Kiimani zipo familia zikikaribishwa kwenye tawala lazima vifo na ajali viwe vingi; tujifunze kuchagua kwa kuongozwa na roho wa Mungu

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
943
4,458
Zipo familia zikipewa nafasi ya kuongoza damu lazima itamwagika kwa wingi sana kwenye Taifa husika. Siyo watu wakuleta baraka bali ni watu wanaoambatana na laana.

Zipo familia zikipewa nafasi wanaonungunika wanaongezeka ghafla. Manung'uniko yakizidi watu wanaacha kuombea kheri na hapo shetani upata mwanya wakulivuruga Taifa.

Tanzania tunapitia kwenye misiba mingi, tumeona Singida, Arusha, Manyara, DAr, Lindi, Njombe nk jinsi ajali zinavyoongozana. Haya yote ni matokeo ya kufanya usajili usiompendeza Mungu. Badala ya kuleta baraka tumeleta chukizo.

Tujifunze kusikia sauti ya Mungu. Nitoe pole kwa wale wote waliopoteza ndugu zao miezi mitatu iliyopita. Tumwombe Mungu atawale maamuzi ya viongozi wetu
 
Zipo familia zikipewa nafasi ya kuongoza damu lazima itamwagika kwa wingi sana kwenye Taifa husika. Siyo watu wakuleta baraka bali ni watu wanaoambatana na laana.

Tujifunze kusikia sauti ya Mungu. Nitoe pole kwa wale wote waliopoteza ndugu zao miezi mitatu iliyopita. Tumwombe Mungu atawale maamuzi ya viongozi wetu
Duh...!. Wakati kwa wengine huyu ni baraka, Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania! kumbe kwa wengine wanadhani ni laana!.

Bado naamini Haki Huinua Taifa! Rais Samia kwa Kauli na Matendo ameonesha ni mtu wa Haki. Akitekeleza hili kama alivyosema, atabarikiwa, Tanzania itabarikiwa

P
 
...ndio maana CHADEMA haichaguliki.

Yaani vifo ajali kurushiana risasi, kupotezana, kuuwana kutekana, ugaidi, kususa susa, kukosa maono yaani nikiandika yote hapa mods wanaweza nifungia, kwaavile server itajaa.

chagua kwa umakini 2025, kuanzia Taifa na kuendelea. CHADEMA mbadilike.
 
Zipo familia zikipewa nafasi ya kuongoza damu lazima itamwagika kwa wingi sana kwenye Taifa husika. Siyo watu wakuleta baraka bali ni watu wanaoambatana na laana.

Zipo familia zikipewa nafasi wanaonungunika wanaongezeka ghafla. Manung'uniko yakizidi watu wanaacha kuombea kheri na hapo shetani upata mwanya wakulivuruga Taifa.

Tanzania tunapitia kwenye misiba mingi, tumeona Singida, Arusha, Manyara, DAr, Lindi, Njombe nk jinsi ajali zinavyoongozana. Haya yote ni matokeo ya kufanya usajili usiompendeza Mungu. Badala ya kuleta baraka tumeleta chukizo.

Tujifunze kusikia sauti ya Mungu. Nitoe pole kwa wale wote waliopoteza ndugu zao miezi mitatu iliyopita. Tumwombe Mungu atawale maamuzi ya viongozi wetu
Unataka kusemaje?
 
Zipo familia zikipewa nafasi ya kuongoza damu lazima itamwagika kwa wingi sana kwenye Taifa husika. Siyo watu wakuleta baraka bali ni watu wanaoambatana na laana.

Zipo familia zikipewa nafasi wanaonungunika wanaongezeka ghafla. Manung'uniko yakizidi watu wanaacha kuombea kheri na hapo shetani upata mwanya wakulivuruga Taifa.

Tanzania tunapitia kwenye misiba mingi, tumeona Singida, Arusha, Manyara, DAr, Lindi, Njombe nk jinsi ajali zinavyoongozana. Haya yote ni matokeo ya kufanya usajili usiompendeza Mungu. Badala ya kuleta baraka tumeleta chukizo.

Tujifunze kusikia sauti ya Mungu. Nitoe pole kwa wale wote waliopoteza ndugu zao miezi mitatu iliyopita. Tumwombe Mungu atawale maamuzi ya viongozi wetu
so unataka kusema chief hangaya is problem
 
Wizi wa kura labda ndiyo sababu ya hizi laana maana anayekuwa madarakani anakosa kibali kwa wananchi na kwa Mungu kwa sababu ya kuingia madarakani kwa mlango wa nyuma kitu ambacho hakimpendezi Mungu. Na itaendelea hivyohivyo tu maana hatuoni dalili za CCM kushinda bila kutumia goli la mkono ambalo wameanza kuhandaa kwa kutokubali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Zipo familia zikipewa nafasi ya kuongoza damu lazima itamwagika kwa wingi sana kwenye Taifa husika. Siyo watu wakuleta baraka bali ni watu wanaoambatana na laana.

Zipo familia zikipewa nafasi wanaonungunika wanaongezeka ghafla. Manung'uniko yakizidi watu wanaacha kuombea kheri na hapo shetani upata mwanya wakulivuruga Taifa.

Tanzania tunapitia kwenye misiba mingi, tumeona Singida, Arusha, Manyara, DAr, Lindi, Njombe nk jinsi ajali zinavyoongozana. Haya yote ni matokeo ya kufanya usajili usiompendeza Mungu. Badala ya kuleta baraka tumeleta chukizo.

Tujifunze kusikia sauti ya Mungu. Nitoe pole kwa wale wote waliopoteza ndugu zao miezi mitatu iliyopita. Tumwombe Mungu atawale maamuzi ya viongozi wetu
hii ki2 kwa sasa ipo dudia nzima jombaa,,,angalia ajali za moto zilizotokea ulaya na amerika,,kuna kisiwa kimoja kiliungua karibu chote huko USA,brazil nako walifanya sherehe ya kutukuza shetani moto ukazuka,,,hapo kenya kwenye msitu wa shakaoza kulitokea mambo,,hapohapo kenya wa2 wamekufa kwa mafuriko,somalia,ethiopia na eritra,,india tetemeko lardhi,,DRC m23,ISRAIL na palestina wanagongana dailly,,RUSSIA na ukraine,,,,,,makanisa nayo yanaruhusu mashoga,,ndoa nazo zinavunjika kama biskuti!!!!,,,,hapo DARFUR janjaweed wanafanya yao,,,,sudan nako kinanuka,,,jana UGANDA ADF NALU wamefanya yao sema MUNGU kanusuru!!!,,usipotoshe!!
 
Back
Top Bottom