jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,086
- 29,652
Vyombo vya taarifa duniani vinaeleza kuwa kampuni ya barrick imeathirika katika uzalishaji au uuzaji wa dhahabu duniani...na moja ya sababu inaweza kuwa ni mgogoro kati ya Tanzania na kampuni ya barrick/acacia.
Kwangu mimi hii inamaanisha[B/] umuhimu mkubwa wa migodi yetu katika kutoa dhahabu ingawa kipato tulichokuwa tunapata kilikuwa ni kiduchu mno.
Zuio la mchanga wa makanikia lina athari kubwa kwa kampuni hii ...ina maana kampuni ilikuwa ikinufaika haswa na madini yetu.
Zuio hili ni muhimu kwa kuwa hapo mwanzo tulikuwa hatupati kitu ilihali mchango wa uzalishaji wa dhahabu ulikuwa ni significant to Barrick and the world.
Way foward:
Barrick kuendelea kuhonor makubaluano ya awali ili iendelee kusimama kwenye soko la dhahabu duniani.
Barrick kuharakisha suluhisho la tatizo ili iweze kusimama tena kama muuzaji au mfanyabiashara mkuu wa dhahabu duniani.
Serikali ya Tanzania iendelee kusimamia kucha na ikiwezekana itoe ultmatum ya usuluhu wa issue ya makanikia.
Bado naiamini tume ya makanikia na tume ya majadiliano ingawa Mheshimiwa Rais anatakiwa kuendelea kuifuatilia kwa ukaribu wa kipekee ili isihongwe au kurubuniwa.
Watanzania wanatakiwa waendelee kuwapuuza vibaraka mfano wa Pasco ambao wanaweza kununuliwa muda wowote na wakaanzisha threads zisizo na mashiko zenye kuulizia mambo yaliyotolewa ufafanuzi!
This battle is hard but Tanzania and Magufuli will prevail as winners.
Barrick just makes 2017 production guidance | MINING.com
Kwangu mimi hii inamaanisha[B/] umuhimu mkubwa wa migodi yetu katika kutoa dhahabu ingawa kipato tulichokuwa tunapata kilikuwa ni kiduchu mno.
Zuio la mchanga wa makanikia lina athari kubwa kwa kampuni hii ...ina maana kampuni ilikuwa ikinufaika haswa na madini yetu.
Zuio hili ni muhimu kwa kuwa hapo mwanzo tulikuwa hatupati kitu ilihali mchango wa uzalishaji wa dhahabu ulikuwa ni significant to Barrick and the world.
Way foward:
Barrick kuendelea kuhonor makubaluano ya awali ili iendelee kusimama kwenye soko la dhahabu duniani.
Barrick kuharakisha suluhisho la tatizo ili iweze kusimama tena kama muuzaji au mfanyabiashara mkuu wa dhahabu duniani.
Serikali ya Tanzania iendelee kusimamia kucha na ikiwezekana itoe ultmatum ya usuluhu wa issue ya makanikia.
Bado naiamini tume ya makanikia na tume ya majadiliano ingawa Mheshimiwa Rais anatakiwa kuendelea kuifuatilia kwa ukaribu wa kipekee ili isihongwe au kurubuniwa.
Watanzania wanatakiwa waendelee kuwapuuza vibaraka mfano wa Pasco ambao wanaweza kununuliwa muda wowote na wakaanzisha threads zisizo na mashiko zenye kuulizia mambo yaliyotolewa ufafanuzi!
This battle is hard but Tanzania and Magufuli will prevail as winners.
Barrick just makes 2017 production guidance | MINING.com