Kuagiza mabasi ya mwendokasi ya dizeli baada ya kukamilika kwa Bwawa la Nyerere itakuwa ni kipimo cha ujinga kwa Watanzania

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
37,313
42,778
Utaahira upo wa aina nyingi, pia upo utaahira binafsi na utaahira jumuishi (Communal insanity).

Sifahamu bado kama mabasi yaliyoagizwa kwa ajili ya kutumika kwenye mradi wa mabasi yaendayo haraka wa Mbagala kwamba ni ya Diesel au ya umeme (Rechargeable); ila kama kweli tutakuwa tumeagiza mabasi ya kutumia mafuta ya diesel yanayo tugharimu pesa nyingi za kigeni kuyaagiza, yanayosababisha gharama za usafirishaji kuwa kubwa na kuchafua maazingira, ilihali mitambo mingi ya kufua umeme imezimwa kwa sababu ya umeme kuzidi mahitaji, na hii ni baada ya mtambo mmoja tu kati ya 9 ya bwawa la Nyerere kuwashwa, basi itakuwa ni kipimo cha kutosha cha utaahira jumuishi cha waTanganyika.

Ni hayo tu.

IMG_1056.jpeg

==========================

View: https://youtu.be/wi-RhesWU_w?si=tZo72GqsBtFGx35V
 
Kutumia mabasi ya umeme bado sana, kuwa na umeme mwingi siyo kigenzo, jiulize mbona majumbani hatupikii majiko ya umeme na tunayo?
Sababu zipo wazi,
1.) watu tayari wameshatumia pesa nyingi kununua mitungi na majiko ya gesi, hivyo hakuna mwenye pesa ya mchezo kununua tena majiko ya umeme.

2.) Umeme bado ni ghali ukilinganisha na gesi.

- Ila kwa mradi wa mwendokasi ni tofauti, mabasi ndio tunanunua sasa hivi , hivyo tuna nafasi ya kuchagua aina ya mabasi tunayohitaji.

- Mradi ni wa serikali na bwawa la umeme ni la serikali, na kwakuwa kwa sasa umeme ni mwingi kuliko mahitaji, serikali inaweza kupeleka umeme wa special tarrif kwa mabus ya umeme ili kuleta unafuu kwa wananchi kuliko kufungulia mabwawa kama walivyofanya rufiji na kuacha umeme upoteee bure na kuleta mafuriko..
 
Wanajua wanachofanya ni ubinafsi, upuuzi na uzumbukuku uliochanganyika na upeo mfupi wa kupata vijisenti wakati unaua taifa lako.. (like the person who killed the goose which was laying a golden egg a day eti ili apate mayai yote kwa wakati mmoja)

Achana na umeme kwanza hapo tungetumia Compressed Natural Gas CNG ambayo ipo Tanzania wala hatuagizi...

Wewe unashangaa la magari wakati kwenye Nishati safi ya kupikia tumepewa misaada na tunakopa..., na badala ya kutumia umeme kupikia tunageuka kuwa madalali wa kupigia chepuo gesi ambayo sio yetu na tunaagiza....

 
Sababu zipo wazi,
1.) watu tayari wameshatumia pesa nyingi kununua mitungi na majiko ya gesi, hivyo hakuna mwenye pesa ya mchezo kununua tena majiko ya umeme.

2.) Umeme bado ni ghali ukilinganisha na gesi.

- Ila kwa mradi wa mwendokasi ni tofauti, mabasi ndio tunanunua sasa hivi , hivyo tuna nafasi ya kuchagua aina ya mabasi tunayohitaji.

- Mradi ni wa serikali na bwawa la umeme ni la serikali, na kwakuwa kwa sasa umeme ni mwingi kuliko mahitaji, serikali inaweza kupeleka umeme wa special tarrif kwa mabus ya umeme ili kuleta unafuu kwa wananchi kuliko kufungulia mabwawa kama walivyofanya rufiji na kuacha umeme upoteee bure na kuleta mafuriko..
Huu mwandiko naujua
 
Wanajua wanachofanya ni ubinafsi, upuuzi na uzumbukuku uliochanganyika na upeo mfupi wa kupata vijisenti wakati unaua taifa lako.. (like the person who killed the goose which was laying a golden egg a day eti ili apate mayai yote kwa wakati mmoja)

Achana na umeme kwanza hapo tungetumia Compressed Natural Gas CNG ambayo ipo Tanzania wala hatuagizi...

