Kisheria nani ana mamlaka ya kuwaetua Wakurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa, Wilaya na Miji?

Wizara ya TAMISEMI inaongozwa na Rais mwenyewe na ndiye mwenye Mamlaka ya kuwateua hao wote na si Waziri Mkuu kama ilivyokuwa zamani wakati wizara hiyo ikiwa chini ya ofisi ya waziri mkuu. Mambo yanabadilika bwana ebo!!!!
 
Wizara ya TAMISEMI inaongozwa na Rais mwenyewe na ndiye mwenye Mamlaka ya kuwateua hao wote na si Waziri Mkuu kama ilivyokuwa zamani wakati wizara hiyo ikiwa chini ya ofisi ya waziri mkuu. Mambo yanabadilika bwana ebo!!!!
basi haina haja ya kua na wazir wa tamisemi sabab raisi ana-assume all duties. Nisawa na headmaster wa shule awe anafanya kaz za accademic eti kwasabab tu shule iko chini yake. Nonsense.
 
Ilitakiwa hii wizara irudi ofisi ya waziri mkuu. Waziri mkuu ni mtu makini na anaweza kuisimia vizuri hii Wizara ukilinganisha na Pinda
 
Thread za Bavicha huwa ni za kitoto tuu..wao wanachojua ni kutoa lawama tuu hata kwenye jambo wasilo lijua..

Nilitegemea kuona vifungu na kanuni kwenye uzi huu lakini ni maneno matupu!

Ndio maana huitwa jina la wale wanyama wa porini ambao huliwa na mamba wakiwa wanavuka mto.
 
Mimi kwa uelewa wangu Mhe. Rais ana mamlaka ya kuwateua Wakurugenzi wa MAJIJIJI tu. Wakurugenzi wa Manispaa, Wilaya na Miji wanateuliwa na Mhe.Waziri Mkuu. Mimi nashauri kama ndiyo utaratibu basi wenzetu wa Utumishi wa Umma hawakumshauri Mhe.Rais kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni kitu ambacho ni dosari kubwa sana. Lazima nchi iongozwe kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni.
Kila Rais huja na utaratibu wake wa kiutendaji kazi, ni kweli hapo awali jukumu hilo lilikuwa chini ya w/mkuu
Rais magufuli ni mjanja sana. Aliondoa jukumu hilo kwa waziri mkuu pale alipohamishia TAMISEMI chini ya Rais.
 
Namsikia Magu muda huu anaongelea kuhusu mitandao ya kijamii (bila shaka amelenga JF kuwa mojawapo) kuwa wamekuwa wakiponda uteuzi wake wa maDED.
 
Awamu hii hatufuati sheria, tunatimiza ilani ya chama tawala ni "mbele kwa mbele" wataelimishana huko huko kazini, chezea rungu kukabidhiwa aliekula akashiba!
 
Wewe mleta mada, hatuhitaji porojo zako, "eti ninavyojua"???Njoo na hoja mjalabu za kueleweka.TAMISEMI ipo chn ya ofsi ya RAIS na ndiyo inahusika na teuzi za Wakurugenzi.
 
Back
Top Bottom