Daah yaan naangalia hapa, huyu shoga ni shida. Anataka hadi abebe mimba
Nipo home nimetulia na naangalia TV na familia wife anaweka hiki hiki kipindi na wanaemuhoji ni shoga maarafu na tena mwezi huu mtukufu sijui wanafundisha nini? Maana kuangalia hiki kipindi na familia ni shida za nadhani inabidi wawe wa naangalia watu wa kuwahoji na wakati gani wa kuwahoji.
anaitwa ant naniMmh ushoga umeingia mpaka kwa wasukuma hatari....tena anajiita dada tena dada wa mjini na anataka kuzaaaa???!!!!!! Tobaaa wallah
anaitwa ant nani
dunia ipo OMEGAAiseee hiii dunia inamaajabu sana
KESHO ATAWAPIGIA KUWAONYAHiyo ndo tv anayopenda kuangalia magufuli..
Kwa kweli hata Mimi nimeona na nikaondoa haraka! Nimefedheheka sana na wageni wangu sebuleni.Nipo home nimetulia na naangalia TV na familia wife anaweka hiki hiki kipindi na wanaemuhoji ni shoga maarafu na tena mwezi huu mtukufu sijui wanafundisha nini? Maana kuangalia hiki kipindi na familia ni shida za nadhani inabidi wawe wa naangalia watu wa kuwahoji na wakati gani wa kuwahoji.