Kubenea ahoji: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow? Yeye (Kafulila) amchana kwa hoja nzito Saba

Kubenear na mr 2mbili wana tofauti gani?
Swali zuri sana.

Natamani pangejitokeza mtu akalijibu kwa kina swali hili.

'Background' ya Kafulila kielimu siijui, lakini natambua uwezo wake wa kujieleza vizuri. Kubenea, bila shaka ni mtu wa kisomo cha magazeti; kwa hiyo anao uwezo wa kupiga soga nyingi na kutunga tungo, basi. Zaidi ya hapo, hawa wawili sijui tofauti kati yao ni zipi.
 
View attachment 2967024

Na. David Kafulila

NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.

Mhe Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT unaotarajiwa kuendeshwa na kampuni ya ENG ya Dubai.

Bw Kubebea ameandika Makala iliyobeba kichwa cha maneno: “ Kafulila wa Escrow ndiye huyu wa UDART? ”

Mimi Kafulila baada ya kuisoma makala hiyo, nimejiridhisha kuwa kuna maeneo mwandishi hajanielewa au haelewi vizuri.

Mwandishi huyu amejaribu kujenga mashaka ya alichokiita Hatari ya kampuni ya Dubai kupewa kazi ya kuendesha UDART " Shirika linalomilikiwa na Serikali na kampuni binafsi ya Simon Group Limited.

Binafsi nikiri kuwa nimependa namna mwandishi Saed Swed Kubenea alivyowasilisha maoni yake kwani yameamsha mjadala wa Ubinafsishaji, Ubia na nafasi ya wazawa katika Umiliki na Uendeshaji wa uchumi wa Taifa lao.

Kwakuwa mjadala huu ni mpana, naomba leo niseme mambo saba kwa ajili ya kutoa ufafanuzi ili kuwatoa hofu Watanzania akiwemo Saed Kubenea.

Na ieleweke pia nitakayoyaeleza hapa, baadhi ni maoni yangu binafsi, hasa kuhusu dhana nzima ya Ushiriki wa Sekta binafsi ya ndani na nje katika kujenga Uchumi shirikishi na Jumuishi.

Kwanza, nataka muelewe kuna tofauti kubwa kati ya Ubinafsishaji na Ubia.

Mikataba yote ya Ubia duniani – mali au aseti zote zinamilikiwa na Serikali husika Kabla, wakati na hata baada ya mkataba vile vile Mikataba ya Ubia haihamishi umiliki wa mali au aseti.

Sikilizeni, Kwa mfano, Ubia kati ya DART na kampuni ya ENG, haimanishi DART itakuwa imeuzwa au kuhamisha umiliki wa barabara au magari yake.

Kinachofanyika hapa muwekezaji ataleta mabasi na kuyaendesha kwa gharama zake huku Serikali ikipatiwa huduma kwa watu wake na masilahi mengine kulingana na mkataba husika.

Nimuulize swali Mhe Kubenea,
Kama Mbia ataleta magari yake na kuyaendesha hapo Serikali itakuwa imeuza rasilimali gani Kwa ENG?

Hata hivyo ni muhimu kufahamu kuwa Usafirishaji kwa njia ya barabara nchini unaendeshwa na sekta binafsi kwa miongo yote sasa, ukiondoa sehemu chache kama ilivyokuwa miradi ya UDA.

Pili, kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa DART ya wiki jana, taratibu za Serikali kutafuta mbia kuleta mabasi na kuyaendesha zimeanza tangu mwaka 2017.

Katika mchakato huo, zaidi ya makampuni 30 yalijitokeza lakini hakupatikana muwekezaji mwenye sifa na tija kwa Taifa.

Mchakato huo ukarudiwa tena mwaka 2020, Safari hii Makampuni takribani 40 yalishiriki na hapa ndipo ENG ikaibuka mshindi na kuanza majadiliano na Serikali ya kuendesha mradi huo na majadiliano hayo yalianza mwaka 2022 hata mimi nilipoipewa nafasi hii mwaka 2023 bado yanaendelea.

Tatu, Ni bahati mbaya kwamba majadiliano haya yamechukua muda mrefu kutokana na changamoto za kisheria kwani DART & ENG walikuwa wakivutana kuhusu namna bora ya kuhitimisha makubaliano yao kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania na Watanzania.

Mara zote tumeendelea kupata ushauri kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa lengo la kuhakikisha tunafikia mkataba wenye masilahi mapana ya taifa letu na unaolindwa na sheria zetu.


Nne, mradi wa BRT una njia sita, Njia ambayo inajadiliwa na kampuni ya ENG ya Dubai, ni ya kwanza ( Phase I ) ambayo inahusisha kuwapo mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.

LAZIMA pia tufahamu Mabasi yote haya yatakayonunuliwa baada ya mkataba kumalizika, yatakabidhiwa kwa Serikali kabla hayajachoka na kisha wao kuingiza mengine mapya.

Lengo la Serikali na Rais Samia ni kuhakikisha kunakuwa na ubora wa huduma kwa Wanadalesalaam hasa Wapenzi wa Mwendokasi.

Hata hivyo, ujio wa ENG hauindoi UDART bali utaipa kampuni hii ya Serikali na wazawa changamoto katika ubora wa huduma ( a competitive business )


Tano, njia zingine tano bado DART wataendelea na mchakato wao wa kupata wawekezaji kwa utaratibu. wa aina hiyo hiyo.

Njia ya pili (Phase II), itahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kwani kunatakiwa mabasi 770.

Hii ni fursa kwa wawekezaji wote na hususan wa ndani.

Nakubaliana na hoja ya umuhimu wa kampuni za ndani kupewa fursa hii.

Nakubaliana na hoja ya kuzisaidia kampuni za ndani kupata fursa hii na hata hivyo, ni muhimu tukubaliane kusiwe kwa gharama kubwa. kwa wananchi wanaotumia usafiri huu.

Asilimia 43 ya wakazi wa Dar es Salaam wanafanya kazi maeneo ambayo wanatembea kwa mguu kwa sababu ya changamoto ya nauli.

Hii inawanyima fursa wao binafsi, lakini pia uchumi kwani nguvu kazi hiyo inaweza kuzalisha zaidi ikimudu kufanya kazi zaidi ya umbali huo.

Unafuu wa nauli na ubora wa huduma ni muhimu sana kuhakikisha nguvu kazi ya Dar es Salaam inazalisha na jiji la linaunganishwa.

Sita, Napenda kutoa wito kwa kampuni za wazawa zenye nia ya kuwekeza eneo hili, waoneshe nia na tuwasaidie kuwekeza kwenye fursa hizi za BRT hata kabla ya DART kutangaza.

Sheria inaruhusu wawekezaji kuleta mapendekezo kabla ya zabuni kutangazwa.

Anachopaswa kukizingatia, ni kwamba anapaswa kuleta mapendekezo yake kama UNSOLICITED.

Njia hii inatumika kwa miradi yote mwekezaji. anapoona Serikali haiwezi kuendesha kwa ufanisi, anaruhusiwa kuomba kazi hiyo na atasaidiwa kwa mujibu wa sheria.

Lengo ni kuhakikisha serikali inavutia mitaji, teknolojia na weledi.

Kwamba, sekta binafsi inatumika kutekeleza baadhi ya majukumu ya serikali kwa ufanisi ili yenyewe ibaki na majukumu muhimu ya kuhudumia wananchi.

Lazima watu waelewe, Sheria ya PPP na hata ile ya manunuzi, zinatoa upendeleo kwa wazawa.

