Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
3,390
7,469
Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .

Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67).

Dr. Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada

Soma Pia: Dr. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu wa Rais, Rais Samia aridhia ombi hilo
 

Attachments

  • v09044g40000cu6drgfog65gnubl63o0.mp4
    5.5 MB
Ru
Taarifa RASMi ni kuwa Mpango ameomba kupumzika kwa sababu zisizo za kikazi lakini pia ni kwakuwa Umri wake umeenda (67) anahitaji kupumzika.

Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa.kuna namna fulani nchi inaendeshwa kifamilia hasa kwenye uwekezaji wa resources .

Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Kama mnavojua, Mpango ni Mtu Mwema na ni Mcha Mungu wa kweli anaumia na mali za Umma zinavyouzwa hivyo kupelekea ukinzani na Boss wake kwenye decision kwa kuwa Boss amezungukwa na walaji na wolfs hatari.

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na hili pia anaonesha ukinzani nalo maana investment zinajadiliwa kwenye migahawa kwa kigezo cha expression of interest.

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kama kipindi kileeee, Ukiwa na akili timamu kuna wakati inafika PESA inakuwa sio kila kitu bali uaminifu kwa mungu wako na dhamana aliyokupa....Mpango ni miongoni mwao.

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndungai..... Nchi Inauzwa! Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza

Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Rubbish!! Hata uwe na PhD unaweza kuwa sawa kifikra na diploma kama yangu!!
 
Taarifa RASMi ni kuwa Mpango ameomba kupumzika kwa sababu zisizo za kikazi lakini pia ni kwakuwa Umri wake umeenda (67) anahitaji kupumzika.

Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa.kuna namna fulani nchi inaendeshwa kifamilia hasa kwenye uwekezaji wa resources .

Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Kama mnavojua, Mpango ni Mtu Mwema na ni Mcha Mungu wa kweli anaumia na mali za Umma zinavyouzwa hivyo kupelekea ukinzani na Boss wake kwenye decision kwa kuwa Boss amezungukwa na walaji na wolfs hatari.

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na hili pia anaonesha ukinzani nalo maana investment zinajadiliwa kwenye migahawa kwa kigezo cha expression of interest.

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kama kipindi kileeee, Ukiwa na akili timamu kuna wakati inafika PESA inakuwa sio kila kitu bali uaminifu kwa mungu wako na dhamana aliyokupa....Mpango ni miongoni mwao.

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndungai..... Nchi Inauzwa! Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza

Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Mzalendo amechoshwa na mauzauza ya mauaji,utekaji,utesaji,wizi wa kura na uongozi,ghilba kwa wananchi na maujinga mengimengi.
 
Nimebubujikwa na machozi
IMG_5053.jpeg
 
Back
Top Bottom