Kim Jong-un: Sijali kuhusu onyo la Trump, tutaendelea kutengeneza silaha za nyuklia

Kwan NK yuko sky? Au ardhin?? Mkuu acha kututishia habaro ya kipumbavu, sisi tunajua Marekani anahanya kwa NK na ninataman afinywe had abaki historia tu ila trump apone na the game
kweli North korea wanaichukulia poa saana, jamaa ka dedicate kwenye nuclear tuh sio kama mataifa mengine kwenye mafuta, kilimo, mara viwanda asa wao viwanda vya nuclear tuh na jeshi ogopa saana huyu mtu, the only way kumsimamisha jamaa iwe vita ya dunia dhidi ya north korea na ndo wana chotaka kufanya.
 
Na sisi tutatengeneza inter-kitongoji balstic missile, then tutafuata na inter-wilaya balstic missile, baadae tuje na inter-mkoa balstic missile.
 
Kwan NK yuko sky? Au ardhin?? Mkuu acha kututishia habaro ya kipumbavu, sisi tunajua Marekani anahanya kwa NK na ninataman afinywe had abaki historia tu ila trump apone na the game
nkibishaba na wewe ntakesha ...
 
nkibishaba na wewe ntakesha ...
niliona facts youtube kua NK hawa wezi ku stand a chance kivita na USA sababu ya nyingi ingawa na mie mbishi tuh, kwanza USA ana washirika wengi tuh na wako vizuri, na USA mwenyewe ana base zake karibu tuh zina chungulia NK, na ki technologia yuko juu vizuri tuh nakadhalika , NK inaonekana wanatumia vitu vya zamani ila ina thibitika hivyo ila awajui so wanaogopa suprises ndo maana kimya.
 
Back
Top Bottom