Chuda Kashara
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 849
- 554
- Thread starter
- #41
Nina tabia zote za kiume kwanzia sauti, umbo, mwendo n.k. Sina wesere nimepigwa pasi kiana.Au una wesere kubwa sana nn?
Nina tabia zote za kiume kwanzia sauti, umbo, mwendo n.k. Sina wesere nimepigwa pasi kiana.Au una wesere kubwa sana nn?
Kumwangalia mtu kwa sekunde tatu au nne zinatosha, lakini mimi wanakodoa sana.Eleza mkuu wanakuangalieje coz km ni kukuangalia wote huwa tunaangaliwa, pia km wanakuangalia kwa kukushangaa may be ww ubaweza ukawa ni mweusi sana, mweupe sana, mfupi sana, mnene sana, mwembamba sana, au pengine ni mchafu au upo rough sana, mtanashat sana, una sura nzur au umbile zur sana, au yawekana sura mbaya sana...... mambo meng yawezekana yakachangia uangaliwe sana na watu.
Pengine ni mambo ya nyota ingawa mm siyaamin sana
Dah yan hapa sasa hebu tusubir wataalam wa mambo watasema. Ningekua na mamlaka kubwa kwenye jamii ningewaomba tu watu wasimwangalie vinginevyo atakaekiuka atachukuliwa hatua kali sana LAKIN kwa bahat mbaya cna huo uwezo ingawa nina nia ya kumsaidia huyu rafikmkuu rejea thread amesema hadi watoto na wazee pia huwa wanamkodolea mijicho, sasa sijajua huyu jombaa ana nn aisee
Basi jichunguze kwenye mwendoNina tabia zote za kiume kwanzia sauti, umbo, mwendo n.k. Sina wesere nimepigwa pasi kiana.
Wewe unajua niliko?Wanashangaa kukuona kitaa wakati uliaga unakwenda 'mbele' kucheza pono..
????? mh!We inswezakanaa n mweusi sanaaa
Kama sio mweusi bac mweupee sabaaa
Kama sio vyote ivoo bac we bonge la Handsome
Kama sio ivooo... Bac w unatishaa na kama hautishi bac w una ndonga kubwaaaa
Leta ata photo bac by mr IQ????? mh!
Hahahahmkuu rejea thread amesema hadi watoto na wazee pia huwa wanamkodolea mijicho, sasa sijajua huyu jombaa ana nn aisee
Ukuwa na msambwanda wa hatari, si bure. Vinginevyo unayo nundu kama ya dume la ng'ombe.Wakuu wa baraza heshima kwenu,
Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho kupita kiasi. Niwe mitaani, barabarani, sokoni au sehemu yoyote watu wananishangaa bila kujua nini sababu. Watoto, wazee, watu wa rika langu, watu wazima na wa jinsia zote wamekuwa wakinikodolea macho sana. Wengine wanakodoa kwa kujificha na wengine waziwazi.
Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?
Asanteni!
Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?
Asanteni!
Labda unafanana na MasogangeWakuu wa baraza heshima kwenu,
Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho kupita kiasi. Niwe mitaani, barabarani, sokoni au sehemu yoyote watu wananishangaa bila kujua nini sababu. Watoto, wazee, watu wa rika langu, watu wazima na wa jinsia zote wamekuwa wakinikodolea macho sana. Wengine wanakodoa kwa kujificha na wengine waziwazi.
Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?
Asanteni!