Kudhoofishwa kwa Dkt. Slaa, Mbatia, Zitto Kabwe, Kafulila na wakina Mdee kumedhoofisha sana upinzani

Mdee na Zitto ni tamaa zimewaponza
Hivi kwanini chadema wengi Wana hasira sana na zitto pamoja na mdee?!!!!! Yaani slaa aliyetoka wakati wa mbio za uchaguzi kabisa hata hatajiwi. Mashinji aliyekuwa katibu mkuu kabisa pamoja na wenzake kina lijualikali, kitila na mamia wengine kimyaaa. Ila zitto tu Kila siku.
 
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.

Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
Mkuu dawa ya mbwa mwenye njaa ww mpatie nyama akika utaskia akisumbua ataishia kubweka knafk ili aendele kuamnisha yy n mkali
 
Hivi kwanini chadema wengi Wana hasira sana na zitto pamoja na mdee?!!!!! Yaani slaa aliyetoka wakati wa mbio za uchaguzi kabisa hata hatajiwi. Mashinji aliyekuwa katibu mkuu kabisa pamoja na wenzake kina lijualikali, kitila na mamia wengine kimyaaa. Ila zitto tu Kila siku.
Fanya utafiti ni kwanini wanatajwa
 
Na hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

..hata Mama Abduli alipata zero form 4 lakini leo mmemkumbatia, mnadai ni msomi na ana akili kuliko Watanzania wote.
 
..hata Mama Abduli alipata zero form 4 lakini leo mmemkumbatia, mnadai ni msomi na ana akili kuliko Watanzania wote.
Ni wewe unasikiliza umbeya wa kilaza Lema ,sisi tunaleta fact hapa (Lema alifeli kidato cha nne) ndio maana shauri ya akili ndogo ni kufuatilia familia za watu badala ya kuuza sera za chama.
 
Ni wewe unasikiliza umbeya wa kilaza Lema ,sisi tunaleta fact hapa (Lema alifeli kidato cha nne) ndio maana shauri ya akili ndogo ni kufuatilia familia za watu badala ya kuuza sera za chama.


..nimemsikia Mama Abduli mwenyewe akisema alipata zero form 4 ikabidi afanye kazi ya masijala Unguja.

..Mama Abduli ndiye Mwenyekiti mwenye matokeo mabaya ya kipato cha 4 kuliko wengine wote wa vyama vya siasa hapa nchini.
 
Na hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Hiyo kitu unayotumia acha utavaa chupi kichwani, CHADEMA ni nani na Lissu ni nani yuanzie hapo kama bado hujavuta bangi zako
 
Sio kweli wasiokuwa wasomi ndani ya chama (Mbowe,Lema,Sugu,Mdude ) hawataki wasomi hata kidogo.
Labda na kiungo unachotumia kufikiria kina walakini maana siyo ubongo, yaani kwa usomi wa Mdee ndio CHADEMA ikamwambia aende akajiapishe kuwa mbunge kwenye gereji ya magari kinyume na katiba na kanuni za CHADEMA na nchi?

Pili wasomi wa CCM wamesaidia vipi kutatua changamoto za nchi ikiwemo hii kubwa ya utekaji na mauaji
 
Binadamu anapambana ili kupata mahitaji yake muhimu. "Kupambana" Hapa atafanya whatever it takes ili ajihakikishie uhakika wa maisha na mahitaji yake.

Ikitokea ameahidiwa kupata uhakika wa mahitaji yake basi he/she'll do anything bila kuangalia athari atakazo leta kwa watu wengine(selfishness).

Ukija kuangalia Dunia nzima utaona haya maisha ni meaningless.

Vita kila kukicha, watu wanauawa, sheria zinapindishwa kwa makusudi, Wale wanao tangaza Democracy ndio hao wanao vunja hiyo democracy na human rights.

Hii yote ni kutokana na ubinafsi ambao binadamu anao naturally.

Life is not fair na usije kujidanganya kama Mungu atawaadhibu hawa watu kwasababu Dunia ndio ipo hivyo.

Ukiwa mnyonge utaonewa tu na hakuna kitu ambacho Mungu unae muanini atafanya coz He created this world in that way.

Maana yangu usije tegemea binadamu mwenzio akakutetea kwa jambo lolote lile na kama ikitokea basi ni kwa maslahi yake yeye mwenyewe ila wewe utakuwa ni mgongo tu wa yeye kupitia.

Nobody cares, welcome to the world.
Kuna ukweli fulani kwa asilimia kubwa unavyosema. Lakini wapo binadamu wanaojali maslahi ya Taifa, kama Nyerere, Mandela, Malcolm nk.
 
Lissu ni msomi mzuri saana ila mdomo wake umekosa nidhamu (anaropoka saana) .
Kwa kusema kweli bila uoga ndio kuropoka? Au unataka awe kama Steve Nyerere( Mengele) aanzishe taasisi ya mama mkanye mwanao Samia anatosha?
UWT mna kazi sana
 
Hivi kwanini chadema wengi Wana hasira sana na zitto pamoja na mdee?!!!!! Yaani slaa aliyetoka wakati wa mbio za uchaguzi kabisa hata hatajiwi. Mashinji aliyekuwa katibu mkuu kabisa pamoja na wenzake kina lijualikali, kitila na mamia wengine kimyaaa. Ila zitto tu Kila siku.
Mti wenye matunda
 
Back
Top Bottom