Kumetokea wimbi la maandamano kwenye vyuo vikuu nchini Marekani kupinga mauaji ya wapalestina yanayoendelea Gaza.
Serikali inatumia askari polisi kuzuia waandamanaji wanaotumia haki yao ya kikatiba kupinga kinachoendelea Gaza.
Serikali hiyohiyo ya Marekani, kwa muda mrefu, imekuwa mfadhili wa maandamano na ghasia kwenye mataifa yanayokwenda kinyume na matakwa yao. Tumeshuhudia yaliyotokea Libya na yanayoendelea Syria.
Marekani anahimiza haki za raia kuandamana na uhuru wa kujieleza kwa mataifa mengine wakati yeye hawezi kuziheshimu?
Serikali inatumia askari polisi kuzuia waandamanaji wanaotumia haki yao ya kikatiba kupinga kinachoendelea Gaza.
Serikali hiyohiyo ya Marekani, kwa muda mrefu, imekuwa mfadhili wa maandamano na ghasia kwenye mataifa yanayokwenda kinyume na matakwa yao. Tumeshuhudia yaliyotokea Libya na yanayoendelea Syria.
Marekani anahimiza haki za raia kuandamana na uhuru wa kujieleza kwa mataifa mengine wakati yeye hawezi kuziheshimu?