Serikali inatoa upendeleo wa kisheria na inazijengea uwezo kampuni hizo, ili ziweze kusimama zenyewe, kutokana na kutambua mchango wake kwa uchumi wa taifa Kwa muktadha huo,

Saba, Baada ya ufafanuzi huu wa kina naomba nisisitize kwamba David Kafulila huyu ni yule yule wa Jana, Juzi na Leo,

Kafulila ni yeye yule aliyekuwa Mbunge machachari toka Jimbo la Kigoma Kusini (2010 - 2015) na baadae Katibu Tawala wa mkoa Songwe, aliyesimamia nidhamu ya Fedha za Umma, Kuichukia rushwa na uwajibikaji kwa halmashauri zake zote.

Ni huyu Kafulila aliyekuwa Katibu Tawala wa kwanza kuvunja mkataba wa Mshitiri wa usambazaji dawa kwenye Mkoa kufuatia kuibuka kwa madai ya udanganyifu.

Mtakumbuka, Baada ya kuvunjiwa mkataba wake, muhusika alikwenda hadi Mahakama kuu, ambako nako alishindwa kesi zote.

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko ni yeye aliyeza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi wa pamba, ambayo iliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya Sh. 1,800 kwa kilo hadi Sh. 2,200. Bei hizu hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu.

Kafulila huyu huyu akiwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu alimrudisha mkandarasi wa Kichina kurudia barabara ya Mwigumbi- Maswa, yenye zaidi ya urefu wa kilomita 20 zaidi ya TZS 40 bilioni baada ya kujengwa kinyume na mkataba halafu mtu anauliza Je, ni Kafulila yule yule!?

Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kuikabidhi halmashauri ya mji wa Bariadi.

Mimi Kafulila nimekuwa kamishna wa PPP ndani ya wizara ya fedha kwa mwaka mmoja 2023 na sasa nimekuwa Mkurugenzi wa kituo cha Ubia ambayo kinajitegemea (PPP Center) hapa namshukuru Mhe Rais Samia pamoja na Wasaidizi wake kwa kuendelea kuniamini kamwe sitowaangusha Watanzania.

Niiliahidi. kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja, miradi ya PPP kwa Sera na Sheria ya PPP inaanza kupatikana baada ya kukwama kwa zaidi ya miaka 15 ya Sera ya mwaka 2009.

Na taarifa njema kwa Taifa ni kuwa kabla ya kufunga mwaka huu wa. fedha – Juni 24, tutakuwa tayari tumesaini miradi mitatu ya Ubia,

Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.​
mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.
******
Huyu aje maramoja
 
View attachment 2967024

Na. David Kafulila

NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.

Mhe Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT unaotarajiwa kuendeshwa na kampuni ya ENG ya Dubai.

Bw Kubebea ameandika Makala iliyobeba kichwa cha maneno: “ Kafulila wa Escrow ndiye huyu wa UDART? ”

Mimi Kafulila baada ya kuisoma makala hiyo, nimejiridhisha kuwa kuna maeneo mwandishi hajanielewa au haelewi vizuri.

Mwandishi huyu amejaribu kujenga mashaka ya alichokiita Hatari ya kampuni ya Dubai kupewa kazi ya kuendesha UDART " Shirika linalomilikiwa na Serikali na kampuni binafsi ya Simon Group Limited.

Binafsi nikiri kuwa nimependa namna mwandishi Saed Swed Kubenea alivyowasilisha maoni yake kwani yameamsha mjadala wa Ubinafsishaji, Ubia na nafasi ya wazawa katika Umiliki na Uendeshaji wa uchumi wa Taifa lao.

Kwakuwa mjadala huu ni mpana, naomba leo niseme mambo saba kwa ajili ya kutoa ufafanuzi ili kuwatoa hofu Watanzania akiwemo Saed Kubenea.

Na ieleweke pia nitakayoyaeleza hapa, baadhi ni maoni yangu binafsi, hasa kuhusu dhana nzima ya Ushiriki wa Sekta binafsi ya ndani na nje katika kujenga Uchumi shirikishi na Jumuishi.

Kwanza, nataka muelewe kuna tofauti kubwa kati ya Ubinafsishaji na Ubia.

Mikataba yote ya Ubia duniani – mali au aseti zote zinamilikiwa na Serikali husika Kabla, wakati na hata baada ya mkataba vile vile Mikataba ya Ubia haihamishi umiliki wa mali au aseti.

Sikilizeni, Kwa mfano, Ubia kati ya DART na kampuni ya ENG, haimanishi DART itakuwa imeuzwa au kuhamisha umiliki wa barabara au magari yake.

Kinachofanyika hapa muwekezaji ataleta mabasi na kuyaendesha kwa gharama zake huku Serikali ikipatiwa huduma kwa watu wake na masilahi mengine kulingana na mkataba husika.

Nimuulize swali Mhe Kubenea,
Kama Mbia ataleta magari yake na kuyaendesha hapo Serikali itakuwa imeuza rasilimali gani Kwa ENG?

Hata hivyo ni muhimu kufahamu kuwa Usafirishaji kwa njia ya barabara nchini unaendeshwa na sekta binafsi kwa miongo yote sasa, ukiondoa sehemu chache kama ilivyokuwa miradi ya UDA.

Pili, kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa DART ya wiki jana, Taratibu za Serikali kutafuta Mbia kuleta mabasi na kuyaendesha zimeanza tangu mwaka 2017.

Katika mchakato huo, zaidi ya makampuni 30 yalijitokeza lakini hakupatikana muwekezaji mwenye sifa na tija kwa Taifa.

Mchakato huo ukarudiwa tena mwaka 2020, Safari hii Makampuni takribani 40 yalishiriki na hapa ndipo ENG ikaibuka mshindi na kuanza majadiliano na Serikali ya kuendesha mradi huo na majadiliano hayo yalianza mwaka 2022 hata mimi nilipoipewa nafasi hii mwaka 2023 mradi huu upo.

Tatu, Ni bahati mbaya kwamba majadiliano haya yamechukua muda mrefu kutokana na changamoto za kisheria kwani DART & ENG walikuwa wakivutana kuhusu namna bora ya kuhitimisha makubaliano yao kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania na Watanzania.

Mara zote, tumeendelea kupata ushauri kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa lengo la kuhakikisha tunafikia Mkataba wenye masilahi mapana kwa taifa letu na unaolindwa na sheria zetu.


Nne, mradi wa BRT una njia sita, Njia ambayo inajadiliwa na kampuni ya ENG ya Dubai, ni ya kwanza ( Phase I ) ambayo inahusisha kuwapo mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.

LAZIMA pia tufahamu, Mabasi yote haya yatakayonunuliwa baada ya mkataba kumalizika, yatakabidhiwa kwa Serikali kabla hayajachoka na kisha wao kuingiza mengine mapya.

Lengo la Serikali na Rais Samia ni kuhakikisha kunakuwa na ubora wa huduma kwa Wanadalesalaam hasa Wapenzi wa Mwendokasi.

Hata hivyo, ujio wa ENG hauindoi UDART bali utaipa kampuni hii ya Serikali na wazawa changamoto katika ubora wa huduma ( a competitive business )


Tano, njia zingine tano bado DART wataendelea na mchakato wao wa kupata wawekezaji kwa utaratibu. wa aina hiyo hiyo.

Njia ya pili ( Phase II ) itahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kwani kunatakiwa mabasi 770.

Hii ni fursa kwa wawekezaji wote na hususan wa ndani.

Nakubaliana na hoja ya umuhimu wa kampuni za ndani kupewa fursa hii.

Nakubaliana na hoja ya kuzisaidia kampuni za ndani kupata fursa hii na hata hivyo, ni muhimu tukubaliane kusiwe kwa gharama kubwa. kwa wananchi wanaotumia usafiri huu.

