Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Mkuu unachanganya madesa halafu unalaumu, unajipa stress na matatizo ya kisaikolojia bila sababu. Mambo ya Mahakama kuwa Transparent yana mahusiano gani tena serikali kuwa transparent ?! Na mbona hujafuatilia hata kosa kwenye media ITV au umeona utakosa leo chambo cha kutumia Kurusha LAWAMA - maana tunawajua ninyi tayari ni wazee wa Lawama na Malalamikoserikali hii ingekuwa inajali teknolojia bas kila kitu kingekuwa online kwenye website ya Mahakama
kwa kuwa swerikali haipendi transparency bas tuendelee kuunganisha unganisha mpaka kasha kutwa litakapotoka tangazo kwenye magazeti