Huyu ni waziri wa fedha wq nchi gani?Habari,
Kiwanja kinauzwa, kipo karibu na kwa waziri wa fedha.
Kipo karibu na barabara,30×40.
Bei ;million 6, punguzo lipo.
Mawasiliano; 0786 382988.
Kwa walio serious tu.
Bado kipo Hapo Hapo kwa waziri wa fedha?Kiwanja bado kipo
Lipa deni la watuMtaa unaitwa kwa waziri wa fedha, shida yako?
Maamuzi, njoo na 4.5 millions
Kina ukubwa gani?
Kwanini sasa unatuambia kuhusu kiwanja? Ungeandika namba ya simu basi tukikupigia ndio uanze hayo maelezo ya waziri. Au waziriwa fedha ni moja ya kivutio?Ndo mana nimeweka Mawasiliano