Asilimia 43 ya wakazi wa Dar es Salaam wanafanya kazi maeneo ambayo wanatembea kwa mguu kwa sababu ya changamoto ya nauli.

Hii inawanyima fursa wao binafsi, lakini pia uchumi kwani nguvu kazi hiyo inaweza kuzalisha zaidi ikimudu kufanya kazi zaidi ya umbali huo.

Unafuu wa nauli na ubora wa huduma ni muhimu sana ili kuhakikisha nguvu kazi ya Dar es Salaam inazalisha na jiji linaunganishwa kwa Usafiri wa Uhakika.

Sita, Napenda kutoa wito kwa kampuni za wazawa zenye nia ya kuwekeza eneo hili, waoneshe nia na tuwasaidie kuwekeza kwenye fursa hizi za BRT hata kabla ya DART kutangaza.

Sheria inaruhusu wawekezaji kuleta mapendekezo kabla ya zabuni kutangazwa.

Anachopaswa kukizingatia, ni kwamba anapaswa kuleta mapendekezo yake kama UNSOLICITED.

Njia hii inatumika kwa miradi yote mwekezaji anapoona Serikali haiwezi kuendesha kwa ufanisi, anaruhusiwa kuomba kazi hiyo na atasaidiwa kwa mujibu wa sheria.

Lengo ni kuhakikisha serikali inavutia mitaji, teknolojia na weledi.

Kwamba, Sekta binafsi inatumika kutekeleza baadhi ya majukumu ya serikali kwa ufanisi ili yenyewe ibaki na majukumu muhimu ya kuhudumia wananchi.

Lazima watu waelewe, Sheria ya PPP na hata ile ya manunuzi, zinatoa upendeleo kwa wazawa zaidi.

Serikali inatoa upendeleo wa kisheria na inazijengea uwezo kampuni hizo, ili ziweze kusimama zenyewe, kutokana na kutambua mchango wake kwa uchumi wa taifa Kwa muktadha huo,

Saba, Baada ya ufafanuzi huu wa kina naomba nisisitize kwamba David Kafulila huyu ni yule yule wa Jana, Juzi na Leo,

Kafulila huyu wa UDART ni yeye yule aliyekuwa Mbunge machachari toka Jimbo la Kigoma Kusini ( 2010 - 2015 ).

Kafulila huyu baadae akateuliwa kuwa Katibu Tawala wa mkoa Songwe, aliyesimamia kisawa sawa nidhamu ya Fedha za Umma, Kuichukia rushwa na uwajibikaji kwa halmashauri zake zote.

Ni huyu Kafulila aliyekuwa Katibu Tawala wa kwanza kuvunja mkataba wa Mshitiri wa usambazaji dawa kwenye Mkoa wa Songwe kufuatia kuibuka kwa madai ya udanganyifu.

Mtakumbuka piq, Baada ya kuvunjiwa mkataba ule, muhusika alikwenda hadi Mahakama kuu ambako nako alishindwa kesi zote.

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko.

Niyeye Kafulila aliyeweza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi na uuzaji wa pamba,

Utaratibu wake ndio ambayo uliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya TZS 1,800 kwa kilo hadi TZS 2,200.

Bei hizi hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu ( No Cash No Cotton )

Kafulila huyu huyu akiwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu alimrudisha mkandarasi wa Kichina kurudia barabara ya Mwigumbi- Maswa, yenye zaidi ya urefu wa kilomita 20 kwa zaidi ya TZS 40 bilioni baada ya kujengwa kinyume na mkataba halafu mtu anauliza Je, ni Kafulila yule yule!?

Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kulikabidhi kwa halmashauri ya mji wa Bariadi nendeni mkawaulize.

Mimi Kafulila nimekuwa kamishna wa PPP ndani ya wizara ya fedha kwa mwaka mmoja 2023 na sasa nimekuwa Mkurugenzi wa kituo cha Ubia ambayo kinajitegemea (PPP Center) hapa namshukuru Mhe Rais Samia pamoja na Wasaidizi wake kwa kuendelea kuniamini kamwe sitowaangusha Watanzania.

Niiliahidi kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja, miradi ya PPP kwa Sera na Sheria ya PPP inaanza kupatikana baada ya kukwama kwa zaidi ya miaka 15 ya Sera ya mwaka 2009.

Na taarifa njema kwa Taifa ni kuwa kabla ya kufunga mwaka huu wa. fedha – Juni 24, tutakuwa tayari tumesaini miradi mitatu mikubwa ya Ubia,

Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.​
Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kulikabidhi kwa halmashauri ya mji wa Bariadi nendeni mkawaulize.

Na. hiki ndio kilikungo'a uRC
J'PILI NJEMA
 
View attachment 2967024

Na. David Kafulila

NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.

Mhe Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT unaotarajiwa kuendeshwa na kampuni ya ENG ya Dubai.

Bw Kubebea ameandika Makala iliyobeba kichwa cha maneno: “ Kafulila wa Escrow ndiye huyu wa UDART? ”

Mimi Kafulila baada ya kuisoma makala hiyo, nimejiridhisha kuwa kuna maeneo mwandishi hajanielewa au haelewi vizuri.

Mwandishi huyu amejaribu kujenga mashaka ya alichokiita Hatari ya kampuni ya Dubai kupewa kazi ya kuendesha UDART " Shirika linalomilikiwa na Serikali na kampuni binafsi ya Simon Group Limited.

Binafsi nikiri kuwa nimependa namna mwandishi Saed Swed Kubenea alivyowasilisha maoni yake kwani yameamsha mjadala wa Ubinafsishaji, Ubia na nafasi ya wazawa katika Umiliki na Uendeshaji wa uchumi wa Taifa lao.

Kwakuwa mjadala huu ni mpana, naomba leo niseme mambo saba kwa ajili ya kutoa ufafanuzi ili kuwatoa hofu Watanzania akiwemo Saed Kubenea.

Na ieleweke pia nitakayoyaeleza hapa, baadhi ni maoni yangu binafsi, hasa kuhusu dhana nzima ya Ushiriki wa Sekta binafsi ya ndani na nje katika kujenga Uchumi shirikishi na Jumuishi.

Kwanza, nataka muelewe kuna tofauti kubwa kati ya Ubinafsishaji na Ubia.

Mikataba yote ya Ubia duniani – mali au aseti zote zinamilikiwa na Serikali husika Kabla, wakati na hata baada ya mkataba vile vile Mikataba ya Ubia haihamishi umiliki wa mali au aseti.

Sikilizeni, Kwa mfano, Ubia kati ya DART na kampuni ya ENG, haimanishi DART itakuwa imeuzwa au kuhamisha umiliki wa barabara au magari yake.

Kinachofanyika hapa muwekezaji ataleta mabasi na kuyaendesha kwa gharama zake huku Serikali ikipatiwa huduma kwa watu wake na masilahi mengine kulingana na mkataba husika.

Nimuulize swali Mhe Kubenea,
Kama Mbia ataleta magari yake na kuyaendesha hapo Serikali itakuwa imeuza rasilimali gani Kwa ENG?

Hata hivyo ni muhimu kufahamu kuwa Usafirishaji kwa njia ya barabara nchini unaendeshwa na sekta binafsi kwa miongo yote sasa, ukiondoa sehemu chache kama ilivyokuwa miradi ya UDA.

Pili, kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa DART ya wiki jana, Taratibu za Serikali kutafuta Mbia kuleta mabasi na kuyaendesha zimeanza tangu mwaka 2017.

Katika mchakato huo, zaidi ya makampuni 30 yalijitokeza lakini hakupatikana muwekezaji mwenye sifa na tija kwa Taifa.

