Kodi inategemea na eneo ubora na hadhi yake n.k, nyumba yenye kigezo kama hiko na si ajabu ikawa hivyo kila kitu ukiikuta Chanika ama mpiji magoe utashangaa bei inashuka hata nusu yake
Cha msingi kama unajitafuta ni bora uanzie nje ya mji lakini katikati ni mtihani kwa kweli unaweza shangaa kibanda tu
Bei ya kufa mtu