Kuelekea siku yangu ya kuzaliwa naombeni mchango

Mimi na habari za Birthday hamna tu..
Sinaga time nazo kabisa. Ni mambo ya kitoto. Mambo ya kike. Mambo ya Kikuda.

Mwanaume mzima kushadadia Happy Birthday ni Hulka za kike hizo.
Yaelekea ww ni injinia wakufuga nzi.

yaelekea umecoment bila kusoma mada yenyewe umesoma kichwa cha habari.
 
Siku si nyingi nitasherekea siku yangu ya kuzaliwa na kuaga ujana kwa amani
Namshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa huruma na Rehema kwa wema na baraka zake nyingi saana katika maisha yangu.

Siku hiyo nitaenda kusherekea na watoto yatima sehemu flani, so naombeni kampani ratiba ipo hivi tutaenda asubuhi, tupike chai, tuwafulie tupike mchana, tucheze nao then tuondoke vitu vya kupika na sabuni za kufulia ninazo.

Nawakaribisha sana kwenye party yangu kama upo interested njoo pm nikupe kadi kama una nguo hutumii au mashuka ila yasiwe na ramani za sayari ya mars huko. unaweza kuleta naombeni niliowakosea mnisamehe sana tuanze upya, eneo ni Dar.

Ni wazo zuri na nikupongeze tu kwa hilo ILA tukumbuke kuwa Watoto Yatima wanahitaji msaada wa hali na mali wa kila siku na siyo wa once in a while ambao wengi wetu ' hujitutumua ' kuufanya.
 
Ungeweka hiyo tarehe ya birthday kabisa ili wadau waangalie ratiba zao.
 
Siku si nyingi nitasherekea siku yangu ya kuzaliwa na kuaga ujana kwa amani
Namshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa huruma na Rehema kwa wema na baraka zake nyingi saana katika maisha yangu.

Siku hiyo nitaenda kusherekea na watoto yatima sehemu flani, so naombeni kampani ratiba ipo hivi tutaenda asubuhi, tupike chai, tuwafulie tupike mchana, tucheze nao then tuondoke vitu vya kupika na sabuni za kufulia ninazo.

Nawakaribisha sana kwenye party yangu kama upo interested njoo pm nikupe kadi kama una nguo hutumii au mashuka ila yasiwe na ramani za sayari ya mars huko. unaweza kuleta naombeni niliowakosea mnisamehe sana tuanze upya, eneo ni Dar.
Kwa umri huo bado unasherekea siku yako kuzaliwa mkuu.?
HBD mkuu .............tuonane mwakani
 
Wazo lako ni la msingi.kama hatuwezi kuwasaidia,tusiwakashifu.kila la kheri.
 
Ni wazo zuri na nikupongeze tu kwa hilo ILA tukumbuke kuwa Watoto Yatima wanahitaji msaada wa hali na mali wa kila siku na siyo wa once in a while ambao wengi wetu ' hujitutumua ' kuufanya.

TENA WENGI WAO HUENDA NA KAMERA NA WANAHABARI UCHWARA ILI TU WAPEWE CREDIBILITY KWA KUJITANGAZA KUWA WANASAIDIA YATIMA,

WAKATI MSAADA WA DHATI HAUANIKWI HADHARANI.
 
Wapo watoto yatima waliotupwa na ninyi wadada/wanawake. Mkiacha michezo mibaya kabla ya ndoa tatizo litapungua hili
 
Back
Top Bottom