Mchakato huo ukarudiwa tena mwaka 2020, Safari hii Makampuni takribani 40 yalishiriki na hapa ndipo ENG ikaibuka mshindi na kuanza majadiliano na Serikali ya kuendesha mradi huo na majadiliano hayo yalianza mwaka 2022 hata mimi nilipoipewa nafasi hii mwaka 2023 mradi huu upo.

Tatu, Ni bahati mbaya kwamba majadiliano haya yamechukua muda mrefu kutokana na changamoto za kisheria kwani DART & ENG walikuwa wakivutana kuhusu namna bora ya kuhitimisha makubaliano yao kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania na Watanzania.

Mara zote, tumeendelea kupata ushauri kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa lengo la kuhakikisha tunafikia Mkataba wenye masilahi mapana kwa taifa letu na unaolindwa na sheria zetu.


Nne, mradi wa BRT una njia sita, Njia ambayo inajadiliwa na kampuni ya ENG ya Dubai, ni ya kwanza ( Phase I ) ambayo inahusisha kuwapo mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.

LAZIMA pia tufahamu, Mabasi yote haya yatakayonunuliwa baada ya mkataba kumalizika, yatakabidhiwa kwa Serikali kabla hayajachoka na kisha wao kuingiza mengine mapya.

Lengo la Serikali na Rais Samia ni kuhakikisha kunakuwa na ubora wa huduma kwa Wanadalesalaam hasa Wapenzi wa Mwendokasi.

Hata hivyo, ujio wa ENG hauindoi UDART bali utaipa kampuni hii ya Serikali na wazawa changamoto katika ubora wa huduma ( a competitive business )


Tano, njia zingine tano bado DART wataendelea na mchakato wao wa kupata wawekezaji kwa utaratibu. wa aina hiyo hiyo.

Njia ya pili ( Phase II ) itahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kwani kunatakiwa mabasi 770.

Hii ni fursa kwa wawekezaji wote na hususan wa ndani.

Nakubaliana na hoja ya umuhimu wa kampuni za ndani kupewa fursa hii.

Nakubaliana na hoja ya kuzisaidia kampuni za ndani kupata fursa hii na hata hivyo, ni muhimu tukubaliane kusiwe kwa gharama kubwa. kwa wananchi wanaotumia usafiri huu.

Asilimia 43 ya wakazi wa Dar es Salaam wanafanya kazi maeneo ambayo wanatembea kwa mguu kwa sababu ya changamoto ya nauli.

Hii inawanyima fursa wao binafsi, lakini pia uchumi kwani nguvu kazi hiyo inaweza kuzalisha zaidi ikimudu kufanya kazi zaidi ya umbali huo.

Unafuu wa nauli na ubora wa huduma ni muhimu sana ili kuhakikisha nguvu kazi ya Dar es Salaam inazalisha na jiji linaunganishwa kwa Usafiri wa Uhakika.

Sita, Napenda kutoa wito kwa kampuni za wazawa zenye nia ya kuwekeza eneo hili, waoneshe nia na tuwasaidie kuwekeza kwenye fursa hizi za BRT hata kabla ya DART kutangaza.

Sheria inaruhusu wawekezaji kuleta mapendekezo kabla ya zabuni kutangazwa.

Anachopaswa kukizingatia, ni kwamba anapaswa kuleta mapendekezo yake kama UNSOLICITED.

Njia hii inatumika kwa miradi yote mwekezaji anapoona Serikali haiwezi kuendesha kwa ufanisi, anaruhusiwa kuomba kazi hiyo na atasaidiwa kwa mujibu wa sheria.

Lengo ni kuhakikisha serikali inavutia mitaji, teknolojia na weledi.

Kwamba, Sekta binafsi inatumika kutekeleza baadhi ya majukumu ya serikali kwa ufanisi ili yenyewe ibaki na majukumu muhimu ya kuhudumia wananchi.

Lazima watu waelewe, Sheria ya PPP na hata ile ya manunuzi, zinatoa upendeleo kwa wazawa zaidi.

Serikali inatoa upendeleo wa kisheria na inazijengea uwezo kampuni hizo, ili ziweze kusimama zenyewe, kutokana na kutambua mchango wake kwa uchumi wa taifa Kwa muktadha huo,

Saba, Baada ya ufafanuzi huu wa kina naomba nisisitize kwamba David Kafulila huyu ni yule yule wa Jana, Juzi na Leo,

Kafulila huyu wa UDART ni yeye yule aliyekuwa Mbunge machachari toka Jimbo la Kigoma Kusini ( 2010 - 2015 ).

Kafulila huyu baadae akateuliwa kuwa Katibu Tawala wa mkoa Songwe, aliyesimamia kisawa sawa nidhamu ya Fedha za Umma, Kuichukia rushwa na uwajibikaji kwa halmashauri zake zote.

Ni huyu Kafulila aliyekuwa Katibu Tawala wa kwanza kuvunja mkataba wa Mshitiri wa usambazaji dawa kwenye Mkoa wa Songwe kufuatia kuibuka kwa madai ya udanganyifu.

Mtakumbuka piq, Baada ya kuvunjiwa mkataba ule, muhusika alikwenda hadi Mahakama kuu ambako nako alishindwa kesi zote.

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko.

Niyeye Kafulila aliyeweza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi na uuzaji wa pamba,

Utaratibu wake ndio ambayo uliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya TZS 1,800 kwa kilo hadi TZS 2,200.

Bei hizi hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu ( No Cash No Cotton )

Kafulila huyu huyu akiwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu alimrudisha mkandarasi wa Kichina kurudia barabara ya Mwigumbi- Maswa, yenye zaidi ya urefu wa kilomita 20 kwa zaidi ya TZS 40 bilioni baada ya kujengwa kinyume na mkataba halafu mtu anauliza Je, ni Kafulila yule yule!?

Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kulikabidhi kwa halmashauri ya mji wa Bariadi nendeni mkawaulize.

Mimi Kafulila nimekuwa kamishna wa PPP ndani ya wizara ya fedha kwa mwaka mmoja 2023 na sasa nimekuwa Mkurugenzi wa kituo cha Ubia ambayo kinajitegemea (PPP Center) hapa namshukuru Mhe Rais Samia pamoja na Wasaidizi wake kwa kuendelea kuniamini kamwe sitowaangusha Watanzania.

Niiliahidi kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja, miradi ya PPP kwa Sera na Sheria ya PPP inaanza kupatikana baada ya kukwama kwa zaidi ya miaka 15 ya Sera ya mwaka 2009.

Na taarifa njema kwa Taifa ni kuwa kabla ya kufunga mwaka huu wa. fedha – Juni 24, tutakuwa tayari tumesaini miradi mitatu mikubwa ya Ubia,

Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.​
Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.

Wapi limefunguka?
 
View attachment 2967024

Na. David Kafulila

NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.

Mhe Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT unaotarajiwa kuendeshwa na kampuni ya ENG ya Dubai.

Bw Kubebea ameandika Makala iliyobeba kichwa cha maneno: “ Kafulila wa Escrow ndiye huyu wa UDART? ”

Mimi Kafulila baada ya kuisoma makala hiyo, nimejiridhisha kuwa kuna maeneo mwandishi hajanielewa au haelewi vizuri.

Mwandishi huyu amejaribu kujenga mashaka ya alichokiita Hatari ya kampuni ya Dubai kupewa kazi ya kuendesha UDART " Shirika linalomilikiwa na Serikali na kampuni binafsi ya Simon Group Limited.

Binafsi nikiri kuwa nimependa namna mwandishi Saed Swed Kubenea alivyowasilisha maoni yake kwani yameamsha mjadala wa Ubinafsishaji, Ubia na nafasi ya wazawa katika Umiliki na Uendeshaji wa uchumi wa Taifa lao.

