Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 800
Ndo vitu vyenu
Dodoma et??Nyam nyam nyam
Dodoma et??Nyam nyam nyam
JacanaRainbow
ENdo vitu vyenu
Dodoma et??
MalaikaaaJacana
CanivalMalaikaaa
Club lazizCanival
Bila shaka nyama inaenda China, ngozi kenya
Mlango wa nyuma mzigo unatumika kutengenezea sausage zinazouzwa hapa TZ kwa wingi.Jamaa ataenda kufungua kiwanda hicho?, wanapeleka China mkuu.
Destination, Pork Joint,Club laziz
Naangalia Habari ITV naona Kiwanda cha Kuchinja punda Dodoma kilichokuwa kimefungwa sasa kimefunguliwa.
Kilichonishangaza ni malalamiko ya wafanyakazi wanalalamika kuwa idadi waliyoruhusiwa kuchinja kwa siku ni ndogo hivyo iongezwe hadi kufikia punda 60 kwa siku...Najiuliza hao punda wanaochinjwa nyama wanauzia wapi? Au ndo nyama choma tunayokula kwa Mfogo?
Mod saidieni kuweka full image..
Mtaani inauzwa kilo sh.3000/= sijui huko kiwandaniMwemyw Kufahamu bei wanayonunulia tafadhali atujuzeee
Nyama inakwenda china.maini utumbo na mazagazaga vinakwenda dar kwa wachoma mishikaki ile midogo midogo