Kikao cha Mbunge wa jimbo na wakuu wa shule (headmasters) za Musoma Vijijini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
2,805
1,293
KIKAO CHA MBUNGE WA JIMBO NA WAKUU WA SHULE (HEADMASTERS) ZA MUSOMA VIJIJINI

Jimbo la Musoma Vijijini lenye Kata 21 lina jumla ya Sekondari 27 ambazo:

  • Shule za Sekondari 25 ni za Kata/Serikali
  • Shule za Sekondari 2 ni za Madhehebu ya Dini (SDA & Katoliki)

Mbunge wa Jimbo ataitisha KIKAO cha kutathmini matokeo ya mitihani ya:
  • Kidato cha Pili (Form II)
  • Kidato cha Nne (Form IV)

LENGO KUU
- Kutathmini matokeo ya mitihani ya vidato hivyo viwili kwa Wanafunzi wa Musoma Vijijini

- Kutoa mapendekezo ya kuboresha mbinu za kujifunza (uelewa) na kufundisha

Mahali pa kufanyika Kikao:
Busambara Sekondari

Tarehe ya Kikao:
Itategemea upatikanaji wa Matokeo ya Mitihani ya Form IV (2022).

Usafiri & Chakula:
Mbunge wa Jimbo atagharamia

Miaka kadhaa ya nyuma, Mbunge huyo alishirikiana na Serikali ya Mkoa wa Mara kufadhili Kongamano la kuboresha Elimu Mkoani mwetu (Mara).

Walimu Wakuu (Headmasters) wa Sekondari zote 27, wanaombwa kujitayarisha.

Usisahau kutembelea Tovuti ya Jimbo letu ambayo ni:
www.musomavijijini.or.tz

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumatano, 11.1.2023
 
Mambo kama haya yahusuyo elimu huwezi pata wachangia!

Weka sasa mada za ngono, umbeya, ushabiki wa Simba na Yanga, uhamisho wa FeiToto n.k utaona jinsi uzi unavyokimbia.

Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni imezalisha watu wajinga hakuna Mfano wao Afrika Mashariki na Kati!
 
Sasa mbona taarifa kama imechelewa kutufikia mkuu, ila siyo mbaya ni jambo zuri
 
Apite kila nyumba vijana wanachunga ng'ombe badala ya kwend shule

Mtu mzima ajui lita ya maziwa kweli hii ni kanda maalum
 
Hongera KWA Mbunge Huyo!

Huku KWETU Mbunge anachagua vi sehemu tu anapokubalika tu, KWINGINE haendi kisa Eti ni kambi ya mpinzani tena mwanaccm mwenzake!

Kinana wafunde WABUNGE wajue wajibu wao majimboni wasinyanyapae kata ambazo hawakubaliki!!
 
KIKAO CHA MBUNGE WA JIMBO NA WAKUU WA SHULE (HEADMASTERS) ZA MUSOMA VIJIJINI

Jimbo la Musoma Vijijini lenye Kata 21 lina jumla ya Sekondari 27 ambazo:

  • Shule za Sekondari 25 ni za Kata/Serikali
  • Shule za Sekondari 2 ni za Madhehebu ya Dini (SDA & Katoliki)

Mbunge wa Jimbo ataitisha KIKAO cha kutathmini matokeo ya mitihani ya:
  • Kidato cha Pili (Form II)
  • Kidato cha Nne (Form IV)

LENGO KUU
- Kutathmini matokeo ya mitihani ya vidato hivyo viwili kwa Wanafunzi wa Musoma Vijijini

- Kutoa mapendekezo ya kuboresha mbinu za kujifunza (uelewa) na kufundisha

Mahali pa kufanyika Kikao:
Busambara Sekondari

Tarehe ya Kikao:
Itategemea upatikanaji wa Matokeo ya Mitihani ya Form IV (2022).

Usafiri & Chakula:
Mbunge wa Jimbo atagharamia

Miaka kadhaa ya nyuma, Mbunge huyo alishirikiana na Serikali ya Mkoa wa Mara kufadhili Kongamano la kuboresha Elimu Mkoani mwetu (Mara).

Walimu Wakuu (Headmasters) wa Sekondari zote 27, wanaombwa kujitayarisha.

Usisahau kutembelea Tovuti ya Jimbo letu ambayo ni:
www.musomavijijini.or.tz

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumatano, 11.1.2023
Sasa mambo ya elimu mbunge anayajulia wapi mbona anataka kuingiza siasa kwenye elimu? Aachie wataalamu wafanye maamuzi; yeye aendelee na siasa zake.
 
KIKAO CHA MBUNGE WA JIMBO NA WAKUU WA SHULE (HEADMASTERS) ZA MUSOMA VIJIJINI

Jimbo la Musoma Vijijini lenye Kata 21 lina jumla ya Sekondari 27 ambazo:

  • Shule za Sekondari 25 ni za Kata/Serikali
  • Shule za Sekondari 2 ni za Madhehebu ya Dini (SDA & Katoliki)

Mbunge wa Jimbo ataitisha KIKAO cha kutathmini matokeo ya mitihani ya:
  • Kidato cha Pili (Form II)
  • Kidato cha Nne (Form IV)

LENGO KUU
- Kutathmini matokeo ya mitihani ya vidato hivyo viwili kwa Wanafunzi wa Musoma Vijijini

- Kutoa mapendekezo ya kuboresha mbinu za kujifunza (uelewa) na kufundisha

Mahali pa kufanyika Kikao:
Busambara Sekondari

Tarehe ya Kikao:
Itategemea upatikanaji wa Matokeo ya Mitihani ya Form IV (2022).

Usafiri & Chakula:
Mbunge wa Jimbo atagharamia

Miaka kadhaa ya nyuma, Mbunge huyo alishirikiana na Serikali ya Mkoa wa Mara kufadhili Kongamano la kuboresha Elimu Mkoani mwetu (Mara).

Walimu Wakuu (Headmasters) wa Sekondari zote 27, wanaombwa kujitayarisha.

Usisahau kutembelea Tovuti ya Jimbo letu ambayo ni:
www.musomavijijini.or.tz

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumatano, 11.1.2023
Mbunge Ni Nani huko Musoma?
 
Back
Top Bottom