Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 1,913
- 1,965
Baada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.
Wahouthi sasa hivi wanatapatapa sana kwa mwezi huu tu wamerusha makombola ya Ballistic zaidi ya 20 na yote yanapopolewa. Hongera nyingi sana kwa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel na IDF kwa ujumla.