Kwakuwa mjadala huu ni mpana, naomba leo niseme mambo saba kwa ajili ya kutoa ufafanuzi ili kuwatoa hofu Watanzania akiwemo Saed Kubenea.

Na ieleweke pia nitakayoyaeleza hapa, baadhi ni maoni yangu binafsi, hasa kuhusu dhana nzima ya Ushiriki wa Sekta binafsi ya ndani na nje katika kujenga Uchumi shirikishi na Jumuishi.

Kwanza, nataka muelewe kuna tofauti kubwa kati ya Ubinafsishaji na Ubia.

Mikataba yote ya Ubia duniani – mali au aseti zote zinamilikiwa na Serikali husika Kabla, wakati na hata baada ya mkataba vile vile Mikataba ya Ubia haihamishi umiliki wa mali au aseti.

Sikilizeni, Kwa mfano, Ubia kati ya DART na kampuni ya ENG, haimanishi DART itakuwa imeuzwa au kuhamisha umiliki wa barabara au magari yake.

Kinachofanyika hapa muwekezaji ataleta mabasi na kuyaendesha kwa gharama zake huku Serikali ikipatiwa huduma kwa watu wake na masilahi mengine kulingana na mkataba husika.

Nimuulize swali Mhe Kubenea,
Kama Mbia ataleta magari yake na kuyaendesha hapo Serikali itakuwa imeuza rasilimali gani Kwa ENG?

Hata hivyo ni muhimu kufahamu kuwa Usafirishaji kwa njia ya barabara nchini unaendeshwa na sekta binafsi kwa miongo yote sasa, ukiondoa sehemu chache kama ilivyokuwa miradi ya UDA.

Pili, kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa DART ya wiki jana, Taratibu za Serikali kutafuta Mbia kuleta mabasi na kuyaendesha zimeanza tangu mwaka 2017.

Katika mchakato huo, zaidi ya makampuni 30 yalijitokeza lakini hakupatikana muwekezaji mwenye sifa na tija kwa Taifa.

Mchakato huo ukarudiwa tena mwaka 2020, Safari hii Makampuni takribani 40 yalishiriki na hapa ndipo ENG ikaibuka mshindi na kuanza majadiliano na Serikali ya kuendesha mradi huo na majadiliano hayo yalianza mwaka 2022 hata mimi nilipoipewa nafasi hii mwaka 2023 mradi huu upo.

Tatu, Ni bahati mbaya kwamba majadiliano haya yamechukua muda mrefu kutokana na changamoto za kisheria kwani DART & ENG walikuwa wakivutana kuhusu namna bora ya kuhitimisha makubaliano yao kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania na Watanzania.

Mara zote, tumeendelea kupata ushauri kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa lengo la kuhakikisha tunafikia Mkataba wenye masilahi mapana kwa taifa letu na unaolindwa na sheria zetu.


Nne, mradi wa BRT una njia sita, Njia ambayo inajadiliwa na kampuni ya ENG ya Dubai, ni ya kwanza ( Phase I ) ambayo inahusisha kuwapo mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.

LAZIMA pia tufahamu, Mabasi yote haya yatakayonunuliwa baada ya mkataba kumalizika, yatakabidhiwa kwa Serikali kabla hayajachoka na kisha wao kuingiza mengine mapya.

Lengo la Serikali na Rais Samia ni kuhakikisha kunakuwa na ubora wa huduma kwa Wanadalesalaam hasa Wapenzi wa Mwendokasi.

Hata hivyo, ujio wa ENG hauindoi UDART bali utaipa kampuni hii ya Serikali na wazawa changamoto katika ubora wa huduma ( a competitive business )


Tano, njia zingine tano bado DART wataendelea na mchakato wao wa kupata wawekezaji kwa utaratibu. wa aina hiyo hiyo.

Njia ya pili ( Phase II ) itahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kwani kunatakiwa mabasi 770.

Hii ni fursa kwa wawekezaji wote na hususan wa ndani.

Nakubaliana na hoja ya umuhimu wa kampuni za ndani kupewa fursa hii.

Nakubaliana na hoja ya kuzisaidia kampuni za ndani kupata fursa hii na hata hivyo, ni muhimu tukubaliane kusiwe kwa gharama kubwa. kwa wananchi wanaotumia usafiri huu.

Asilimia 43 ya wakazi wa Dar es Salaam wanafanya kazi maeneo ambayo wanatembea kwa mguu kwa sababu ya changamoto ya nauli.

Hii inawanyima fursa wao binafsi, lakini pia uchumi kwani nguvu kazi hiyo inaweza kuzalisha zaidi ikimudu kufanya kazi zaidi ya umbali huo.

Unafuu wa nauli na ubora wa huduma ni muhimu sana ili kuhakikisha nguvu kazi ya Dar es Salaam inazalisha na jiji linaunganishwa kwa Usafiri wa Uhakika.

Sita, Napenda kutoa wito kwa kampuni za wazawa zenye nia ya kuwekeza eneo hili, waoneshe nia na tuwasaidie kuwekeza kwenye fursa hizi za BRT hata kabla ya DART kutangaza.

Sheria inaruhusu wawekezaji kuleta mapendekezo kabla ya zabuni kutangazwa.

Anachopaswa kukizingatia, ni kwamba anapaswa kuleta mapendekezo yake kama UNSOLICITED.

Njia hii inatumika kwa miradi yote mwekezaji anapoona Serikali haiwezi kuendesha kwa ufanisi, anaruhusiwa kuomba kazi hiyo na atasaidiwa kwa mujibu wa sheria.

Lengo ni kuhakikisha serikali inavutia mitaji, teknolojia na weledi.

Kwamba, Sekta binafsi inatumika kutekeleza baadhi ya majukumu ya serikali kwa ufanisi ili yenyewe ibaki na majukumu muhimu ya kuhudumia wananchi.

Lazima watu waelewe, Sheria ya PPP na hata ile ya manunuzi, zinatoa upendeleo kwa wazawa zaidi.

Serikali inatoa upendeleo wa kisheria na inazijengea uwezo kampuni hizo, ili ziweze kusimama zenyewe, kutokana na kutambua mchango wake kwa uchumi wa taifa Kwa muktadha huo,

Saba, Baada ya ufafanuzi huu wa kina naomba nisisitize kwamba David Kafulila huyu ni yule yule wa Jana, Juzi na Leo,

Kafulila huyu wa UDART ni yeye yule aliyekuwa Mbunge machachari toka Jimbo la Kigoma Kusini ( 2010 - 2015 ).

Kafulila huyu baadae akateuliwa kuwa Katibu Tawala wa mkoa Songwe, aliyesimamia kisawa sawa nidhamu ya Fedha za Umma, Kuichukia rushwa na uwajibikaji kwa halmashauri zake zote.

Ni huyu Kafulila aliyekuwa Katibu Tawala wa kwanza kuvunja mkataba wa Mshitiri wa usambazaji dawa kwenye Mkoa wa Songwe kufuatia kuibuka kwa madai ya udanganyifu.

Mtakumbuka piq, Baada ya kuvunjiwa mkataba ule, muhusika alikwenda hadi Mahakama kuu ambako nako alishindwa kesi zote.

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko.

Niyeye Kafulila aliyeweza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi na uuzaji wa pamba,

Utaratibu wake ndio ambayo uliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya TZS 1,800 kwa kilo hadi TZS 2,200.

