desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,679
- 5,934
Ni uongo hawezi mfikia davidoVipi, kwa level yake hizo ni nyinyi sana au ni ndogo sana? Ndipo bargaining team yake ilipofika kimakubaliano na ndiyo standard aliyojiwekea na anayoona anastahili kwa kiwango alichonacho na demand ya soko kwenye biashara yake ya entertainment. Kumbuka Diamond ndiye msanii aliyelipwa zaidi ya wasanii wote walioalikwa kwenye hiyo sherehe akifuatiwa na Davido.