Kudhoofishwa kwa Dkt. Slaa, Mbatia, Zitto Kabwe, Kafulila na wakina Mdee kumedhoofisha sana upinzani

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
1,145
2,479
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.

Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
 
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto kabwe ,Dr slaa , Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito .

Tulikuwa na list of Shame , hoja za majimbo ,Tume huru ,Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana , nadhani upinzani tujitafakari , tofauti ziwekwe pembeni .
Mdee na Zitto ni tamaa zimewaponza
 
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto kabwe ,Dr slaa , Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito .

Tulikuwa na list of Shame , hoja za majimbo ,Tume huru ,Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana , nadhani upinzani tujitafakari , tofauti ziwekwe pembeni .
Walijikita kwenye siasa za maji taka zimewachafua na kuwatoa kwenye relief.
 
Pamekua pa ajabu mno
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto kabwe ,Dr slaa , Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito .

Tulikuwa na list of Shame , hoja za majimbo ,Tume huru ,Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana , nadhani upinzani tujitafakari , tofauti ziwekwe pemb
 
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.

Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
Na hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.

Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
Kwamba unaamini hatujui udhaifu ni nini, na hujuma ni nini? Pitia wanachoongea hao ccm kisha uone mwitikio ni upi. Unakuta kaongea kiongozi wa ccm, lakini zaidi ya 70% wanaponda tu alichoongea.
 
Na hawa ndio walikuwa cream ya wasomi ndani ya hiki chama .Chadema huwa hawapendi wasomi hata msomi walienae (Lissu) wanamtumia tu na iko siku watamtimua ili waendelee kubaki na vila za kama Mzee Mbowe,Lema,Mdude ,Sugu na Wenje(hawa wote hawakufauli elimu ya sekondari)🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Hakika
 
Kabla CCM na CHADEMA kwa maslahi ya wachache kuwadhohofisha kina Zitto Kabwe, Dkt. Slaa, Mbatia na wale wabunge 19 tulikuwa na upinzani wenye nguvu sana na hoja nzito.

Tulikuwa na list of Shame, hoja za majimbo, Tume huru, Katiba Mpya ya serikali tatu na hoja nyingine nzito sana.

Sasa hivi tunasubiri CCM na Rais Samia wanataka au wanasema nini inasikitisha sana, nadhani upinzani tujitafakari, tofauti ziwekwe pembeni.
tofauti za nini zipo upinzan kwani? Na ni tofauti za nani na nani kwa mfano pale upinzan ziwekwe pembeni?🤣

tafakuri iliyopo si kila chama kinajiona kina uwezo wa kudhoofisha CCM? ni vizuri hili likaendelea hivi hivi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini 🐒
 
Back
Top Bottom