Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,518
- 7,220
Tanzania Gorvement supports reopening of General Tire...(Jan 2015)Ccm ni nyoooko kwelikweli muda wote walikuwa wapi?
www.tyrepress.com/2015/01/tanzanian...
Tanzania Gorvement supports reopening of General Tire...(Jan 2015)Ccm ni nyoooko kwelikweli muda wote walikuwa wapi?
Tanzania Gorvement supports reopening of General Tire...(Jan 2015)
www.tyrepress.com/2015/01/tanzanian...
Ccm ni nyoooko kwelikweli muda wote walikuwa wapi?
Kimoja baada ya kingine..Wafufue na viwanda vya nguo Mwatex,Mbeyatex,Sunguratex,Urafiki,bila kusahau vya zana za kilimo kv ZZK zana zetu kali UFI mbeya,viwanda vya kusindika nyama,Kiwanda cha Pareto Mafinga,nk
Tatizo lililoko GT ni ushindani ulioko sasa hivi kwenye soko la tairi, ili kiwanda kiweze kujiendesha lazima uuze bidhaa bora na kwa bei ya ushindani hii ndiyo changamoto hata kampuni ya samir tyres ya Kenya ilikutananae hata baada ya moi kuzuia kwa muda tairi kutoka nje alivyo ingia kibaki mambo yakawa magumu tena,kwanza kipindi cha nyuma GT ilkua inapata mpira kutoka mashamba ya mpira nchini kwa bei nafuu leo mashamba yamebinafsishwa,hivyo itabidi uanze kuagiza mpira nje,halafu ushindane na hao wenye kukuuzia mpira kwenye soko la Tairi,wenye Viwanda karne ya 21 wamejipanga kuanzia upatikanaji wa malighafi kwa bei nafuu ili waweze kushika soko, ndiyo maana Dangote yuko mtwara mahali penye gesi na choka na malighafi mengine leo hii makampuni makubwa ya tyre zimejenga Viwanda vya matairi china na Vietnam siyo bure wanafuata malighafi,kwa hiyo Kama atafufua anaweza, lakini je litadumu muda gani?
hivi mkiwaza kitu kichwani kwako unahamka na uzushi halafu unataka watu wenye akili timamu wakubali uzushi?General tyre kufufuliwa, JF nayo tupongezwe..
=============
============
Mjadala wenye tija na uchambuzi kuhusu kiwanda cha matairi cha General Tyres uliofanyika hapa JF na pengine kuchochea Serikali kukifufua kiwanda hicho upo kwenye uzi huu; General Tyres Tanzania ilivyohamishiwa Kenya na kuitwa YANA tyres!
Ccm ni wezi tu kama wezi wengine wanahamia upande wa pili.
Mzee Shelukindo anatajwa sana kwenye hili,kama ni kweli ivi anajisikiaje kuwa sehemu ya anguko la iki kiwanda watu zaidi ya 300 kukosa ajira za moja kwa moja achilia mbali ajira zisizo za moja kwa moja.Sio kweli. Serikali ilishatoa shilingi bilioni kumi miaka mingi iliyopita za kulipa hilo madeni na kufufua kiwanda. Mbia (Continental/General Tyre) alikuwa anadai dollar 2.4 million na HSBC walikuwa wanadai 2 million dollars. Deni likalipwa pesa iliyobaki Mramba, Shelukindo na mafisadi wenzao huko CCM wakazitia ndani kiwanda kikatelekezwa.
kimoja baada ya kingine..
porojo......kuna sehemu nimesoma kwamba serikali ya tz imechukua hisa 24% zilizokuwa zinamilikiwa na mwekezaji na hivyo kuhodhi 100% kwani kabla ya hapo walikuwa na 76%.
Swali ni kwamba mbona nilisikia hiyo general tyre ilishakufa siku nyingi? Utanunuaje hisa za kampuni iliyokufa?
Labda mimi sielewi naomba kuelimishwa kwa hilo.
Nataka ninunue hisa kwenye hiyo coy, kuna anayefahamu kama watauza?nasikia wameifufua juzi
Inafurahisha sana, kwahiyo wawekezaji walikuwa wanammiliki marehemu kwa 24%?Ndio uwekezaji huo, unauza kiwanda, wawekezaji wanakiuwa halafu unachukua marehemu wako
nasikia wameifufua juzi