Bei hizi hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu ( No Cash No Cotton )

Kafulila huyu huyu akiwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu alimrudisha mkandarasi wa Kichina kurudia barabara ya Mwigumbi- Maswa, yenye zaidi ya urefu wa kilomita 20 kwa zaidi ya TZS 40 bilioni baada ya kujengwa kinyume na mkataba halafu mtu anauliza Je, ni Kafulila yule yule!?

Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kulikabidhi kwa halmashauri ya mji wa Bariadi nendeni mkawaulize.

Mimi Kafulila nimekuwa kamishna wa PPP ndani ya wizara ya fedha kwa mwaka mmoja 2023 na sasa nimekuwa Mkurugenzi wa kituo cha Ubia ambayo kinajitegemea (PPP Center) hapa namshukuru Mhe Rais Samia pamoja na Wasaidizi wake kwa kuendelea kuniamini kamwe sitowaangusha Watanzania.

Niiliahidi kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja, miradi ya PPP kwa Sera na Sheria ya PPP inaanza kupatikana baada ya kukwama kwa zaidi ya miaka 15 ya Sera ya mwaka 2009.

Na taarifa njema kwa Taifa ni kuwa kabla ya kufunga mwaka huu wa. fedha – Juni 24, tutakuwa tayari tumesaini miradi mitatu mikubwa ya Ubia,

Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.​
Kwanza, Kafulila nakupongeza kwa kutoka nje na kujibu hoja za Mwandishi,
Pili, Natamani na Viongozi wengine wa Serikali wangekuwa wanajitokeza na kufafanua mambo mbalimbali katika idara zao,
Naamini kupitia Majibu haya ya Kafulila Serikali imeeleweka vema

Alamsiki
 
Swali zuri sana.

Natamani pangejitokeza mtu akalijibu kwa kina swali hili.

'Background' ya Kafulila kielimu siijui, lakini natambua uwezo wake wa kujieleza vizuri. Kubenea, bila shaka ni mtu wa kisomo cha magazeti; kwa hiyo anao uwezo wa kupiga soga nyingi na kutunga tungo, basi. Zaidi ya hapo, hawa wawili sijui tofauti kati yao ni zipi.
Wote ni watu wanachukia Rushwa na Ufisadi,
 
LEO PAMBA NI TSH800 NAONA KAMA KAFULILA ANAKAUKWELI

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko ni yeye aliyeza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi wa pamba, ambayo iliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya Sh. 1,800 kwa kilo hadi Sh. 2,200. Bei hizu hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu.
Simiyu tutamkumbuka sana huyu RC, Pamba leo ni bure kabisa.
 
View attachment 2967024

Na. David Kafulila

NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.

Mhe Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT unaotarajiwa kuendeshwa na kampuni ya ENG ya Dubai.

Bw Kubebea ameandika Makala iliyobeba kichwa cha maneno: “ Kafulila wa Escrow ndiye huyu wa UDART? ”

Mimi Kafulila baada ya kuisoma makala hiyo, nimejiridhisha kuwa kuna maeneo mwandishi hajanielewa au haelewi vizuri.

Mwandishi huyu amejaribu kujenga mashaka ya alichokiita Hatari ya kampuni ya Dubai kupewa kazi ya kuendesha UDART " Shirika linalomilikiwa na Serikali na kampuni binafsi ya Simon Group Limited.

Binafsi nikiri kuwa nimependa namna mwandishi Saed Swed Kubenea alivyowasilisha maoni yake kwani yameamsha mjadala wa Ubinafsishaji, Ubia na nafasi ya wazawa katika Umiliki na Uendeshaji wa uchumi wa Taifa lao.

Kwakuwa mjadala huu ni mpana, naomba leo niseme mambo saba kwa ajili ya kutoa ufafanuzi ili kuwatoa hofu Watanzania akiwemo Saed Kubenea.

Na ieleweke pia nitakayoyaeleza hapa, baadhi ni maoni yangu binafsi, hasa kuhusu dhana nzima ya Ushiriki wa Sekta binafsi ya ndani na nje katika kujenga Uchumi shirikishi na Jumuishi.

Kwanza, nataka muelewe kuna tofauti kubwa kati ya Ubinafsishaji na Ubia.

Mikataba yote ya Ubia duniani – mali au aseti zote zinamilikiwa na Serikali husika Kabla, wakati na hata baada ya mkataba vile vile Mikataba ya Ubia haihamishi umiliki wa mali au aseti.

Sikilizeni, Kwa mfano, Ubia kati ya DART na kampuni ya ENG, haimanishi DART itakuwa imeuzwa au kuhamisha umiliki wa barabara au magari yake.

Kinachofanyika hapa muwekezaji ataleta mabasi na kuyaendesha kwa gharama zake huku Serikali ikipatiwa huduma kwa watu wake na masilahi mengine kulingana na mkataba husika.

Nimuulize swali Mhe Kubenea,
Kama Mbia ataleta magari yake na kuyaendesha hapo Serikali itakuwa imeuza rasilimali gani Kwa ENG?

Hata hivyo ni muhimu kufahamu kuwa Usafirishaji kwa njia ya barabara nchini unaendeshwa na sekta binafsi kwa miongo yote sasa, ukiondoa sehemu chache kama ilivyokuwa miradi ya UDA.

Pili, kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa DART ya wiki jana, Taratibu za Serikali kutafuta Mbia kuleta mabasi na kuyaendesha zimeanza tangu mwaka 2017.

Katika mchakato huo, zaidi ya makampuni 30 yalijitokeza lakini hakupatikana muwekezaji mwenye sifa na tija kwa Taifa.

Mchakato huo ukarudiwa tena mwaka 2020, Safari hii Makampuni takribani 40 yalishiriki na hapa ndipo ENG ikaibuka mshindi na kuanza majadiliano na Serikali ya kuendesha mradi huo na majadiliano hayo yalianza mwaka 2022 hata mimi nilipoipewa nafasi hii mwaka 2023 mradi huu upo.

Tatu, Ni bahati mbaya kwamba majadiliano haya yamechukua muda mrefu kutokana na changamoto za kisheria kwani DART & ENG walikuwa wakivutana kuhusu namna bora ya kuhitimisha makubaliano yao kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania na Watanzania.

Mara zote, tumeendelea kupata ushauri kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa lengo la kuhakikisha tunafikia Mkataba wenye masilahi mapana kwa taifa letu na unaolindwa na sheria zetu.


Nne, mradi wa BRT una njia sita, Njia ambayo inajadiliwa na kampuni ya ENG ya Dubai, ni ya kwanza ( Phase I ) ambayo inahusisha kuwapo mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.

LAZIMA pia tufahamu, Mabasi yote haya yatakayonunuliwa baada ya mkataba kumalizika, yatakabidhiwa kwa Serikali kabla hayajachoka na kisha wao kuingiza mengine mapya.

Lengo la Serikali na Rais Samia ni kuhakikisha kunakuwa na ubora wa huduma kwa Wanadalesalaam hasa Wapenzi wa Mwendokasi.

Hata hivyo, ujio wa ENG hauindoi UDART bali utaipa kampuni hii ya Serikali na wazawa changamoto katika ubora wa huduma ( a competitive business )


Tano, njia zingine tano bado DART wataendelea na mchakato wao wa kupata wawekezaji kwa utaratibu. wa aina hiyo hiyo.

Njia ya pili ( Phase II ) itahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kwani kunatakiwa mabasi 770.

Hii ni fursa kwa wawekezaji wote na hususan wa ndani.

Nakubaliana na hoja ya umuhimu wa kampuni za ndani kupewa fursa hii.

Nakubaliana na hoja ya kuzisaidia kampuni za ndani kupata fursa hii na hata hivyo, ni muhimu tukubaliane kusiwe kwa gharama kubwa. kwa wananchi wanaotumia usafiri huu.

