Dr wa Manesi
Senior Member
- Aug 19, 2024
- 197
- 336
Hivi kwanini chadema wengi Wana hasira sana na zitto pamoja na mdee?!!!!! Yaani slaa aliyetoka wakati wa mbio za uchaguzi kabisa hata hatajiwi. Mashinji aliyekuwa katibu mkuu kabisa pamoja na wenzake kina lijualikali, kitila na mamia wengine kimyaaa. Ila zitto tu Kila siku.Mdee na Zitto ni tamaa zimewaponza
Mkuu dawa ya mbwa mwenye njaa ww mpatie nyama akika utaskia akisumbua ataishia kubweka knafk ili aendele kuamnisha yy n mkaliKabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.
Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.
Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
Fanya utafiti ni kwanini wanatajwaHivi kwanini chadema wengi Wana hasira sana na zitto pamoja na mdee?!!!!! Yaani slaa aliyetoka wakati wa mbio za uchaguzi kabisa hata hatajiwi. Mashinji aliyekuwa katibu mkuu kabisa pamoja na wenzake kina lijualikali, kitila na mamia wengine kimyaaa. Ila zitto tu Kila siku.
Tulia hapo UWT pako fresh tuImenisadia ndio maana nimegoma kuwa msukule wa wahuni (Mbowe,Lema,Sugu na Mdude)
Na hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ndio nilitaka kusema hivihivi wapinzani Tanzania mbona hawapoKuna wapinzani au wachumia tumbo!
Ni wewe unasikiliza umbeya wa kilaza Lema ,sisi tunaleta fact hapa (Lema alifeli kidato cha nne) ndio maana shauri ya akili ndogo ni kufuatilia familia za watu badala ya kuuza sera za chama...hata Mama Abduli alipata zero form 4 lakini leo mmemkumbatia, mnadai ni msomi na ana akili kuliko Watanzania wote.
Nomefanya ninegundua ni UDINI TU!Fanya utafiti ni kwanini wanatajwa
Kuna sample yoyote?Nomefanya ninegundua ni UDINI TU!
Ni wewe unasikiliza umbeya wa kilaza Lema ,sisi tunaleta fact hapa (Lema alifeli kidato cha nne) ndio maana shauri ya akili ndogo ni kufuatilia familia za watu badala ya kuuza sera za chama.
Kwani kufeli form iv ndio kipimo cha kutokuwa na akili?..hata Mama Abduli alipata zero form 4 lakini leo mmemkumbatia, mnadai ni msomi na ana akili kuliko Watanzania wote.
Hiyo kitu unayotumia acha utavaa chupi kichwani, CHADEMA ni nani na Lissu ni nani yuanzie hapo kama bado hujavuta bangi zakoNa hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Labda na kiungo unachotumia kufikiria kina walakini maana siyo ubongo, yaani kwa usomi wa Mdee ndio CHADEMA ikamwambia aende akajiapishe kuwa mbunge kwenye gereji ya magari kinyume na katiba na kanuni za CHADEMA na nchi?Sio kweli wasiokuwa wasomi ndani ya chama (Mbowe,Lema,Sugu,Mdude ) hawataki wasomi hata kidogo.
Kuna ukweli fulani kwa asilimia kubwa unavyosema. Lakini wapo binadamu wanaojali maslahi ya Taifa, kama Nyerere, Mandela, Malcolm nk.Binadamu anapambana ili kupata mahitaji yake muhimu. "Kupambana" Hapa atafanya whatever it takes ili ajihakikishie uhakika wa maisha na mahitaji yake.
Ikitokea ameahidiwa kupata uhakika wa mahitaji yake basi he/she'll do anything bila kuangalia athari atakazo leta kwa watu wengine(selfishness).
Ukija kuangalia Dunia nzima utaona haya maisha ni meaningless.
Vita kila kukicha, watu wanauawa, sheria zinapindishwa kwa makusudi, Wale wanao tangaza Democracy ndio hao wanao vunja hiyo democracy na human rights.
Hii yote ni kutokana na ubinafsi ambao binadamu anao naturally.
Life is not fair na usije kujidanganya kama Mungu atawaadhibu hawa watu kwasababu Dunia ndio ipo hivyo.
Ukiwa mnyonge utaonewa tu na hakuna kitu ambacho Mungu unae muanini atafanya coz He created this world in that way.
Maana yangu usije tegemea binadamu mwenzio akakutetea kwa jambo lolote lile na kama ikitokea basi ni kwa maslahi yake yeye mwenyewe ila wewe utakuwa ni mgongo tu wa yeye kupitia.
Nobody cares, welcome to the world.
Kwa kusema kweli bila uoga ndio kuropoka? Au unataka awe kama Steve Nyerere( Mengele) aanzishe taasisi ya mama mkanye mwanao Samia anatosha?Lissu ni msomi mzuri saana ila mdomo wake umekosa nidhamu (anaropoka saana) .
Alisema kweli Nape kuwa mnaiba kura mkamfukuzaLa haula ,hutaki tuseme ukweli mchungu mzee,chama hakitaki wasomi ndio maana hakuna msomi aliebaki salama ndani ya chadema zaidi ya Lissu ambae nae amepewa mipaka
Kwani kufeli form iv ndio kipimo cha kutokuwa na akili?
AiseeLissu ni msomi mzuri saana ila mdomo wake umekosa nidhamu (anaropoka saana) .
Mti wenye matundaHivi kwanini chadema wengi Wana hasira sana na zitto pamoja na mdee?!!!!! Yaani slaa aliyetoka wakati wa mbio za uchaguzi kabisa hata hatajiwi. Mashinji aliyekuwa katibu mkuu kabisa pamoja na wenzake kina lijualikali, kitila na mamia wengine kimyaaa. Ila zitto tu Kila siku.