Kufuatia Gwajima kusambaza nakala za Matokeo ya Bashite, ni kwa nini asikamatwe?

Na akawaonyesha waumini na wengine wa mtandaoni kikaratasi, ha ha haaaaaaaa


Biashara yake ipo bombaaaa
 
Kutokana na ukweli kabisa kuwa Gwajima alitangaza hadharani kuwa ndugu Daud A. Bashite alinunua cheti cha mtu mwingine na kukitumia kujiendeleza kielimu na kubadilisha majina na kujulikana hivi leo kama Paul C. Makonda ambaye ni RC wa Dar es salaam ni kwa nini asikamatwe endapo kama nakala alizozitoa ni za uongo?
Kumekuwa na watu wakisema kuwa ni uongo na kutoa sababu kibao kuwa huyu RC anasingiziwa!
Kama ni kweli anasingiziwa Gwajima akamatwe kwa kusambaza nakala za uongo maana ushahidi upo, kisha huyu RC naye apeleke ushahidi mahakamani au wale wanaosema kasingiziwa!
Nawasilisha...
Hata ungekuwa wewe sidhani kama ungekwenda hali ukiwa unajua kweli cheti sio chako
 
Hata ungekuwa wewe sidhani kama ungekwenda hali ukiwa unajua kweli cheti sio chako
Yupo mwenye kumkingia kifua, kama alimpa wajeda kwenda nao kuvamia, inakuaje kwenye hili ananywea..?
Hakuna kinachoshinda ukweli aisee...!!
 
Akamatwe apelekwe mahakamani halafu atakaepiga hayo matokeo atakuwa nani?.Akiambiwa kama sio yake ayalete yake halisi ataweza?.

Mwafaaaaa,hata mgalagale mlie mimi ndio Raisi.
Atapeleka aliyo nayo, yaliyomwezesha kufika mpaka chuo kikuu...
 
Gwajima akishitakiwa basi bashite nae sheria lazima ichukue mkondo wake kwa kumchafua gwajima inshu ya Yule mama, vyeti feki,, kutumia jina la mtu mwingine, uvamizi wa kutumia silaha za moto n.k
IGP awajibike kwa kuruhusu jeshi la polis kusindikiza mtu anayeenda kufanya vurugu
 
Kama n utalamu na umahili alishajichukulia bora yaishe tu sio kila siku kitu kilekile na hakuna mamuzi yatakayochukuliwa na mkuu alishasema watasema sana sasa kuna haja gan ya kuendelea kumfata mtu
 
Back
Top Bottom