Kikwete ana ubia gani kwenye serikali ya sasa?

Si mara moja wala mbili kumuona Jakaya Kikwete akipewa majukumu ambayo yangeweza kufanywa na waziri wa. mambo ya nchi za nje kama kumpigia kampeni daktari Janaba na mwanae kuteuliwa uwaziri japo ni kilaza. je anao ubia kwenye sirikali hii? Sielewi. Naomba wanangu mnieleweshe kama mshaliona hili.
Huyo ndo remote ya Samia
 
Si mara moja wala mbili kumuona Jakaya Kikwete akipewa majukumu ambayo yangeweza kufanywa na waziri wa. mambo ya nchi za nje kama kumpigia kampeni daktari Janaba na mwanae kuteuliwa uwaziri japo ni kilaza. je anao ubia kwenye sirikali hii? Sielewi. Naomba wanangu mnieleweshe kama mshaliona hili.
Wewe unaishi wapi Raisi mstaafu ana nafasi kubwa katika serikali, ni mwana chama wa CC ya chama ni deepsatate member unamsakama kwasbb ni muislamu au mbona Nyerere alikua sehemu ya kila serikali na alikua analazimiasha mambo
 
Marais waliopita kupewa majukumu kusaidia hapa na pale ni jawaida sana duniani. Hii ni sababu ya heshima waliobeva kama wakuu wa nchi walio pita. Yalipotekea matatizo Kenya rais Kikwete alimtuma rais mstaafu marehemu Mkapa kwenda kusuluhisha.
Wakati wa Mwinyi, Nyerere alienda Zambia kumuombea Kaunda atokewe jela.
 
Si mara moja wala mbili kumuona Jakaya Kikwete akipewa majukumu ambayo yangeweza kufanywa na waziri wa. mambo ya nchi za nje kama kumpigia kampeni daktari Janaba na mwanae kuteuliwa uwaziri japo ni kilaza.

Je anao ubia kwenye sirikali hii? Sielewi. Naomba wanangu mnieleweshe kama mshaliona hili.
Hebu fanya utafiti uone ma rais wastaafu hushiriki namna gani kwenye shughuli za serikali,tuache choyo na chuki
za kijinga
 
Hebu fanya utafiti uone ma rais wastaafu hushiriki namna gani kwenye shughuli za serikali,tuache choyo na chuki
za kijinga
Acha uzwazwa. Mbona hatukumuona Mwinyi akitumiwa na kumtumikia Mkapa au mbona hatukumuona wakati wa jiwe ambaye alimbana vilivyo? Kikwete ana tabia za kupenda kuzuruura ndo maana akaitwa vaso da gama. Hukumbuki!!!
 
Tambua kikwete Ni rais mstaafu kwenye CCM ni mmojawapo wa kamati kuu.

Mfumo wa ccm rais mstaafu huwa ana nguvu ndio maana ilibidi mkapa alisubiri nyerere afe ndipo akauza mashirika ya uma na kuuza nyumba za serikali na kuchota hela za EPA.

Mkapa alikuwa rais ila alikuwa anamuogopa nyerere ambaye hakuwa rais tena
 
Si mara moja wala mbili kumuona Jakaya Kikwete akipewa majukumu ambayo yangeweza kufanywa na waziri wa. mambo ya nchi za nje kama kumpigia kampeni daktari Janaba na mwanae kuteuliwa uwaziri japo ni kilaza.

Je anao ubia kwenye sirikali hii? Sielewi. Naomba wanangu mnieleweshe kama mshaliona hili.
Mkuu,

Yani unaona sawa kabisa Waziri wa Mambo ya Nje aache kazi nhingine nyingi aende kumpigia debe Janabi?

Unajua uhusiano wa Kikwete na Janabi unarudi nyuma vipi? Unajua Janabi alikuwa daktari wa Kikwete?

Unajua mtu aliyempa shavu Samia kuingia katika siasa za Tanzania kwenye Bunge la Katiba ni nani?

Kikwete bado analipwa na nchi kama rais mstaafu, unataka serikali imlipe bila kutumia influence yake kwenye siasa za Africa?
 
Acha uzwazwa. Mbona hatukumuona Mwinyi akitumiwa na kumtumikia Mkapa au mbona hatukumuona wakati wa jiwe ambaye alimbana vilivyo? Kikwete ana tabia za kupenda kuzuruura ndo maana akaitwa vaso da gama. Hukumbuki!!!
Ficha ujinga wako basi, Kipindi cha jiwe uliona Rais gani mstafu akitumiwa? ila iliona Mwinyi akimtumia Nyerere sio? na Uliona kipindi cha Kikwete akimtumia Mkapa sio?
 
Ficha ujinga wako basi, Kipindi cha jiwe uliona Rais gani mstafu akitumiwa? ila iliona Mwinyi akimtumia Nyerere sio? na Uliona kipindi cha Kikwete akimtumia Mkapa sio?
Woooi! Kweli nyani haoni kundule≥ Kuna jinga kama wewe unayerudia maneno yangu na kunilaumu nyambaff kubwa wewe?
 
Si mara moja wala mbili kumuona Jakaya Kikwete akipewa majukumu ambayo yangeweza kufanywa na waziri wa. mambo ya nchi za nje kama kumpigia kampeni daktari Janaba na mwanae kuteuliwa uwaziri japo ni kilaza.

Je anao ubia kwenye sirikali hii? Sielewi. Naomba wanangu mnieleweshe kama mshaliona hili.
Basi majukumu mengine atakuwa akipewa mumeo,maana ana exposure kuliko kikwete
 
Back
Top Bottom