Kilichowakuta Wazambia tusipoangalia kinaweza kutukuta na Watanzania

Wimbo

JF-Expert Member
Oct 23, 2012
814
564
Miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu inajegwa na wakandarasi wa kigeni hasa Wachina, miradi hiyo mingi imesimama pesa ya kuwalipa hakuna. serikali inajaribu kuwashawishi waendelee kujenga kwa fedha zao na sisi tutalipa riba ambayo ni mzigo mkubwa kwa Nchi, yapo mambo mengi madogomadogo Mama ameji commit kuyafanya na pesa haitoshi, muda nao ni mfupi wa kukamilisha yale yaliyoahidiwa na ilani ya CCM, tusipokuwa waangalifu na mikopo hii Nchi itawekwa rehani kama ilivyotokea kwa WaZambia Kheri mengo kavu kuliko pilau ya deni.
 
Miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu inajegwa na wakandarasi wa kigeni hasa Wachina, miradi hiyo mingi imesimama pesa ya kuwalipa hakuna. serikali inajaribu kuwashawishi waendelee kujenga kwa fedha zao na sisi tutalipa riba ambayo ni mzigo mkubwa kwa Nchi, yapo mambo mengi madogomadogo Mama ameji commit kuyafanya na pesa haitoshi, muda nao ni mfupi wa kukamilisha yale yaliyoahidiwa na ilani ya CCM, tusipokuwa waangalifu na mikopo hii Nchi itawekwa rehani kama ilivyotokea kwa WaZambia Kheri mengo kavu kuliko pilau ya deni.
Mengo kavu ni chakula gani mkuu,
 
Si mlisema magufuli hana akili kukataa mikopo na kukomaa na uchumi wa ndani na kuwakamata mafisadi papa?

Wacha kazi iendelee hadi iendelee tena.

Watoto wa mjini wanasema "Bado haujasema"
 
Miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu inajegwa na wakandarasi wa kigeni hasa Wachina, miradi hiyo mingi imesimama pesa ya kuwalipa hakuna. serikali inajaribu kuwashawishi waendelee kujenga kwa fedha zao na sisi tutalipa riba ambayo ni mzigo mkubwa kwa Nchi, yapo mambo mengi madogomadogo Mama ameji commit kuyafanya na pesa haitoshi, muda nao ni mfupi wa kukamilisha yale yaliyoahidiwa na ilani ya CCM, tusipokuwa waangalifu na mikopo hii Nchi itawekwa rehani kama ilivyotokea kwa WaZambia Kheri mengo kavu kuliko pilau ya deni.
wazanzibar kuendesha nchi hawawezi!!
Yaan kama walivolegea na mambo yote yanaenda ivo
 
Si mlisema magufuli hana akili kukataa mikopo na kukomaa na uchumi wa ndani na kuwakamata mafisadi papa?

Wacha kazi iendelee hadi iendelee tena.

Watoto wa mjini wanasema "Bado haujasema"
Magu alikataa mikopo ya WB na nchi hisani au alinyimwa kwa siasa zake na kukimbilia ya mabenki?
 
Kukopa kumetosha. Ni kweli nchi itawekwa rehani. Naona hata SGR ya Mwanza mpaka Isaka sioni kasi yake.
Na mchina nasikia kashakimbia , kazi imesimama mpaka sasa , mturuki ndio huyo alikimbia kazi baada ya malipo kusuasua .
Nchi mufilisi hii
 
Si mlisema magufuli hana akili kukataa mikopo na kukomaa na uchumi wa ndani na kuwakamata mafisadi papa?

Wacha kazi iendelee hadi iendelee tena.

Watoto wa mjini wanasema "Bado haujasema"
Hakuna Rais aliyekopa kwa muda mfupi fedha nyingi kama Magufuri.
 
Back
Top Bottom