Kilichompata Sumaye, chaweza kumtokea Majaliwa?

Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589
System gani ambayo aliotupwa unayoongelea?? Kwamba hajapewa mafao yake ya kustaafu uwaziri mkuu au?
 
Jamani kwani miaka kumi as pm haitoshi? Mpaka unataka na uraisi kabisa na unadai ni haki yako! Tuache huu uroho wa madaraka bana,we staafu kula pensheni,nini mbaya sasa.
 
Kwani alikuwa halipwi mafao yake?

Sumaye anamiliki mashamba makubwa kiasi cha mengine kushindwa kuyaendeleza na kupelekea migogoro...

Kutupwa maana yake ni ipi?
 
KWanza point of collection; Sumaye aliacha mwenyewe kugombea ubunge na aliita hadi waandishi wa habari kuliongelea hilo and it was the year 2005. So kusema kwamba eti Sumaye alitupwa nje na ccm sidhani kama ni sawasawa.
 
Sumaye alichanganyikiwa baada ya kukubaliana na Mary Nagu kuachiana jimbo alafu mama akamgeuka na kuanza kumpelekesha. Akapaniki hadi kwenda UKWAWA ambako huko ndo amekwama zaidi
 
ELIMU YA GHAIBU....MARA NYINGI MLIO NA TABIA HIZI HUWA SIWAAMINI MAANA MNAFANYA MAMBO YANAYOPINGANA NA SAYANSI NA HATA MUNGU.
[HASHTAG]#UTABIRI[/HASHTAG].
Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589
 
Mtoa mada usijidanganye kwa majali ,coz hamfahamu viruti kufika pale sio kua ndio hatua yake ya kunza kuwa katka serikali
 
Huyo anahasira za kutemwa kuwania urais ile miziz ambayo waliipanda yeye na lowasa ilikatwa bila aibu shenzi kwa uchu wa madaraka lazma utapetapeee
 
Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589
Ndg kuna tofauti kubwa sana ya kielimu kati ya Mjaliwa na Sumaye! Tofauti nyingine;
Sumaye anapenda sifa na uongozi;
Majaliwa hana hulka ya kupenda uongozi na hana sifa na ni mnyenyekevu katika jamii. Pia anauwezo wa kuishi na jamii yoyote, kwa sababu hana tabia ya kujitenga wala kujisikia.
 
Back
Top Bottom