Wewe unashangaa la magari wakati kwenye Nishati safi ya kupikia tumepewa misaada na tunakopa..., na badala ya kutumia umeme kupikia tunageuka kuwa madalali wa kupigia chepuo gesi ambayo sio yetu na tunaagiza....

Rostitamu rafiki wa karibu wa bi kizimkazi hawezi kubali tutumie nishati safi ya umeme kupikia wakati yeye ni mmiliki na msambazaji wa gesi ya kupikia
 
Utaahira upo wa aina nyingi, pia upo utaahira binafsi na utaahira jumuishi (Communal insanity).

Sifahamu bado kama mabasi yaliyoagizwa kwa ajili ya kutumika kwenye mradi wa mabasi yaendayo haraka wa Mbagala kwamba ni ya Diesel au ya umeme (Rechargeable); ila kama kweli tutakuwa tumeagiza mabasi ya kutumia mafuta ya diesel yanayo tugharimu pesa nyingi za kigeni kuyaagiza, yanayosababisha gharama za usafirishaji kuwa kubwa na kuchafua maazingira, ilihali mitambo mingi ya kufua umeme imezimwa kwa sababu ya umeme kuzidi mahitaji, na hii ni baada ya mtambo mmoja tu kati ya 9 ya bwawa la Nyerere kuwashwa, basi itakuwa ni kipimo cha kutosha cha utaahira jumuishi cha waTanganyika.

Ni hayo tu.

————————————————————
View attachment 3086602
Wauzaji wa mafuta watakupinga
 
Utaahira upo wa aina nyingi, pia upo utaahira binafsi na utaahira jumuishi (Communal insanity).

Sifahamu bado kama mabasi yaliyoagizwa kwa ajili ya kutumika kwenye mradi wa mabasi yaendayo haraka wa Mbagala kwamba ni ya Diesel au ya umeme (Rechargeable); ila kama kweli tutakuwa tumeagiza mabasi ya kutumia mafuta ya diesel yanayo tugharimu pesa nyingi za kigeni kuyaagiza, yanayosababisha gharama za usafirishaji kuwa kubwa na kuchafua maazingira, ilihali mitambo mingi ya kufua umeme imezimwa kwa sababu ya umeme kuzidi mahitaji, na hii ni baada ya mtambo mmoja tu kati ya 9 ya bwawa la Nyerere kuwashwa, basi itakuwa ni kipimo cha kutosha cha utaahira jumuishi cha waTanganyika.

Ni hayo tu.

————————————————————
View attachment 3086602
Ndg Francis.Nikupongeze sana kwa wazo zuri ambalo sijui kama kuna watu watakuelewa au la. Moja ya kuokoa pesa za Seikali ilikuwa kutumia huu umeme ambao tayari tumeanza zalisha. Hii ingechangia sana kuokoa pesa za serikali katika kununua mafuta na pia kuibiwa kama ilivyotokea hapo awali manunuzi ya mafuta. Na ingesaidia pia kupunguza nauli kwa sababu garama za uendeshaji zingepungua. Nachokiona mpaka sasa ni kutokuwa na maono ya kwani njia zilizokwisha jenga mpaka sasa hawakuzingatia hilo la kuweka njia ya umeme.Tunahitaji kuwa na mikakati ya muda mrefu mfano mdogo huwezi jenga shule wakati hujafanya tafiti eneo hili lina wakazi wangapi na watoto wanaozaliwa kila mwaka ni wangapi? Ni lazima ufanye tafiti kwanza. Tumejenga bwawa la Mwl Nyerere ni kazi nzuri sana kwa Serikali waliyofanya ila tulitakiwa kuangalia mbele mahitaji ya bwawa hasa kwenye kupunguza garama kwa wananchi na serikali kwa ujumla. Hapo ndipo tungegundua kuwa mradi huu ungeanzia kwa kuweka njia ili kuagiza gari za umeme.
 
