Mtu wangu wa karibu sana tulikua ofisi moja, alimzimika dada wa sure, toto zuri balaa, basi fukuzia fukuzia na wewe, mtoto alikua ameajiriwa kwenye ofisi ya jengo la pili kutoka kwetu, kila jamaa akiziingiza anatolewa nje, mtoto alikuwa analetwa na either msure au dereva wao asubuhi, mtu wangu anaiambia hata ile gea ya lift home pale haiingii. Siku mtoto alikubali kutoka fo a meal, mtu wangu alikua shocked, walikwenda. Baada ya wiki moja kila nikiuliza maendeleo hataki hata kusikia jina la mtoto. Wakati huo binti wa watu amesha jaa, jamaa anamtoroka. Kwakweli mapenzi ni equation nzito sana.
llishanitokea hii.... kitu ya baridi, inapwaya mbaya plus gogo lazma usepe hata Kama kitu ni cut ...!Mtu wangu wa karibu sana tulikua ofisi moja, alimzimika dada wa sure, toto zuri balaa, basi fukuzia fukuzia na wewe, mtoto alikua ameajiriwa kwenye ofisi ya jengo la pili kutoka kwetu, kila jamaa akiziingiza anatolewa nje, mtoto alikuwa analetwa na either msure au dereva wao asubuhi, mtu wangu anaiambia hata ile gea ya lift home pale haiingii. Siku mtoto alikubali kutoka fo a meal, mtu wangu alikua shocked, walikwenda. Baada ya wiki moja kila nikiuliza maendeleo hataki hata kusikia jina la mtoto. Wakati huo binti wa watu amesha jaa, jamaa anamtoroka. Kwakweli mapenzi ni equation nzito sana.
JF is never boringMimi nilikutana na mkali wao Tumaini University nzima mwaka juzi hakunaga. Na hogo lote nililonalo linalowakojozaga kwake kilikuwa kibamia. Nilipiga chini nikakimbia spidi 150 kama ile aliyoiahidi Lowassa angechaguliwa.
mm nilipataga mmoja wa kishua nishakula konyagi zangu sasa sikaanza kulala kaa gogo yaan anataka mapenz ya kisharo yaani nilimtindua huyo nilimpiga mbuzi kagoma, nikampiga kuku kakwepa mwewe ww acha alie huyo nikamalizia na popo kanyea mbingu yaan alianza niganda balaaYana ukweli ndani yake na hasa umkute anaejifanya wa kishua
hawajitumi hawakupi uhuru wa kujinafasi kwenye miili yao eti utaharibu shape hata kuutunza huo mtaji wenyewe hakuna na wanapenda sana kuishi maisha ya kitamthilia matumizi makubwa kuliko huduma na kuna wale wanaojisifia sana wanaweza nao hua ovyo kabisa usanii tu ndio silaha yao
Vipi mkuu, kwema!?? Umeniita auCc sakayo
Kumbee,M
Mademu "wazuri"wengi wanamapepo ya uzinzi.shetani anawatumia sana kuwaangusha dhambini wanaume kama Delila.ndio maana wengi malaya
Sijui mwanamke mzuri yupi unaongelea mkuu mimi nilipata wawili hao wazuri hatari. Hao kama hujafanya kwa masaa 2 basi watakuganda mpaka uwatowe kiu yao.Wanasema uzuri wa ngoma ingia ulicheze.
Kiukweli Mungu hakupi vyote, ndiyo maana ukifuatilia wasichana wote wazuri warembo huwa hawadumu wakiolewa. Unakuta msichana ni mzuri sura, ana umbo, ila tu akitembea na mwanaume mara moja harudii hii inachangiwa na nini?
Ila unakuta msichana ana sura ya kawaida ila 'mashine inaita mbaya', ina high na low, hii huchangiwa na nini?
Huyo ni mmoja kati ya milioni 1Siyo wote mkuu
Yupo mmoja hapa Msimbazi nilimgegeda,ni mzuri kote kote
Acha kabisa