Asilimia 43 ya wakazi wa Dar es Salaam wanafanya kazi maeneo ambayo wanatembea kwa mguu kwa sababu ya changamoto ya nauli.

Hii inawanyima fursa wao binafsi, lakini pia uchumi kwani nguvu kazi hiyo inaweza kuzalisha zaidi ikimudu kufanya kazi zaidi ya umbali huo.

Unafuu wa nauli na ubora wa huduma ni muhimu sana ili kuhakikisha nguvu kazi ya Dar es Salaam inazalisha na jiji linaunganishwa kwa Usafiri wa Uhakika.

Sita, Napenda kutoa wito kwa kampuni za wazawa zenye nia ya kuwekeza eneo hili, waoneshe nia na tuwasaidie kuwekeza kwenye fursa hizi za BRT hata kabla ya DART kutangaza.

Sheria inaruhusu wawekezaji kuleta mapendekezo kabla ya zabuni kutangazwa.

Anachopaswa kukizingatia, ni kwamba anapaswa kuleta mapendekezo yake kama UNSOLICITED.

Njia hii inatumika kwa miradi yote mwekezaji anapoona Serikali haiwezi kuendesha kwa ufanisi, anaruhusiwa kuomba kazi hiyo na atasaidiwa kwa mujibu wa sheria.

Lengo ni kuhakikisha serikali inavutia mitaji, teknolojia na weledi.

Kwamba, Sekta binafsi inatumika kutekeleza baadhi ya majukumu ya serikali kwa ufanisi ili yenyewe ibaki na majukumu muhimu ya kuhudumia wananchi.

Lazima watu waelewe, Sheria ya PPP na hata ile ya manunuzi, zinatoa upendeleo kwa wazawa zaidi.

Serikali inatoa upendeleo wa kisheria na inazijengea uwezo kampuni hizo, ili ziweze kusimama zenyewe, kutokana na kutambua mchango wake kwa uchumi wa taifa Kwa muktadha huo,

Saba, Baada ya ufafanuzi huu wa kina naomba nisisitize kwamba David Kafulila huyu ni yule yule wa Jana, Juzi na Leo,

Kafulila huyu wa UDART ni yeye yule aliyekuwa Mbunge machachari toka Jimbo la Kigoma Kusini ( 2010 - 2015 ).

Kafulila huyu baadae akateuliwa kuwa Katibu Tawala wa mkoa Songwe, aliyesimamia kisawa sawa nidhamu ya Fedha za Umma, Kuichukia rushwa na uwajibikaji kwa halmashauri zake zote.

Ni huyu Kafulila aliyekuwa Katibu Tawala wa kwanza kuvunja mkataba wa Mshitiri wa usambazaji dawa kwenye Mkoa wa Songwe kufuatia kuibuka kwa madai ya udanganyifu.

Mtakumbuka piq, Baada ya kuvunjiwa mkataba ule, muhusika alikwenda hadi Mahakama kuu ambako nako alishindwa kesi zote.

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko.

Niyeye Kafulila aliyeweza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi na uuzaji wa pamba,

Utaratibu wake ndio ambayo uliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya TZS 1,800 kwa kilo hadi TZS 2,200.

Bei hizi hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu ( No Cash No Cotton )

Kafulila huyu huyu akiwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu alimrudisha mkandarasi wa Kichina kurudia barabara ya Mwigumbi- Maswa, yenye zaidi ya urefu wa kilomita 20 kwa zaidi ya TZS 40 bilioni baada ya kujengwa kinyume na mkataba halafu mtu anauliza Je, ni Kafulila yule yule!?

Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kulikabidhi kwa halmashauri ya mji wa Bariadi nendeni mkawaulize.

Mimi Kafulila nimekuwa kamishna wa PPP ndani ya wizara ya fedha kwa mwaka mmoja 2023 na sasa nimekuwa Mkurugenzi wa kituo cha Ubia ambayo kinajitegemea (PPP Center) hapa namshukuru Mhe Rais Samia pamoja na Wasaidizi wake kwa kuendelea kuniamini kamwe sitowaangusha Watanzania.

Niiliahidi kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja, miradi ya PPP kwa Sera na Sheria ya PPP inaanza kupatikana baada ya kukwama kwa zaidi ya miaka 15 ya Sera ya mwaka 2009.

Na taarifa njema kwa Taifa ni kuwa kabla ya kufunga mwaka huu wa. fedha – Juni 24, tutakuwa tayari tumesaini miradi mitatu mikubwa ya Ubia,

Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.​
Natamani mawaziri pia wangeiga hii kitu
 
View attachment 2967024

Na. David Kafulila

NIMELAZIMIKA kushika kalamu ikiwa ni baada ya kusukumwa na andiko la ndugu na jamaa yangu wa miongo mingi na aliyepata kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe Saed Swedi Kubenea.

Mhe Kubenea amejadili kuhusu mradi wetu wa BRT unaotarajiwa kuendeshwa na kampuni ya ENG ya Dubai.

Bw Kubebea ameandika Makala iliyobeba kichwa cha maneno: “ Kafulila wa Escrow ndiye huyu wa UDART? ”

Mimi Kafulila baada ya kuisoma makala hiyo, nimejiridhisha kuwa kuna maeneo mwandishi hajanielewa au haelewi vizuri.

Mwandishi huyu amejaribu kujenga mashaka ya alichokiita Hatari ya kampuni ya Dubai kupewa kazi ya kuendesha UDART " Shirika linalomilikiwa na Serikali na kampuni binafsi ya Simon Group Limited.

Binafsi nikiri kuwa nimependa namna mwandishi Saed Swed Kubenea alivyowasilisha maoni yake kwani yameamsha mjadala wa Ubinafsishaji, Ubia na nafasi ya wazawa katika Umiliki na Uendeshaji wa uchumi wa Taifa lao.

Kwakuwa mjadala huu ni mpana, naomba leo niseme mambo saba kwa ajili ya kutoa ufafanuzi ili kuwatoa hofu Watanzania akiwemo Saed Kubenea.

Na ieleweke pia nitakayoyaeleza hapa, baadhi ni maoni yangu binafsi, hasa kuhusu dhana nzima ya Ushiriki wa Sekta binafsi ya ndani na nje katika kujenga Uchumi shirikishi na Jumuishi.

Kwanza, nataka muelewe kuna tofauti kubwa kati ya Ubinafsishaji na Ubia.

Mikataba yote ya Ubia duniani – mali au aseti zote zinamilikiwa na Serikali husika Kabla, wakati na hata baada ya mkataba vile vile Mikataba ya Ubia haihamishi umiliki wa mali au aseti.

Sikilizeni, Kwa mfano, Ubia kati ya DART na kampuni ya ENG, haimanishi DART itakuwa imeuzwa au kuhamisha umiliki wa barabara au magari yake.

Kinachofanyika hapa muwekezaji ataleta mabasi na kuyaendesha kwa gharama zake huku Serikali ikipatiwa huduma kwa watu wake na masilahi mengine kulingana na mkataba husika.

Nimuulize swali Mhe Kubenea,
Kama Mbia ataleta magari yake na kuyaendesha hapo Serikali itakuwa imeuza rasilimali gani Kwa ENG?

Hata hivyo ni muhimu kufahamu kuwa Usafirishaji kwa njia ya barabara nchini unaendeshwa na sekta binafsi kwa miongo yote sasa, ukiondoa sehemu chache kama ilivyokuwa miradi ya UDA.

Pili, kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa DART ya wiki jana, Taratibu za Serikali kutafuta Mbia kuleta mabasi na kuyaendesha zimeanza tangu mwaka 2017.

