kutofumbia macho vitu vingi tu vya kijinga ambavyo vilikuwa ni vya hovyo na ambavyo vilikuwa vikihujumu mali ya umma. Nina uhakika hata wewe uliyeleta hii mada unaona utofauti uliopo kati ya awamu hizi ambazo nchi yetu ilipitia.

Kwa wananchi wote wapenda maendeleo na wanaoitakia mema nchi yetu ya Tanzania, wanakubali na wanafurahia jinsi JPM anavyoshughuluka na matatizo ya nchi hii.

Nomba kuwasilisha.

eli.
 
Mungu ana makusudio kwa watu wake waliokuwa wameanza kulishwa matango pori kupitia vyombo vya habari kuwa amepatika malaika tena mtenda haki asiyestahili hata kukoselewa na ukimkusoa wewe si mzalendo bali una wivu tu na chuki dhidi yake.

Tumeaminishwa haangali sura,hana chama,anasimamia haki,hamuogopi mtu, n.k na zaidi tumuombe kwa mungu.

Hata hivyo,limeibuka jambo ambalo litawasaidi wengi kama si wote kujua ukweli halisi kuhusu mtu huyu na kama kweli anafanya mambo yanayostahili yeye kuombewa.

Mungu aliona asisubiri sana maana watu wake wanazidi kupotea.

NB: Kupitia mungu huyo huyo,vice versa is also true.

Tusubiri.
Jamaa unahangaika kweli ..uwe unalala wewe stakabadhi ya mshahara, magufuli humuwezi ndugu yangu.
 
Kwa tuhuma hizi nzito nilitarajia kusikia watu fulani wamesimamishwa au teuzi zao zimetenguliwa ila cha ajabu bado wako ofisini alafu tunaambiwa tumempata Sokoine!!!
Hata huyo Sokoine hakufanya kazi ya kunyang'anya wahalifu kutoka katika mamlaka nyingine za uchunguzi.
Tatizo lenu mnataka Rais afanye kazi kama mwendawazi aliyepewa panga sokoni kila amuonaye anakata tu.
Hapo ndipo mjue kuwa mpaka Rais ameamua jambo huwa amefidhisha na uhusika wa mtuhumiwa na shinikizo.
 
JPM and his company hawakurupuki, issue bado ipo kwa Kamati ya Bunge, and kwa taarifa yako huwa anachunguza kwanza kabla ya kuamua, give him time.
Ipo kwny ile Kamati ya Bunge iliyonyimwa mkataba wenyewe? Au kuna Kamati nyingine tuisubirie?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom