point yangu sio kutegemea uje kutunzwa na watoto, ni kwamba ukizeeka muda mwingi watoto wako watakuwa karibu na mama yao kuanzia kumjulia hali, kumsaidia, kumpa faraja na hata kwenye simu unakuta watoto wanampigia sana mama yao, mtoto anakuwa bado anakuheshimu kama baba lakini shida ni kwamba hayupo huru na kujiamini kikamilifu, yote haya sababu hukuweza kubond nao vizuri, wanachokumbuka kwako zaidi ni ukoloni na ukali wako, urafiki kwa watoto ni muhimu sana, sisemi kwamba tusiadhibu watoto wanapolosea bali tusisahau kujenga bond / ukaribu.
naongea kwa experience naiona kwenye familia nyingi, Watoto wakienda kusalimia wazazi mama akiwa peke yake mzee kasafiri wanaweza kukaa hata siku nzima, baba akiwepo watoto watakaa nusu saa tu washapotea, Mama ndie anapewa hela za misaada watoto wanamwambia ampe mzee kiasi anachoona kitamfaa.
wababa wa kiafrika tumekuwa wakoloni sana na hili ndilo linasababisha hata watoto wetu wanakuwa huru zaidi na mama zao kuliko sisi tunaopambana kuwalisha, kuwasomesha, kuwavisha, n.k.
Nani kakwambia kuwa baba lazima uwe mkali mkali tu kugombeza, kutoa kipigo, n.k. hii kitu itawaharibu sana watoto wako kisaikolojia. Wengi wanadhani mtoto akiwa mkubwa anasahau lakini wanakosea sana, kisaikolojia unakuwa umeweka permanent damage. mtoto atakuheshimu ila hana uhuru wala kujiamini kwa asilimia 100 akiwa na wewe.
Tangu mtoto akiwa mdogo jaribu sana aujue upande wako positive anaoweza kuuona kwa macho yake, huko mihangaikoni ni kweli tunapambana kuwajali watoto wale, wavae, wasome, n.k. lakini watoto hawajionei kwa macho yao unavyopambana, mama yao wanaemuona live anavyowajali hata kama anashinda nyumbani muda wote hana kazi. na wewe hakikisha unawajali kwa namna wanayoweza kuona uhusika wako.
Narudia tena usisubiri wawe wakubwa, hilo ni kosa kubwa sana, utakuwa kama mgeni, kumbuka mama yao kaanza kubond nao tangu kichanga, na wewe usiwe nyuma sana jitahidi walau akiwa na miaka miwili muanze kubond.
Ni kweli inabidi uwe strict kama baba kwenye future yao lakini usisahau ku enjoy nao present muda mlionao kabla hawajawa wakubwa. kumbuka hata kina mama huwa wanatoa adhabu ila baada ya muda mambo yanajirudi, ni kwasababu ya kujenga mazoea nao.
Kwenye kutoa adhabu hakikisha unamshirikisha mke wako wote mgawane points.
Jiepushe kuwa baba ambae ukisafiri, watoto wanajisikia amani na furaha.
naongea kwa experience naiona kwenye familia nyingi, Watoto wakienda kusalimia wazazi mama akiwa peke yake mzee kasafiri wanaweza kukaa hata siku nzima, baba akiwepo watoto watakaa nusu saa tu washapotea, Mama ndie anapewa hela za misaada watoto wanamwambia ampe mzee kiasi anachoona kitamfaa.
wababa wa kiafrika tumekuwa wakoloni sana na hili ndilo linasababisha hata watoto wetu wanakuwa huru zaidi na mama zao kuliko sisi tunaopambana kuwalisha, kuwasomesha, kuwavisha, n.k.
Nani kakwambia kuwa baba lazima uwe mkali mkali tu kugombeza, kutoa kipigo, n.k. hii kitu itawaharibu sana watoto wako kisaikolojia. Wengi wanadhani mtoto akiwa mkubwa anasahau lakini wanakosea sana, kisaikolojia unakuwa umeweka permanent damage. mtoto atakuheshimu ila hana uhuru wala kujiamini kwa asilimia 100 akiwa na wewe.
Tangu mtoto akiwa mdogo jaribu sana aujue upande wako positive anaoweza kuuona kwa macho yake, huko mihangaikoni ni kweli tunapambana kuwajali watoto wale, wavae, wasome, n.k. lakini watoto hawajionei kwa macho yao unavyopambana, mama yao wanaemuona live anavyowajali hata kama anashinda nyumbani muda wote hana kazi. na wewe hakikisha unawajali kwa namna wanayoweza kuona uhusika wako.
Narudia tena usisubiri wawe wakubwa, hilo ni kosa kubwa sana, utakuwa kama mgeni, kumbuka mama yao kaanza kubond nao tangu kichanga, na wewe usiwe nyuma sana jitahidi walau akiwa na miaka miwili muanze kubond.
- Mawasiliano ni msingi wenu wa ukaribu, jenga mazoea ya kupiga nae story tangu mdogo. sio muda wote kuongea maendeleo ya shule, maelekezo ya kazi, kufatilia adhabu, n.k. wababa wengi wanaruka hii hatua ndio maana hata wakinunulia watoto zawadi, kuwatoa out, n.k. bado haisaidii.
- Mara nyingine wakipewa adhabu na mama yao jaribu kuwatetea ama wasaidie kisiri kuimaliza.
- Fundisha kuendesha gari / pikipiki / baiskeli.
- nenda nao benki unavyolipa ada
- wakabidhi pesa za mavazi, ada, n.k. uso kwa uso usimpe mke awape (tayari ana mbinu kibao za kubond)
- waletee vizawadi na hakikisha unawapa wewe
- cheza nao michezo
- wanapokosea waelimishe madhara, wakirudia waonye, wakirudia tia viboko / mikanda, usitumie ngumi, kuwarukia mateke, kuwapiga kwa gogo, n.k.
Ni kweli inabidi uwe strict kama baba kwenye future yao lakini usisahau ku enjoy nao present muda mlionao kabla hawajawa wakubwa. kumbuka hata kina mama huwa wanatoa adhabu ila baada ya muda mambo yanajirudi, ni kwasababu ya kujenga mazoea nao.
Kwenye kutoa adhabu hakikisha unamshirikisha mke wako wote mgawane points.
Jiepushe kuwa baba ambae ukisafiri, watoto wanajisikia amani na furaha.