Katika mchakato huo, zaidi ya makampuni 30 yalijitokeza lakini hakupatikana muwekezaji mwenye sifa na tija kwa Taifa.

Mchakato huo ukarudiwa tena mwaka 2020, Safari hii Makampuni takribani 40 yalishiriki na hapa ndipo ENG ikaibuka mshindi na kuanza majadiliano na Serikali ya kuendesha mradi huo na majadiliano hayo yalianza mwaka 2022 hata mimi nilipoipewa nafasi hii mwaka 2023 mradi huu upo.

Tatu, Ni bahati mbaya kwamba majadiliano haya yamechukua muda mrefu kutokana na changamoto za kisheria kwani DART & ENG walikuwa wakivutana kuhusu namna bora ya kuhitimisha makubaliano yao kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania na Watanzania.

Mara zote, tumeendelea kupata ushauri kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa lengo la kuhakikisha tunafikia Mkataba wenye masilahi mapana kwa taifa letu na unaolindwa na sheria zetu.


Nne, mradi wa BRT una njia sita, Njia ambayo inajadiliwa na kampuni ya ENG ya Dubai, ni ya kwanza ( Phase I ) ambayo inahusisha kuwapo mabasi 177 yatakayonunuliwa na kampuni hiyo ya ENG.

LAZIMA pia tufahamu, Mabasi yote haya yatakayonunuliwa baada ya mkataba kumalizika, yatakabidhiwa kwa Serikali kabla hayajachoka na kisha wao kuingiza mengine mapya.

Lengo la Serikali na Rais Samia ni kuhakikisha kunakuwa na ubora wa huduma kwa Wanadalesalaam hasa Wapenzi wa Mwendokasi.

Hata hivyo, ujio wa ENG hauindoi UDART bali utaipa kampuni hii ya Serikali na wazawa changamoto katika ubora wa huduma ( a competitive business )


Tano, njia zingine tano bado DART wataendelea na mchakato wao wa kupata wawekezaji kwa utaratibu. wa aina hiyo hiyo.

Njia ya pili ( Phase II ) itahitaji uwekezaji mkubwa zaidi kwani kunatakiwa mabasi 770.

Hii ni fursa kwa wawekezaji wote na hususan wa ndani.

Nakubaliana na hoja ya umuhimu wa kampuni za ndani kupewa fursa hii.

Nakubaliana na hoja ya kuzisaidia kampuni za ndani kupata fursa hii na hata hivyo, ni muhimu tukubaliane kusiwe kwa gharama kubwa. kwa wananchi wanaotumia usafiri huu.

Asilimia 43 ya wakazi wa Dar es Salaam wanafanya kazi maeneo ambayo wanatembea kwa mguu kwa sababu ya changamoto ya nauli.

Hii inawanyima fursa wao binafsi, lakini pia uchumi kwani nguvu kazi hiyo inaweza kuzalisha zaidi ikimudu kufanya kazi zaidi ya umbali huo.

Unafuu wa nauli na ubora wa huduma ni muhimu sana ili kuhakikisha nguvu kazi ya Dar es Salaam inazalisha na jiji linaunganishwa kwa Usafiri wa Uhakika.

Sita, Napenda kutoa wito kwa kampuni za wazawa zenye nia ya kuwekeza eneo hili, waoneshe nia na tuwasaidie kuwekeza kwenye fursa hizi za BRT hata kabla ya DART kutangaza.

Sheria inaruhusu wawekezaji kuleta mapendekezo kabla ya zabuni kutangazwa.

Anachopaswa kukizingatia, ni kwamba anapaswa kuleta mapendekezo yake kama UNSOLICITED.

Njia hii inatumika kwa miradi yote mwekezaji anapoona Serikali haiwezi kuendesha kwa ufanisi, anaruhusiwa kuomba kazi hiyo na atasaidiwa kwa mujibu wa sheria.

Lengo ni kuhakikisha serikali inavutia mitaji, teknolojia na weledi.

Kwamba, Sekta binafsi inatumika kutekeleza baadhi ya majukumu ya serikali kwa ufanisi ili yenyewe ibaki na majukumu muhimu ya kuhudumia wananchi.

Lazima watu waelewe, Sheria ya PPP na hata ile ya manunuzi, zinatoa upendeleo kwa wazawa zaidi.

Serikali inatoa upendeleo wa kisheria na inazijengea uwezo kampuni hizo, ili ziweze kusimama zenyewe, kutokana na kutambua mchango wake kwa uchumi wa taifa Kwa muktadha huo,

Saba, Baada ya ufafanuzi huu wa kina naomba nisisitize kwamba David Kafulila huyu ni yule yule wa Jana, Juzi na Leo,

Kafulila huyu wa UDART ni yeye yule aliyekuwa Mbunge machachari toka Jimbo la Kigoma Kusini ( 2010 - 2015 ).

Kafulila huyu baadae akateuliwa kuwa Katibu Tawala wa mkoa Songwe, aliyesimamia kisawa sawa nidhamu ya Fedha za Umma, Kuichukia rushwa na uwajibikaji kwa halmashauri zake zote.

Ni huyu Kafulila aliyekuwa Katibu Tawala wa kwanza kuvunja mkataba wa Mshitiri wa usambazaji dawa kwenye Mkoa wa Songwe kufuatia kuibuka kwa madai ya udanganyifu.

Mtakumbuka piq, Baada ya kuvunjiwa mkataba ule, muhusika alikwenda hadi Mahakama kuu ambako nako alishindwa kesi zote.

Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko.

Niyeye Kafulila aliyeweza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi na uuzaji wa pamba,

Utaratibu wake ndio ambayo uliwafanya wakulima kuuza pamba yao bila kukopwa na hata kuuzwa wanakotaka na Udhibiti huu ulisaidia pamba kuuzwa kati ya TZS 1,800 kwa kilo hadi TZS 2,200.

Bei hizi hazijawahi kutokea tangu uhuru wa nchi yetu ( No Cash No Cotton )

Kafulila huyu huyu akiwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu alimrudisha mkandarasi wa Kichina kurudia barabara ya Mwigumbi- Maswa, yenye zaidi ya urefu wa kilomita 20 kwa zaidi ya TZS 40 bilioni baada ya kujengwa kinyume na mkataba halafu mtu anauliza Je, ni Kafulila yule yule!?

Kafulila huyu huyu alimnyang’anya mwekezaji umiliki wa Soko la madini kisheria na kulikabidhi kwa halmashauri ya mji wa Bariadi nendeni mkawaulize.

Mimi Kafulila nimekuwa kamishna wa PPP ndani ya wizara ya fedha kwa mwaka mmoja 2023 na sasa nimekuwa Mkurugenzi wa kituo cha Ubia ambayo kinajitegemea (PPP Center) hapa namshukuru Mhe Rais Samia pamoja na Wasaidizi wake kwa kuendelea kuniamini kamwe sitowaangusha Watanzania.

Niiliahidi kuhakikisha ndani ya mwaka mmoja, miradi ya PPP kwa Sera na Sheria ya PPP inaanza kupatikana baada ya kukwama kwa zaidi ya miaka 15 ya Sera ya mwaka 2009.

Na taarifa njema kwa Taifa ni kuwa kabla ya kufunga mwaka huu wa. fedha – Juni 24, tutakuwa tayari tumesaini miradi mitatu mikubwa ya Ubia,

Hakika Mama amelifungua Taifa kazi yetu ni kuchagua fursa tunazozitaka na kuziweza.​
Kama nchi ingehitaji vijana kwaajili ya Uongozi wa juu hapo kesho hawa akina Kafulila walitakiwa kuandaliwa kushika nafasi hizo
 
Back
Top Bottom