Tumekuelewa myahudi wa manzese.Baada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.
Wkt waisrael wapo mashimoni Marekani kavamia mtumbwi wa kibwengo YEMEN aitawai kushindwa wala kuomba pooooo.Baada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.
Baada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.
hivi hawa wahouth wanaporushaga haya makombora yao wanapataga faida gani mbona yanaishiaga kupanguliwa tu sana sana wanaipa Israel sifa ina uwezo mkubwa wa mifumo ya angaBaada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.
Kama yanaishiaga kupanguliwa,hao wateule koko kwa nini huamka usiku usiku na mashuka kukimbilia kwenye mahandaki?hivi hawa wahouth wanaporushaga haya makombora yao wanapataga faida gani mbona yanaishiaga kupanguliwa tu sana sana wanaipa Israel sifa ina uwezo mkubwa wa mifumo ya anga
Anayumba sana,huyo huyo anayesema Waouth wametepeta,huyo huyo akilala akiamka anakuja na lingine.Mara houthi wamechakazwa,houthi alfajiri wanawaamsha wateule na kukimbilia kwenye mahandaki wakiwa na mashuka
wafia dini bana akili zenu za hovyo sana yaani mfia dini akikupiga ngumi ukaipangua na ukamshushia ngumi za uso kama 50 atatoka kujitangaza kwa uwezo wa Allah amekushindaKama yanaishiaga kupanguliwa,hao wateule koko kwa nini huamka usiku usiku na mashuka kukimbilia kwenye mahandaki?
wafia dini kwenu kuuliwa uliwa mnaona ufahariAnayumba sana,huyo huyo anayesema Waouth wametepeta,huyo huyo akilala akiamka anakuja na lingine.
Waouth washasema Tel Aviv si salama Tena wahame,Muda utaongea.
Jitahidi kutumia vizuri ubongo uliopewawafia dini bana akili zenu za hovyo sana yaani mfia dini akikupiga ngumi ukaipangua na ukamshushia ngumi za uso kama 50 atatoka kujitangaza kwa uwezo wa Allah amekushinda
Wkt waisrael wapo mashimoni Marekani kavamia mtumbwi wa kibwengo YEMEN aitawai kushindwa wala kuomba poooooBaada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.
Huyo ni kichaa, mara Hamas kisha mara Hezbullah kusha mara Al Houth kisha hajulikani ana tapa tapa tu.Tumekuelewa myahudi wa manzese.
Nasikia kanza mbembeleza mfalme wa Oman awapatanishe na Al Houth, Trump kisha ambiwa na Pentagon hawezi kuwashinda hao Al Houth na hi vita ulio ingia na hao Al Houth ni hasara kubwa kwa US. Pentagon wamemuambia ndege ya MQ9 bei yake ni 30 Millions Inangushwa na Missiles za Al Houth haifiki bei yake hata 1000 US $Wkt waisrael wapo mashimoni Marekani kavamia mtumbwi wa kibwengo YEMEN aitawai kushindwa wala kuomba pooooo