OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 54,497
- 123,146
Kocha huyo amesema golikipa ndiyo amewatoa mchezoni mapema maana magoli aliyofungwa ni ya kupeana tu.
Yale magoli hata kipa wetu wa Veteran hafungwi....Mwenye haki ya kufungwa na Yanga ni 5imba tu wengine wanahongwa
Yanga kama ccm tuuView attachment 3311519
Kocha huo amesema golikipa ndiyo amewatoa mchezoni mapema maana magoli aliyofungwa ni ya kupeana tu.
Nahisi hizo rangi ni tatizo😎Yanga kama ccm tuu
Kilicho wakimbiza tarehe 8 ni kipi?Yale magoli hata kipa wetu wa Veteran hafungwi....
Mnaharibu soka Mwakikundi.Kilicho wakimbiza tarehe 8 ni kipi?
Ana ushahidi na hizo tuhuma? kama anao ushahidi aufikishe kunakostahiliView attachment 3311519
Kocha huo amesema golikipa ndiyo amewatoa mchezoni mapema maana magoli aliyofungwa ni ya kupeana tu.
Sio hisia ni uhalisiaNahisi hizo rangi ni tatizo😎
Labda kama huyo kipa hamumjui,udhaifu wake wa kutema mipira uko toka alipokuwa tabora united alifanya hivyo na wakafungwa na tabora waliachana nae,huyo kocha anajua kabisa kuwa noble huwa anatema mipira na bado wanampanga,wale wachezaji wenzie wanajua udhaifu wake bado wanamrudishia mipira kwa back pass,vipi nao walihongwa? huo ni mpira ulivyoSio hisia ni uhalisia
Kuna mambo yanashangaza sana.Mwenye haki ya kufungwa na Yanga ni 5imba tu wengine wanahongwa
Timu ya Yanga haijawahi kuwa na shabiki mbumbumbu kama wewe, na asiye fahamu kuwa mpira wa miguu ni mchezo wa makosa.Kiukweli licha ya kuwa mimi ni Shabiki wa Mwananchi
Ila ligi yetu itapoteza mvuto kwa mambo ya hovyo na ya ujanja ujanja yanayofanywa na hizi timu kubwa
Kipa John Noble kafanya mambo ya kitoto kabisa,,,, huyu achunguzwe
Naomba vyombo vya dola hasa Takukuru viwe serious vifanye uchunguzi ktk sekta ya michezo kuna madudu mengi sana sana
Tena waanze na baadhi ya marefarii hasa Nassoro Mwinchui, Saad Mrope na wachunguze sana pía na wachezaji
Ndo maana Saed Ramovic alisema wazi kuwa ligi yetu ushindani wake upo chini sana, kumbe hakujua kuwa behind the scene kuna viongozi wananunua mechi
pinpin camara kipa wa simba alitema hivyohivyo simba walipocheza na yanga na tukafunga goli naye alihongwa?Timu ya Yanga haijawahi kuwa na shabiki mbumbumbu kama wewe, na asiye fahamu kuwa mpira wa miguu ni mchezo wa makosa.
Mbona Diarra na uzoefu wake kwenye ligi, amefungwa magoli ya kutosha tu yaliyosababishwa na uzembe, lakini huwezi kuona matamko ya ya kipuuzi kutoka kwa mashabiki, benchi la ufundi, au viongozi wa timu?
Ukienda Uingereza, magolikipa kama Onana wa Man U na Robert Sanchez wa Chelsea kila siku wanafanya makosa! Lakini huwezi kusikia malalamiki ya kipuuzi kama haya ya kwenu.
Duh!..View attachment 3311519
Kocha huo amesema golikipa ndiyo amewatoa mchezoni mapema maana magoli aliyofungwa ni ya kupeana tu.
Aaaaah Bantu Lady usiwe hivyo bhana ...Nyie madunduka tuliwahonga kiasi gani, mkaturuhusu tuwabamize 5? Kuliko kishabikia hili, mngekaa kutafakari South moto mtauchomaje, na faini mnayo ya kulipa?
Mimi ni Yanga pure ila tuseme ukweli. GSM na Eng Hersi wanaharibu mpira wa Tanzania. Ni vigumu sana kwa Yanga kuifunga timu ambayo haifadhiliwi na GSMLabda kama huyo kipa hamumjui,udhaifu wake wa kutema mipira uko toka alipokuwa tabora united alifanya hivyo na wakafungwa na tabora waliachana nae,huyo kocha anajua kabisa kuwa noble huwa anatema mipira na bado wanampanga,wale wachezaji wenzie wanajua udhaifu wake bado wanamrudishia mipira kwa back pass,vipi nao walihongwa? huo ni mpira ulivyo