Kisa elfu 30 kagoma kuja ghetto

Mada tajwa yahusika
Leo nlikua na miadi na baby wangu yule wa kunipunguza uzito na yeye mwenyewe aliniambi ukitoka Job nishtue
Nlipotoka job nkamwambia natangulia ghetto akasema poa mi najiandaa
Kabla sijafika home msg inaingia ,"Sweet nna shida ya elfu 30 nikopee AF mi ntakurudishia mpnz"
Nkamjibu "mbona ghafla sina Kwa kukopa hela saa hivi katikati ya mwezi" na "mwenyewe hapa nna madeni mengi mno"
Akajibu "hata nusu"
Nkamwambia haiwezekani hali mbaya saa hivi katikati ya mwezi.

Hadi naandika Uzi huu demu simwoni ghetto
Demu wa miaka 21 ni tabu tupu

Wee nae bana sio mjanja kabisa... ulitakiwa kumbwambia we njoo usijali... tutayamaliza.... angekuja.. ungekula mzigo ndio ukaleta hdithi yako ya mwisho au mwanzo wa mwezi.... ona sasa.... kaangalia kaona yaani aje umchafue aondoke bila bila...
 
Au ndiyo huyu huyu aliomba kwangu ila alikuja ghetto nikamwambia mpaka unipe hilo shimo ndiyo nitakupa,
 
We iyo 30 ni nyingi mie aligoma kuja kisa elfu10 mkuu hao wenye umri huo wanasumbua sana inatakiwa uwe na moyo mgumu asikuyumbishe mkuu
 
Mwenzako kashapanga hapo akanunue skin jeans ya viua, na crop top ,jumamosi wakajirushe na shoga zake
wewe unamwambia habari za kutokua na hela!! kama huwezi kudate watoto nakushauri waache
hapo kamuonea tu
elf 30 kashindwa
baadaye kaombwa elf 15, jamaa mwenyewe tu kazingua, najua kabsa angemdakisha mtoto hata elf 10 angekuwa anakula mzigo fresh tu now.
 
Dah... nami leo kuna kabint ka chuo kameomba 40...nikakambia kaje kachukue inawezekana akawa ndo yeye... maana kalinambia kamepata tatizo kamepungukiwa pesa kana shida sana toka three days ago.
 
Ungeachana na vitoto vidogo halafu nawe ujaribu kutulia ujijenge kwanza. ukishindwa kutoa 30,000 sasa unakuwa unafanyaje na mademu? ukimpata anayetaka mwende lodge au hotel ya 100,000 hapo hamjala na kunywa si unaweza kufa kwa mshtuko? kaa kwanza UJIJENGE. ili ukimaliza basi uwe nawe unajijenga na watoto wazuri wazuri. kwa sasa tuachie sisi kwanza. huyo mtoto mimi namgonga na 50,000 badala ya 30 halafu akija nakula mzigo ile mbaya yaani ile kisawasawa. siku nyingine haombi ombi tena pesa. hapo sasa nakuwa nampa tu kama nauli n.k
 
Alikutega tu,,,kwa nn asije ndio akakuambia face to face au kabla ya kumwambia akuje kwa geto kwa nn hakusema mambo ya 30k ha a ha poa mwana toa namba yko tukuchangie bhna ukaupate ukimwi na kumwachia mimba kwa 30k(natania)
 
Arafu mbona mvivu wa kufikilia mkuu!!!!
.
mwambie njoo gheto nimepata kula mzigo arafu mwambie sina.
.
rahisi tu maisha hayaitaji nguvu mkuu utakufa na pureshaaa.
.
UMEELEWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom