Kila nikikaa chini, nikigeuka nyuma nauona UKIMWI

UKIMWI hauwezi kuisha duniani mpaka dawa yake ipatikane kwakua umekaa pabaya ambapo kila mtu anapanda hata vichaa wanapapenda ni sehemu ambayo hakiepukiki kutokana na mvuto.Dawa yake ni kupatikana dawa ya kuitibu tu.Kinyume na hapo atakayekiuka basi ni kwa Neema za Mungu tu.Anayebisha na aendelee kubisha.Pole sana mtoa mada umetuzindua wengi angalau tupate mda kidogo wa kutafakari.Kwa wale mnaotumia dawa zongatieni masharti ili muendele kuishi na kutimiza majukumu yenu kwa familia na jamii.
 

HAYA NI MAWAIDHA PIA,
NA HAYAHITAJI PICHA KUMWELEWESHA MTU.
 
Ukimwi unakula kmyakmya sana nw kwakuwa mtu hukond ukianza kutumia dawa yaan kila unayekutana nae mwone anaukimw hapo utachukua tahadhar
 
Yaaani wewe jamaa story zako bwana
 
Utaupata tu usijali kwani kila uotalo basi linakuja au umeshalipata
 
Mwaka 2007 Dada yangu alipima baada ya kuugua mara kwa mara akakutwa kaathirika ila aliwahi kutumia ARVs yupo mpaka sasa, mwaka 2008, baba yangu naye baada ya homa zisizokwisha alipima akakutwa ameathirika mwaka 2009 akafariki, familia ilijawa sana na majonzi kwani tulijua mama naye tayari, alipoenda kupimwa naye akakutwa nao akafariki 2012, mwaka Jana mtoto wa dada naye kaktutwa nao. UKIMWI unaua jamani siye uliovamia kwenye familia zetu ndo tunajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana hili janga kwa sasa inaonekana ni kitu cha kawaida sana ila tunashukuru mtoa mada kwa kutukumbusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…