Ndg Francis.Nikupongeze sana kwa wazo zuri ambalo sijui kama kuna watu watakuelewa au la. Moja ya kuokoa pesa za Seikali ilikuwa kutumia huu umeme ambao tayari tumeanza zalisha. Hii ingechangia sana kuokoa pesa za serikali katika kununua mafuta na pia kuibiwa kama ilivyotokea hapo awali manunuzi ya mafuta. Na ingesaidia pia kupunguza nauli kwa sababu garama za uendeshaji zingepungua. Nachokiona mpaka sasa ni kutokuwa na maono ya kwani njia zilizokwisha jenga mpaka sasa hawakuzingatia hilo la kuweka njia ya umeme.Tunahitaji kuwa na mikakati ya muda mrefu mfano mdogo huwezi jenga shule wakati hujafanya tafiti eneo hili lina wakazi wangapi na watoto wanaozaliwa kila mwaka ni wangapi? Ni lazima ufanye tafiti kwanza. Tumejenga bwawa la Mwl Nyerere ni kazi nzuri sana kwa Serikali waliyofanya ila tulitakiwa kuangalia mbele mahitaji ya bwawa hasa kwenye kupunguza garama kwa wananchi na serikali kwa ujumla. Hapo ndipo tungegundua kuwa mradi huu ungeanzia kwa kuweka njia ili kuagiza gari za umeme.
Kweli wangepaswa kuinclude powerlines za umeme kama zile za treni, ila kwa sasa yapo mabasi yanayotukia betri, ambapo unayacharge usiku wakati yamepaki. Halafu kwa moango wa muda mrefu ndio wanaweza ku-upgrade kwa kuweka njia za umeme
 
Kweli wangepaswa kuincluse powerlines za umeme kama zile za treni, ila kwa sasa yapo mabasi yanayotukia betri, ambapo unayacharge usiku wakati yamepaki. Halafu kwa moango wa muda mrefu ndio wanaweza ku-upgrade kwa kuweka njia za umeme
Ndg unaonekana upo well updated mpaka najisemea wataalam kama nyinyi sijui mpo wapi maana mawazo yako positive kwa manufaa ya Taifa. Unaweza kuta hakuna aliyefikiria kama wewe au ndiyo tuseme kutojali bora liende. Tungekuwa na uchungu na rasilimali zetu wazo lako ni muhimu sana kufikiriwa mara tatu tatu.
 
Utaahira upo wa aina nyingi, pia upo utaahira binafsi na utaahira jumuishi (Communal insanity).

Sifahamu bado kama mabasi yaliyoagizwa kwa ajili ya kutumika kwenye mradi wa mabasi yaendayo haraka wa Mbagala kwamba ni ya Diesel au ya umeme (Rechargeable); ila kama kweli tutakuwa tumeagiza mabasi ya kutumia mafuta ya diesel yanayo tugharimu pesa nyingi za kigeni kuyaagiza, yanayosababisha gharama za usafirishaji kuwa kubwa na kuchafua maazingira, ilihali mitambo mingi ya kufua umeme imezimwa kwa sababu ya umeme kuzidi mahitaji, na hii ni baada ya mtambo mmoja tu kati ya 9 ya bwawa la Nyerere kuwashwa, basi itakuwa ni kipimo cha kutosha cha utaahira jumuishi cha waTanganyika.

Ni hayo tu.

Hayo mabasi ya umeme kwenye picha si yanachajiwa? Siyo eti nguzo zinawekwa barabarani kama SRG. Ni charging points tuseme kwenye vituo maalum. Ni kama tesla na EV zingine.
 

