DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 12,025
- 27,104
Naona Zambarau Ikineemesha vizuri kabisa Kijani hapo Juu Baada ya CDM kususia Uchaguzi?
Chadema hawajasusia uchaguziBaada ya CDM kususia Uchaguzi?
Una akili nyingi kuliko mleta mada mwenyewe.Chemsha ubongo, chemchem ya zambarau inatiririka kuunywesha msitu wa kijani. Mnufaika hapo ni huo msitu wa kijani ulikuwa umeanza kukumbwa na ukame.
Nimechokoza Mada Nielewe Zaidi 🤣🤣Dr unazingua sasa. Huoni ipo wazi zambarau ndo ina nawirisha kijani?
Hapo ccm inaitumia Act kujinufaisha zaidi
ndiyo,View attachment 3308027
Naona Zambarau Ikineemesha vizuri kabisa Kijani hapo Juu Baada ya CDM kususia Uchaguzi?
Chambua hii cartoonndiyo,
act na kiongozi wao na kiburi chake huko Zanzibar wasuse tu uchaguzi ili hatimae CCM iimarike zaidi 🐒
umeshaeleza kinagaubaga hapo juu gentleman, kulingana na kibonzo chenyewe kwamba kuyeyuka kwa ACT Zanzibar kunaiimarisha na kukirutubisha chama tawala as you can see katika katuni..Chambua hii cartoon
Halafu Demokrasia Itakuwa Wapi?ndiyo,
act na kiongozi wao na kiburi chake huko Zanzibar wasuse tu uchaguzi ili hatimae CCM iimarike zaidi katika kuiongoza Zanzibar na vyama vingine vya siasa 🐒
Aaaah sawaumeshaeleza kinagaubaga hapo juu gentleman, kulingana na kibonzo chenyewe kwamba kuyeyuka kwa ACT Zanzibar kunaiimarisha na kukirutubisha chama tawala as you can see katika katuni..
Na hiyo ni kutokana na kiongozi wa act mwenye kiburi sana Zanzibar kuonyesha kila dalili kuiengua act kushiriki uchaguzi mkuu kwa upande wa Zanzibar 🐒
hii marekani yenye matatizo yake ya ndani ya kisiasa chungu nzima pamoja na vita ya kiuchumi karibu na kila taifa ulimwenguni?Halafu Demokrasia Itakuwa Wapi?
Umeona Tamko la Marekani Kuhusu Uchaguzi?
Covid 19 na njaa 55View attachment 3308027
Naona Zambarau Ikineemesha vizuri kabisa Kijani hapo Juu Baada ya CDM kususia Uchaguzi?
Ndio maanake Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi KuwapuuzaView attachment 3308027
Naona Zambarau Ikineemesha vizuri kabisa Kijani hapo Juu Baada ya CDM kususia Uchaguzi?