Microvast Becomes the Main Battery Supplier for China’s New Energy Bus Makers
28 July 2017​

www.chinabuses.org: On July 17, China’s Ministry of Industry and Information Technology (MIIT) issued a Notice on Vehicle Manufacturers and Products (No. 298). According to the notice, 317 units new energy vehicles made their way to the List of New Energy Vehicles, including 45 units passenger vehicles, 158 units buses and 114 units special vehicles.
A survey of all the new energy buses shows that they are equipped with batteries which are made by 31 companies. The top eight enterprises have supplied batteries for 113 units new energy buses, accounting for 71.5% of the market.
20170728020245278.jpg

Microvast, the leading battery manufacturer in China, has provided batteries on 11 new energy buses for eight bus makers, including such well renowned brands as Yutong, Foton, North Bus, Wuzhoulong and CRRC. In addition, the bus maker has chiefly supplied power systems for electric buses and fuel cell buses, fully demonstrating its strengths in the new energy field.
Microvast played a key role in building China’s first fast recharging bus route. In recent years, the company has been making constant efforts to develop fast recharging systems, such as lithium titan ate batteries, multivariate composite lithium and lithium magnate.
Source : www.chinabuses.org.


China huyohuyo wanako enda nunua diesel engine buses ,yeye hatumii kabisa, china kasha hamia tokea 2017 kwenye battery buses.
 
Sababu zipo wazi,
1.) watu tayari wameshatumia pesa nyingi kununua mitungi na majiko ya gesi, hivyo hakuna mwenye pesa ya mchezo kununua tena majiko ya umeme.

2.) Umeme bado ni ghali ukilinganisha na gesi.

- Ila kwa mradi wa mwendokasi ni tofauti, mabasi ndio tunanunua sasa hivi , hivyo tuna nafasi ya kuchagua aina ya mabasi tunayohitaji.

- Mradi ni wa serikali na bwawa la umeme ni la serikali, na kwakuwa kwa sasa umeme ni mwingi kuliko mahitaji, serikali inaweza kupeleka umeme wa special tarrif kwa mabus ya umeme ili kuleta unafuu kwa wananchi kuliko kufungulia mabwawa kama walivyofanya rufiji na kuacha umeme upoteee bure na kuleta mafuriko..
Wangekua na akili hata mabus ya gesi asilia ingesaidia maana gesi tayari inachimbwa hapa Tanzania. Mimi ninachoona kuna watu serikalini wanafaidika na majanga yoyote yanayotokea nchini kwetu kwao ni fursa kupiga hela hata mafuta kwao ni fursa ndo maana vituo vya mafuta vinaota kama uyoga hadi vichochoroni.
 

50 Units Electric Buses Equipped Microvast Fast Recharging Battery Systems Start Operation in South Korea
21 December 2023​

Recently, 50 units electric buses equipped with Microvast 299 kWh fast recharging battery systems officially started operation in South Korea, upgrading the country’s green public transport network. Everyday, each bus drives nearly 18 hours with a mileage of about 300 km. By getting fast recharged twice or three times each day, it can fully meet the daily operation requirements.
20231221102105646.jpg

In earlier 2018, a batch of new energy buses equipped with Microvast power batteries started operation in South Korea. So far, they have been working smoothly for over five years. Microvast has obtained the certificate from South Korean Ministry of Land and Resources. It fully meets the the requirements of power performances, cold endurance performances, and energy efficiency for new energy vehicles in South Korea.
20231221102122791.jpg

By the end of November this year, a total number of over 700 units new energy buses equipped with Microvast power battery systems had been put into services in 15 cities on 69 bus routes across South Korea. To seek green and sustainable development, South Korea has been actively involved in promoting commercial operation of electric city buses.
20231221102156451.jpg

Microvast is specialized in developing and marketing fast-recharging battery systems. So far, it has exported its products to 34 countries, working smoothly on new energy powered heavy-duty trucks, light trucks, city buses, passenger vehicles, engineering machinery and energy storage.


👆Hapo ni South Korea, ka purchase battery buses from China. Tukisema viongozi wa tz ni wajinga , munasema hatuna adabu
 
Back
Top Bottom